Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Kunguru Wa Zanzibar wakoje!??? Wanafana na Kunguru Mjanja au!??? [emoji3][emoji3][emoji3]Wameanza sas na story zao za vpande vpande km majaruba ya v2nguu
we muache na sisi tutakuwa wakali hivyo hivyo kwenye kutoa ushauriMleta mada mkali uyo
Mwanaume unadandia mambo yasiyokuhusu tena kwa kusema ushuzi kama huo,huna tofauti na Juma lokoleNikajua vipande kma vya chupi yako chakavu
Unataka ushauri na bado utufokee na kutuchimba biti?sio kila kitu ni kwa kila mtu..Pengine hiki sio chako...Umeambiwa ni kisa kirefu. Tulia acha kulalama. La, usikisome kabisa.
Asante mkuu kwa appreciation yako..Nakuombea kila lililojema pia kwa upande wako.Kama amekualika kwa nia njema please just go.
Safari yetu hapa duniani ni fupi sana,tujaribu kuepuka migogoro isiyokuwa ya lazima.
Nimekuelewa sana mkuu....you have a great personality.
Utafika mbali
Situmii mkuu...Amefanya kitu kikubwa sana kwenye maisha yangu..Leo nipo hapa kwasababu yake..Mungu alimtumia yeye kunifungulia dunia...I love him so much.Fanya uend mkuu bila yy pengine ungekua unakula ugoro na kulewa. Kam vijan wa kijjn kwenu Japo sijui Kama hutumiii au unatumia
Sent from my itel S33 using JamiiForums mobile app