Familia yangu Mke na Mtoto wangu Mkubwa wamepata tatizo la Akili naomba ushauri wakuu

Waganga wapo wengi sana mkuu ila tatizo kupata mganga sahihi.
Sio Kazi Yake Jamaa Kasema Anajitolea Kumpeleka Bure Wasiwasi Wa Nini?

Ninachohofia Isije Jamaa Anataka michango Badala Ya Tiba.
 
Kwa Hiyo Dr Hapa Duniani Kuna Wema Tu ? Ubaya Hamna ? Kuna Mamia Ya Watu Wamefia Hospitalini Baada ya Tiba Kushindikana Na Kuna Mamia Ya Watu Wameinukia Kwa Waganga

Kama Kuna Mungu Juwa Kwamba Pia Kuna Shetani .
 
Pole sanaa kwa changamoto hiyo
 
Sasa atajuaje kama ni wa wizi
Wafanya biashara wengi/wote kutokea mijini wanakuwa na wenyeji vijijini pengine ni kabla au baada ya kuanza biashara. Ndio sehemu ambayo hufikia akitoka mjini, kupitia hao anaweza kujua.

Ila tumpe pole sana anapita katika kipindi kigumu.
 

Muhuni huyo! Mtoto na Mama wa napata kicha kinachofanana, huwezi ona kuna shida hapo?
 
Maisha safari ndefu sana mwanangu
huwa nayakumbuka maneno haya siku zote alinambia mama Yangu

pole mkuu kwa mitihani
 
Hiyo depression wanapitia Wana familia yako,,,,milembe Dodoma ni sehemu sahihi kwako,au chato hapo kuna hosp ya rufaa km sikoei, kamwone Dr bingwa wa magonjwa ya akili itakusaidia
 
Anacharge mkuu tena hela ndefu.ndugu zang flan walicharge laki ,3
Hebu waulize vizuri. Alicharge yeye au kuna watu walikuwepo hapo kati kuchukua hiyo pesa. Yaweza pia kuwa walipigwa kisha jamaa wakawasogeza kwa Mwamposa..
 
Ajabu sana.

Halafu kwa manyau wanapigwa pesa ndefu. Kwa Mungu mfano kupitia Mwamposa na wengine ninaowajua sijawahi kusikia wanalipishwa ili waombewe. Zaidi ya sadaka zao za hiari kadri walivyoguswa.

Aende kuombewa
Ubarikiwe.
 
Kama inawezekana hapo ulipo
Hama mkoa, tafuta nyumba ya kupanga.
Kuna mambo kama unachukulia poa, utajikuta unatumia pesa nyingi sana. Kama una wazee nyumbani washirikishe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…