Familia yangu Mke na Mtoto wangu Mkubwa wamepata tatizo la Akili naomba ushauri wakuu

Hakuna siku nimeangaika na uwepo wa Mungu ila wewe ukileta uwepo wake nitadai uthibitisho wake kwa hili ni haki yangu wala usinipangie
 
Yani waganga wako wengi sana siku hizi wapo hadi mitandaoni hivyo ukiona mtu anakwambia akupeleke kwa mganga basi maana yake anamjua huyo mganga si tapeli na fundi hasa.
Kama Umesha Wahi Kukutana Na Mtu Mwenye Matatizo Utamtambua Kwa Jambo Dogo Tu

Mtu Anajitokeza Na Kutaka Kukupa Msaada Tena Bure Na Wewe Unakataa Jua Kabisa Huyo Mtu Haitaji Msaada Ukiona Mtu Anahitaji Msaada Alafu Yeye Ndo Anapanga Masharti Ya Jinsi Ya Kusaidiwa Huyo Sio Muhitaji.

Huyu Mleta Mada Ana Shida Ya Michango Ya Pesa Hicho Ndo Anachokihitaji Ila Sio Kutatua Tatizo Linalomkumbu La kuuguliwa Na Wana Familia.
 
Kabla Ya Kutaka Kuthibitisha Uwepo Wa Mungu Anza Kuthibitisha Hapa Jukwaani Kwamba Unazo Akili.
Hapo haujathibitisha uwepo wa huyo Mungu zaidi ya blabla zako tu za kijinga.
 
Hakuna siku nimeangaika na uwepo wa Mungu ila wewe ukileta uwepo wake nitadai uthibitisho wake kwa hili ni haki yangu wala usinipangie
Unangaika mkuu ndio maana nimekuuliza mbona haujawahi kumdai mtu uthibitisho wa wazazi wake kama kweli ni wazazi wake waliyomzaa ukaniambie mie ndio nifanye hivyo kwa maana wewe unangaika na habari za uwepo wa Mungu na majini ila madai mengine yasio na uthibitisho huangaiki nayo kudai uthibitisho wake.

Hakuna aliyekushikia bunduki wala kukunyima haki zako za msingi kwa kukulazimisha kukubali uwepo wa Mungu, sasa mtu akisema Mungu yupo kiuhakika wewe unapungukiwa nini? Potezea kama unavyopotezea madai mengine yasio na uthibitisho, mbona simple wala usingekuwa unabishana na watu.
 
Watu 1000 tukikuchangia 1000 unapata MILION Moja ongea na Mshana alikandalasi hili suala mara moja
 
Halafu hasemi anapoishi.
 
Sitapotezea mkuu 😁
 
Athibitishe ili iweje ili akuridhishe wewe? Vitu vyengine havina hata maana.
Hili ni jukwaa huru nina haki ya kuhoji chochote bila matusi ndio maana unaona sijawahi kupigwa banπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜…
 
Sitapotezea mkuu 😁
Ndio maana nasema unangaika na habari za Mungu, na hakuna mwenye kulazimika kukuthibitishia chochote kila mtu anatumia uhuru wake hakuna aliyekulazimisha ukubali uwepo wa Mungu.
 
Hili ni jukwaa huru nina haki ya kuhoji chochote bila matusi ndio maana unaona sijawahi kupigwa banπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜…
Na hakuna mwenye kulazimishwa kukujibu wala kukuthibitishia chochote kila mtu anatumia uhuru wake.
 
Ndio maana nasema unangaika na habari za Mungu, na hakuna mwenye kulazimika kukuthibitishia chochote kila mtu anatumia uhuru wake hakuna aliyekulazimisha ukubali uwepo wa Mungu.
Hata mimi sijalazimisha uthibitishe uwepo wake, wala sijakushikia bunduki kama haujui unaweza kuvunga tu
 
Wapi nimelazimisha?
Kama haulazimishi mbona haupotezei tu kama unavyopotezea mengine yasio na uthibitisho? Au haki yako wewe ni kudai madai ya uthibitisho wa uwepo wa Mungu tu ila madai mengine yasio na uthibitisho hauna haki ya kuhoji?
 
Kama haulazimishi mbona haupotezei tu kama unavyopotezea mengine yasio na uthibitisho? Au haki yako wewe ni kudai madai ya uthibitisho wa uwepo wa Mungu tu ila madai mengine yasio na uthibitisho hauna haki ya kuhoji?
😁😁😁😁 mkuu nikisema nisikujibu nitakua nakosea?
 
Hata mimi sijalazimisha uthibitishe uwepo wake, wala sijakushikia bunduki kama haujui unaweza kuvunga tu
Hakuna huo ulazima watu kuthibitisha uwepo wa Mungu ila unapinga bado unataka uthibitishiwe unasema ni haki yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…