Fangasi za korodani zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!

Fangasi za korodani zimeanza kubandua ngozi na kutengeneza vijipele, msaada!

Mkuu zingatia usafi...miaka tukiwa uboyzn tulikua tunaita pumbu erosion, ilikua ifiki kwenye ub<><> hua inaathiri tu ngozi ya pvmbv
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
Wakuu kwema.
Hivi karibuni nilikuja humu kuomba msaada wa jinsi ya kutibu hizi fangasi baada ya kushindikana hospital

Nimekuwa nikipewa dawa ileile kwa kila daktari nayemtembelea, nimeenda hadi kwa daktari specialist wa ngozi lakini dawa aliyonipatia ni kama niliyokuwa napewa na wengine, nimetumia lakini hakuna unafuu.

Kinachonishangaza ni kwamba fangasi si fangasi tena, imeleta vijipele kuanzia kwenye pumbu, uboo, mapaja.

Tofauti na ilivyokuwa ikionekana awali kwasasa ngozi ya juu iliyokuwa imeathiriwa imeanza kubanduka yenyewe, sijajua kama ndio dalili ya kupona lakini nimekuja kuwaomba msaada wenu wakuu.

Kama kuna mtu anaelewa dawa ya kutibu hii shida tafadhali sana naombeni msaada wenu.
Zingatia usafi mkuu ,

1) zingatia sehemu iliyo athirika pasiwe na unyevu/ maji kufika
2) usirudie nguo/wala usvae nguo mbichi ukitoka kuoga
3) usivae nguo ya kubana acha hewa ipite

Bakteria wataisha wenyewe kwa msaada wa kutumia dawa uliopewa hospitali
 
miaka karibia 20 sasa...nilishauliwa na doctor mmoja pale morogoro...nikazingatia hadi leo hakuna tatizo kama hilo...hata mimi nikajua nimekwisha habari yangu...kumbe hamna kitu. Dr alinishauri niache kuvaa chupi na nisivae boksa za kunibana....nikaanza kuvaa boksa pana kama suruali ...chupi zote nikachoma moto..hadi leo tatizo halijarudia tena wala sikutumia dawa๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž..ni hayo tu mkuu
mkuu ulikua unatinga sammbuusaa
 
mkuu ulikua unatinga sammbuusaa
mwanzoni nilisumbuka sana ila baada ya muda nikazoea hadi kesho sipati shida. Si unajua mikoa ya pwani ilikuwa akina dada wanavaa madera bila kuvaa nguo za ndani au unapishana na mdada amevaa t-shirt nyeupe pee alafu hajavaa sidiria ndani ๐Ÿ™‚ ...basi unapata shida kidogo baada ya muda unakaa sawa mambo yanaendelea
 
Try this: kwanza uwe na feni lenye spidi kali sana. Halafu tafuta concentrated sulphuric ACID. Tatu, washa feni. Paka hiyo ACID TARATIBU. panua miguu yako, elekeza zaga kwenye feni kwa mda wa dakika 15. Zaga likishapozwa na feni ugonjwa kwisha.
Hatari sana
 
Zingatia usafi oga mara mbili kila siku na kausha maeneo yalioathirika na upake (Ketineal)
Dawa hii inauzwa Pharmacy 5000 tu ni Antifungal, Antibacterial, Anti-inflammatory, Antipruritic
 
Back
Top Bottom