Familia yangu huiambii chochote kuhusu kituo cha runinga cha Cheka Plus

Familia yangu huiambii chochote kuhusu kituo cha runinga cha Cheka Plus

Melki Wamatukio

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2022
Posts
6,156
Reaction score
10,974
Sio tu familia yangu, hata wafanyakazi wenzangu ofisini kwa ujumla. Maua mengi mengi yamfikie Coy Mzungu maake jambo aliloanza nalo kama utani, hatimaye lazaa matunda. Kuamua ni kuthubutu, Hatimaye Cheka tu imezaa Cheka Plus, same applied to WCB kuzaa Wasafi Media

Cheka Plus inakuja kwa kasi sana ikiwa na maudhui ya kipekee kabisa ambayo hayajawahi kufikiriwa na kituo kingine chochote cha runinga ama redio. Maake hata Bongo Flaver zinazopigwa pale ni zenye maadili kwa wingi, melody tamu tamu pasi na kujali mwaka ambao ngoma hizo zilikuwa released, tofauti na Channel nyingine ambazo hutuwekea burudani ya miziki mibovu kwa kile tunachokiita nisipoicheza, flani atanionaje. Ndio channel pekee ambayo ukiwa nayo serious inakuwa dawa ya mawazo, maake muda wote unakuwa ni wa kucheka tu. Pongezi za dhati zikufikie Mr. Coy Mdudu, hakika umeupiga mwingi

Cheka Plus Ongezeni vipindi vyenye ubunifu zaidi
Mmeanza na Bamba live, lakini kuna yule jamaa kama sikosei ni Lyupyana (Yule wa Eehe, Pameanza kuchangamka), pia series za Mweusi Family (Steve Mweusi na Ndaro) ingependeza zaidi kama zitakuwepo ili tuzidi kucheka tu

Cheka Plus ibueni vipaji vya vijana wa kitanzania. Msiishie tu kuibua Comedians, ibueni na vipaji vingine kama muziki, rasmi muanze kupokea Official Videos za Wasanii Chipukizi, mpembue kama zinakidhi ama kutokukidhi matakwa ya media. Zile zinazokidhi ziende hewani kwa gharama ambayo ni affordable kwa vijana hao wa kitanzania i.e kama Trace Naija inachofanya

Animation Logo ya Cheka Plus inaboa sana
Hii inasikitisha sana, haina ubunifu wala mvuto wa aina yoyote ile, movements za kile kiemoji unaboa sana na kuumiza macho. Em tafuteni Amimation Logo fupi fupi kama ile ya Mr. Coy kwenye Cheka Tu ya "Ladies and Gentlemen Put Your Hands Together For 😂Tu 😂Tu"

Ni hayo tu...
 
Kwa hiyo familia yako haijaona Upendo TV Au TV imaan?

Itakua familia ya vichekesho tuu.
 
Sema wapunguze mziki afu waweke vichekesho vya kutosha

Sijajua wana rights gani na matukio yao yaliyopita ila hata wakirusha yale itakuwa fresh wakati tunasikilizia content mpya
 
Kwa hiyo familia yako haijaona Upendo TV Au TV imaan?

Itakua familia ya vichekesho tuu.
Hapana mkuu, dini zililetwa na wageni kwa makusudi maalumu. Familia yangu yote anayehudhuria ibada ni mwanangu wa mwisho tu, hata sadaka huwa anakula
 
Sio tu familia yangu, hata wafanyakazi wenzangu ofisini kwa ujumla. Maua mengi mengi yamfikie Coy Mzungu maake jambo aliloanza nalo kama utani, hatimaye lazaa matunda. Kuamua ni kuthubutu, Hatimaye Cheka tu imezaa Cheka Plus, same applied to WCB kuzaa Wasafi Media

Cheka Plus inakuja kwa kasi sana ikiwa na maudhui ya kipekee kabisa ambayo hayajawahi kufikiriwa na kituo kingine chochote cha runinga ama redio. Maake hata Bongo Flaver zinazopigwa pale ni zenye maadili kwa wingi, melody tamu tamu pasi na kujali mwaka ambao ngoma hizo zilikuwa released, tofauti na Channel nyingine ambazo hutuwekea burudani ya miziki mibovu kwa kile tunachokiita nisipoicheza, flani atanionaje. Ndio channel pekee ambayo ukiwa nayo serious inakuwa dawa ya mawazo, maake muda wote unakuwa ni wa kucheka tu. Pongezi za dhati zikufikie Mr. Coy Mdudu, hakika umeupiga mwingi

Cheka Plus Ongezeni vipindi vyenye ubunifu zaidi
Mmeanza na Bamba live, lakini kuna yule jamaa kama sikosei ni Lyupyana (Yule wa Eehe, Pameanza kuchangamka), pia series za Mweusi Family (Steve Mweusi na Ndaro) ingependeza zaidi kama zitakuwepo ili tuzidi kucheka tu

Cheka Plus ibueni vipaji vya vijana wa kitanzania. Msiishie tu kuibua Comedians, ibueni na vipaji vingine kama muziki, rasmi muanze kupokea Official Videos za Wasanii Chipukizi, mpembue kama zinakidhi ama kutokukidhi matakwa ya media. Zile zinazokidhi ziende hewani kwa gharama ambayo ni affordable kwa vijana hao wa kitanzania i.e kama Trace Naija inachofanya

Animation Logo ya Cheka Plus inaboa sana
Hii inasikitisha sana, haina ubunifu wala mvuto wa aina yoyote ile, movements za kile kiemoji unaboa sana na kuumiza macho. Em tafuteni Amimation Logo fupi fupi kama ile ya Mr. Coy kwenye Cheka Tu ya "Ladies and Gentlemen Put Your Hands Together For 😂Tu 😂Tu"

Ni hayo tu...
HUWA UNACHEKA HIYO CHEKA NEGATIVE
 
Sema wapunguze mziki afu waweke vichekesho vya kutosha

Sijajua wana rights gani na matukio yao yaliyopita ila hata wakirusha yale itakuwa fresh wakati tunasikilizia content mpya
Mmh, mbona muziki wao ni mzuri mkuu? Hata hivyo bado wanajitafuta kwenye content. Ngoja niwasiliane na Mr Coy aniachie Airtime nikafungue kipindi cha kusoma "Kula kimasihara" za wanaJF. rikiboy. atanisamehe kwa kweli
 
Mmh, mbona muziki wao ni mzuri mkuu? Hata hivyo bado wanajitafuta kwenye content. Ngoja niwasiliane na Mr Coy aniachie Airtime nikafungue kipindi cha kusoma "Kula kimasihara" za wanaJF. rikiboy. atanisamehe kwa kweli
Hapo ngoja wazee wa chai waje wakupige spana ukiwa mubashara😂
 
Back
Top Bottom