Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ohoooo tena?Wewe bado mtoto Sana...fungus uzifukuze kwa cream!?..fungus hazitokani na uchafu,acha ujinga
Fungus mara nyingi ni viumbe tunaoishi nao kwenye miili yetu.Cream hazitibu bwana,napaka cream na kula vidonge kwa zaidi ya miaka 20,lakini fungus huja na kuondoka wapendavyo
Hakuna dawa zaidi ya mafuta ya naziKama title ya thread ilivyo hapo juu. Naomba kwa anaye fahamu dawa ya fangasi kando kando ya pumbu zinakolalia (mapajani) zinasumbua sana sana Kwakweli.
Anaye fahamu dawa naomba maelekezo tu jamani
Fungus zinakuwa sehemu zenye unyevunyevu na ndio maana wanapenda kutokea kwenye sehemu ambazo zinathiriwa na joto... Candiderm anaondoa hao fungusWewe bado mtoto Sana...fungus uzifukuze kwa cream!?..fungus hazitokani na uchafu,acha ujinga
Kuwa msafi mkuu wataacha kukusumbua, na uwe wanyoa vuzi ili kuwe kukavuKwa upande wa boksa naweza nikakubaliana na ww maana navaa boksa 2 tu kwa wiki. Huwa sizidishi
Hospital za kanisa zimewekeza kwenye kutibu fungus..Kuna ile ya itigi na moja ya dar...fungus ni complicated,ukienda hospital wanakupa tube na ketoconazole,sijui vitu gani...vyote hola,nafuga fungus mwaka wa 26 huu,naishi nazo Kama ndugu wa damuFungus mara nyingi ni viumbe tunaoishi nao kwenye miili yetu.
Conditions, zikibadilika. Watanaibadili ngozi.
Fungus siyo wali uziivishe kwa mafuta ya naziHakuna dawa zaidi ya mafuta ya nazi
Epuka wanaokuambia sijui dawa hmgani duka la dawa sijui lotion gani hapana hapo paka mafuta ya nazi kila baada ya mda,mi nilikuwa natoka pumba kabisa saa hivi nafurahia sana hakuna kitu nimetumia zaidi ya mafuta ya nazi
Vuzi nanyoa. Sema kuna msemo wa watu kwamba vuzi hupendezesha uchi kuna kipindi nikajikuta ni muumini wa kufuga vuzi. Km naenda job nachana kwa kitana kidogo nywele za kichwa na vuziKuwa msafi mkuu wataacha kukusumbua, na uwe wanyoa vuzi ili kuwe kukavu
Fluconazole hioMiaka kama 3 nyuma kuna dawa nilipewa niitumie ni vidonge 30. Vilisaidia sana sana maana nilikuwa na wale mba usoni waliondoka wote uso wangu ukawa soft sana. Na hizo fangasi au mba waliokuwepo kwenye pumbu walikwisha kabisa. Kwa sasa naona km vinarudi pole pole tena kwenye paja pumbu zinakolalia
We acha uumwe tuVuzi nanyoa. Sema kuna msemo wa watu kwamba vuzi hupendezesha uchi kuna kipindi nikajikuta ni muumini wa kufuga vuzi. Km naenda job nachana kwa kitana kidogo nywele za kichwa na vuzi
MBA wanaotokea usoni siyo funguses!?..usoni Kuna hayo mazingira uliyosema!?Fungus zinakuwa sehemu zenye unyevunyevu na ndio maana wanapenda kutokea kwenye sehemu ambazo zinathiriwa na joto... Candiderm anaondoa hao fungus
Hii nayo mpya. Ni mafuta ya nazi haya haya ya watoto? Ngoja nikanunue nijipakeHakuna dawa zaidi ya mafuta ya nazi
Epuka wanaokuambia sijui dawa hmgani duka la dawa sijui lotion gani hapana hapo paka mafuta ya nazi kila baada ya mda,mi nilikuwa natoka pumba kabisa saa hivi nafurahia sana hakuna kitu nimetumia zaidi ya mafuta ya nazi
Sasa mafuta ya Nazi si panafanya maeneo hayo kuwa nyevu nyevu zaidi?Hakuna dawa zaidi ya mafuta ya nazi
Epuka wanaokuambia sijui dawa hmgani duka la dawa sijui lotion gani hapana hapo paka mafuta ya nazi kila baada ya mda,mi nilikuwa natoka pumba kabisa saa hivi nafurahia sana hakuna kitu nimetumia zaidi ya mafuta ya nazi