Fangasi za korodani zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!

Fangasi za korodani zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!

Anatakiwa Kurudi kwa Daktari wa Ngozi kumuonyesha tena na Afanye uchunguzi..

Kwa sababu magonjwa mengi ya Ngozi yanafanana na Huwezi kuyatambua kwa maelzlezo ya Maandishi tu Lazima Daktari afanye mlingano wa Maumbile Ngozi, Athari yake Na Muonekano wa Sehemu iliyoathirika na yote hiyo huwezi kuielezea kwa Maandishi..

Fungus Inaweza kufanana na Psoriasis au Lichen au impetigo ,Intertrigo (Hii Husababishwa na Joto jasho la mara kwa mara),

Kwangu Mimi kwa maelezo uliyotoa ninahisi Una Erythrasma na sio Fungus

Erythrasma (Hii inafanana sana na Fungus Na hutokea Mapajani Kwenye uvungu na Mara nyingine kwenye Ngozi ya Mapum** (Mfuko unaobeba maken**).. na hata kwenye makwapa Pia na sehemu zingine zilizojificha ficha

Wengi wanaimistake na Fungus..na Unaweza ukamaliza Dawa za Fungus Na Usipone Maana hao ni Bacteria na Sio fungi

So ushauri rudi kwa Daktari mueleze kila kitu achunguze mwenyewe aone na ikiwezekana Kama ni ya Muda mrefu na Umetumia Dawa aina Nyingi atafanya Culture na sensitivity..

BCC: hermanthegreat
CC: The blessed one1
hii ni fungus
 
Hii hali mara nyingi usiku ndio inakuwa mbaya sana unawashwa zaidi?
Nimewai kuumwa miezi zaidi ya minne. Tiba tu ilizidi 250k sijaona nafuu yoyote wala kupona cha ajabu nikaja kupona na dawa hata haifiki elfu tano.

Kanunue BBE dawa ya kupaka, nazani pharmacy haizidi hata elfu 3 ndani ya siku tatu utaanza kuona changes, Otherwise utahangaika sana.
uje kutupa mrejesho hiyo BBE ni 100% unapona speaking from experience.
 
miaka karibia 20 sasa...nilishauliwa na doctor mmoja pale morogoro...nikazingatia hadi leo hakuna tatizo kama hilo...hata mimi nikajua nimekwisha habari yangu...kumbe hamna kitu. Dr alinishauri niache kuvaa chupi na nisivae boksa za kunibana....nikaanza kuvaa boksa pana kama suruali ...chupi zote nikachoma moto..hadi leo tatizo halijarudia tena wala sikutumia dawa😎😎..ni hayo tu mkuu
 
Wakuu kwema.
Hivi karibuni nilikuja humu kuomba msaada wa jinsi ya kutibu hizi fangasi baada ya kushindikana hospital

Nimekuwa nikipewa dawa ileile kwa kila daktari nayemtembelea, nimeenda hadi kwa daktari specialist wa ngozi lakini dawa aliyonipatia ni kama niliyokuwa napewa na wengine, nimetumia lakini hakuna unafuu.

Kinachonishangaza ni kwamba fangasi si fangasi tena, imeleta vijipele kuanzia kwenye pumbu, uboo, mapaja.

Tofauti na ilivyokuwa ikionekana awali kwasasa ngozi ya juu iliyokuwa imeathiriwa imeanza kubanduka yenyewe, sijajua kama ndio dalili ya kupona lakini nimekuja kuwaomba msaada wenu wakuu.

Kama kuna mtu anaelewa dawa ya kutibu hii shida tafadhali sana naombeni msaada wenu.
Mwanangu katafute dawa ya minyoo narudia tena katafute dawa ya minyooo zile za miti shamba(herbal medicine).

Na kwenye ngozi kanunue mafuta ya nyonyo yale rangi ya clear(yellow) uwe unapaka kwenye hizo fungus wiki tu utaleta uzi wa kupona hapa.

Kama hutopoa nitalipia harama za manunuzi yako yote
 
miaka karibia 20 sasa...nilishauliwa na doctor mmoja pale morogoro...nikazingatia hadi leo hakuna tatizo kama hilo...hata mimi nikajua nimekwisha habari yangu...kumbe hamna kitu. Dr alinishauri niache kuvaa chupi na nisivae boksa za kunibana....nikaanza kuvaa boksa pana kama suruali ...chupi zote nikachoma moto..hadi leo tatizo halijarudia tena wala sikutumia dawa😎😎..ni hayo tu mkuu
Mkuu chupi za kiume bado zipo?
 
miaka karibia 20 sasa...nilishauliwa na doctor mmoja pale morogoro...nikazingatia hadi leo hakuna tatizo kama hilo...hata mimi nikajua nimekwisha habari yangu...kumbe hamna kitu. Dr alinishauri niache kuvaa chupi na nisivae boksa za kunibana....nikaanza kuvaa boksa pana kama suruali ...chupi zote nikachoma moto..hadi leo tatizo halijarudia tena wala sikutumia dawa😎😎..ni hayo tu mkuu
Kwani kuna wanaume wanavaa chupi mpaka Leo?
 
Kende zinataka kujikataa kivyake, zimemchoka jamaa. Inaonekana anazipitisha sehemu sizo halafu unaziacha na unyevu.
Kama upo Dar, nenda Tegeta kwa Ndevu, ulizia hospitali ya masista (jina sijalishika). Hapo nawaaminia kwa mambo kama hayo. Ukifika hapo ufunguke kila kitu.
 
Back
Top Bottom