Fangasi za Ajabu zinawawatesa wanajeshi Israel, wafariki. Laana za Allah zawaandama

Fangasi za Ajabu zinawawatesa wanajeshi Israel, wafariki. Laana za Allah zawaandama

Kwa hiyo ndiyo nini?

Watu wapo Ghaza wewe unaleta mambo ya Ufaransa. Rudia tena post namba moja.
Sasa yeye anashangaa fangasi Kwa Binadamu ni Jambo la kawaida wala si la kuanzishia Mada Kwa MTU mwelewa alitaka fangasi iwapate pusi??kuwa na akili wewe bibiee,,,ukiendelea kudandia Mada nitakukaza mnoo kama nati ya nyuma kwenye tairi ya bajaji!!
 
Back
Top Bottom