bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Tumia kitunguu saumu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe na mleta mada mmejua kunichekesha🤣🤣🤣Babu fungus...nakuna nasikia utamu,na najua nikiwapataje
Aaah wapi,navyoonya huku nimetoa macho kwamba kulambwa sitaki!Wewe na mleta mada mmejua kunichekesha🤣🤣🤣
Swali la kizushi, mabebi zenu mawapaga maiki watume salamu?🤣
Aaah wapi,navyoonya huku nimetoa macho kwamba kulambwa sitaki!
Utayatema mwenyewe mbona ukikuta fungus zimenonaMie ningekuwa bebi wako ndio ungenisindikiza na vibao....manake navyopenda kuyabugia🤣🤣🤣
OhooooMie ningekuwa bebi wako ndio ungenisindikiza na vibao....manake navyopenda kuyabugia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa maelezo tu unawez kuelewa. Ukikuna vinatoa kama ukoko mweupe hivi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vuzi nanyoa. Sema kuna msemo wa watu kwamba vuzi hupendezesha uchi kuna kipindi nikajikuta ni muumini wa kufuga vuzi. Km naenda job nachana kwa kitana kidogo nywele za kichwa na vuzi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahMie ningekuwa bebi wako ndio ungenisindikiza na vibao....manake navyopenda kuyabugia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Utayatema mwenyewe mbona ukikuta fungus zimenona
Alovera inasaidia Ila uwe unatumia na kitunguu swaumu, itaisha hiyo.Kama title ya thread ilivyo hapo juu.
Naomba kwa anayefahamu dawa ya fangasi kando kando ya pumbu (korodani) zinakolalia (mapajani) zinasumbua sana sana Kwakweli.
Anaye fahamu dawa naomba maelekezo tu jamani.
cetrizen na kuwa soft vitu viwili tofauti,sasa jichanganye ukanywe hizo cetrizen mwez mzma uone kama hujafukuzwa kazi kwa kulala hovyo ofisiniNadhani ndio hivi vidonge nilimeza kwa siku 30 usiku kila nikilala nikapona km miaka 3 sasa imepita vimerud tena
Kuna ugumu gani kubadili boksa kila siku? Zaidi ya kutumia dawa, ugonjwa unaojirudia utibu kwa kubadili lifestyle. Oga vizuri, nyoa, kausha maji vizuri acha haraka haraka zako.Kwa upande wa boksa naweza nikakubaliana na ww maana navaa boksa 2 tu kwa wiki. Huwa sizidishi
Umeamua kuishi na ugonjwa? Hospitali hawajakuambia chochote kuhusu kufanya vipimo vya damu? Pole sana.Tunaweka pumbu swafi,kavu na bado
Timia mafuta ya Nazi ya maji.Kama title ya thread ilivyo hapo juu.
Naomba kwa anayefahamu dawa ya fangasi kando kando ya pumbu (korodani) zinakolalia (mapajani) zinasumbua sana sana Kwakweli.
Anaye fahamu dawa naomba maelekezo tu jamani.