Familia zetu za Kiafrika zina matatizo gani, kwanini zina ubinafsi sana?

Familia zetu za Kiafrika zina matatizo gani, kwanini zina ubinafsi sana?

Kipangaspecial

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
20,778
Reaction score
28,722
Familia zetu, kila mmoja anatakiwa aanzie mwanzo.

Yaani hakuna mwendelezo wa maisha ya uchumi na biashara.

Eti wanakwambia kila mmoja ajipambanie...

Kama kuna mali wazee waliacha basi watu watataka ziuzwe kila mtu afe na chake, ili wajukuu nao wakianza maisha waanze kuteseka upyaaaa😃😃😃 ukoo wote unakuwa ni wa vizazi vya wapambanaji miaka nenda rudi na hawajui wanapambania nini 😂😂😂🙌🙌🙌🙌

Ndio maana kutoboa inakuwa ni ngumu sana.

Wakisha kusomesha ukapata ka degree basi ukajitegemee.

Unaanza maisha from scratch kabisa bila msaada , ila ukifanikiwa kdg tu ukoo mzima unahamia kwako.

Na hii ndo inasababisha life span ya waafrika kuwa ndogo, ushirikina,chuki, utengano wa familia, yaani full heka heka. Hii kitu imefanya familia nyingi za kiafrika kuendelea kuishi Maisha ya kimaskini.

Vita ya Umaskini inahitaji kurithishwa silaha ulizotumia kupambana hakikisha unakiachia kizazi chako ili kianzie ulipo ishia.

Tujifunze kwa Familia za kiarabu

Hii ni changamoto sana, ndo maana biashara nyingi zilizoanzishwa na wazazi zinakufa hivi hivi in the name of “ usitegemee utarithi hii biashara/duka, kajipambanie”
 
Tatizo la sisi nywele ngumu, mtu akitoboa anawazarau wengine, anajiona yeye ndio mwenye akili kuliko wote, mfano; katika ukoo, mtu akitoboa, wengne katka ukoo anawaona hamnazo, ndo maana hata kubebana ni ngumu, kuna ile "akitoboa atatudharau", ndio maana kuna kurogana, kurudishana nyuma, kuombeana mabaya. Bado kuna ile tabia ya kumnyenyekea na kumwabudu mtu aliyefanikiwa!
 
Tatizo la sisi nywele ngumu, mtu akitoboa anawazarau wengine, anajiona yeye ndio mwenye akili kuliko wote, mfano; katika ukoo, mtu akitoboa, wengne katka ukoo anawaona hamnazo, ndo maana hata kubebana ni ngumu, kuna ile "akitoboa atatudharau", ndio maana kuna kurogana, kurudishana nyuma, kuombeana mabaya. Bado kuna ile tabia ya kumnyenyekea na kumwabudu mtu aliyefanikiwa!
Mbona baadhi ya familia za kichagga zinaweza.
 
Familia zetu, kila mmoja anatakiwa aanzie mwanzo.
Yaani hakuna mwendelezo wa maisha ya uchumi na biashara.
Eti wanakwambia kila mmoja ajipambanie...

Kama kuna mali wazee waliacha basi watu watataka ziuzwe kila mtu afe na chake, ili wajukuu nao wakianza maisha waanze kuteseka upyaaaa😃😃😃 ukoo wote unakuwa ni wa vizazi vya wapambanaji miaka nenda rudi na hawajui wanapambania nini 😂😂😂🙌🙌🙌🙌

Ndio maana kutoboa inakuwa ni ngumu sana.
Wakisha kusomesha ukapata ka degree basi ukajitegemee.
Unaanza maisha from scratch kabisa bila msaada , ila ukifanikiwa kdg tu ukoo mzima unahamia kwako.

Na hii ndo inasababisha life span ya waafrika kuwa ndogo, ushirikina,chuki, utengano wa familia, yaani full heka heka. Hii kitu imefanya familia nyingi za kiafrika kuendelea kuishi Maisha ya kimaskini.
Vita ya Umaskini inahitaji kurithishwa silaha ulizotumia kupambana hakikisha unakiachia kizazi chako ili kianzie ulipo ishia.
Tujifunze kwa Familia za kiarabu

Hii ni changamoto sana, ndo maana biashara nyingi zilizoanzishwa na wazazi zinakufa hivi hivi in the name of “ usitegemee utarithi hii biashara/duka, kajipambanie”

Uzi tayari.
Kwani dunian umekuja kufanya nini?
 
Familia zetu, kila mmoja anatakiwa aanzie mwanzo.
Yaani hakuna mwendelezo wa maisha ya uchumi na biashara.
Eti wanakwambia kila mmoja ajipambanie...

Kama kuna mali wazee waliacha basi watu watataka ziuzwe kila mtu afe na chake, ili wajukuu nao wakianza maisha waanze kuteseka upyaaaa😃😃😃 ukoo wote unakuwa ni wa vizazi vya wapambanaji miaka nenda rudi na hawajui wanapambania nini 😂😂😂🙌🙌🙌🙌

Ndio maana kutoboa inakuwa ni ngumu sana.
Wakisha kusomesha ukapata ka degree basi ukajitegemee.
Unaanza maisha from scratch kabisa bila msaada , ila ukifanikiwa kdg tu ukoo mzima unahamia kwako.

Na hii ndo inasababisha life span ya waafrika kuwa ndogo, ushirikina,chuki, utengano wa familia, yaani full heka heka. Hii kitu imefanya familia nyingi za kiafrika kuendelea kuishi Maisha ya kimaskini.
Vita ya Umaskini inahitaji kurithishwa silaha ulizotumia kupambana hakikisha unakiachia kizazi chako ili kianzie ulipo ishia.
Tujifunze kwa Familia za kiarabu

Hii ni changamoto sana, ndo maana biashara nyingi zilizoanzishwa na wazazi zinakufa hivi hivi in the name of “ usitegemee utarithi hii biashara/duka, kajipambanie”

Uzi tayari.
Huku tunaishi kwenye mtumainia cha ndugu hufa Masikini.
 
Umeongea ukweli kwa 85% hali ndio huwa hivyo mmoja akitoboa hafikirii kuwabeba wenzake. Anataka atengeneze umungu mtu ili ukoo mzima umsujudie.😂

Hapo ndipo kupigana vipapai kunapoanza maana hamna mtu anayependa madharau. Wenzetu wachaga wana mfumo mzuri. Kila mwisho wa mwaka wanakusanyika na kupeana mipango ya mwaka mpya. Wale ndugu ambao hawana ramani inapitishwa michango ili wapewe mitaji wakapambane.
Tatizo la sisi nywele ngumu, mtu akitoboa anawazarau wengine, anajiona yeye ndio mwenye akili kuliko wote, mfano; katika ukoo, mtu akitoboa, wengne katka ukoo anawaona hamnazo, ndo maana hata kubebana ni ngumu, kuna ile "akitoboa atatudharau", ndio maana kuna kurogana, kurudishana nyuma, kuombeana mabaya. Bado kuna ile tabia ya kumnyenyekea na kumwabudu mtu aliyefanikiwa!
 
Umeongea ukweli kwa 85% hali ndio huwa hivyo mmoja akitoboa hafikirii kuwabeba wenzake. Anataka atengeneze umungu mtu ili ukoo mzima umsujudie.😂

Hapo ndipo kupigana vipapai kunapoanza maana hamna mtu anayependa madharau. Wenzetu wachaga wana mfumo mzuri. Kila mwisho wa mwaka wanakusanyika na kupeana mipango ya mwaka mpya. Wale ndugu ambao hawana ramani inapitishwa michango ili wapewe mitaji wakapambane.

Mkuu naona kama kuna upande pia tunausahau, wapo watu wamejitoa kushirikisha ndugu kwenye biashara na uwekezaji wao lakini ndugu wameishia kuwaangusha na kuwakatisha tamaa kabisa.

Wapo waliojaribu kusaidia ndugu lakini wengi wao wakakosa discipline na kuishia kutapanya mitaji kwenye pombe na umalaya.

Zipo familia unakuta wote choka mbaya na mmoja anajitahidi kupambana kuinua familia lakini wengine wakiwa na nguvu hawako tayari kupambana kuinua familia baadala yake wako busy na starehe na kuwaangusha wale walio serious kuuondoa umasikini wa familia.
 
Umeongea ukweli kwa 85% hali ndio huwa hivyo mmoja akitoboa hafikirii kuwabeba wenzake. Anataka atengeneze umungu mtu ili ukoo mzima umsujudie.😂

Hapo ndipo kupigana vipapai kunapoanza maana hamna mtu anayependa madharau. Wenzetu wachaga wana mfumo mzuri. Kila mwisho wa mwaka wanakusanyika na kupeana mipango ya mwaka mpya. Wale ndugu ambao hawana ramani inapitishwa michango ili wapewe mitaji wakapambane.
Mimi nikajua na wewe ni mchaga,bwashee.
 
Back
Top Bottom