Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Najaribu ila nashindwa mkuuHii ni ya watu wachache sana Monks
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najaribu ila nashindwa mkuuHii ni ya watu wachache sana Monks
Anaelekea kupoteza ubingwa 😂😂😂😂Mwamba anaelekea kupoteza kende hv hv
Kadri unavyozidi kuacha unakuwa na nguvu hadi za maonoNajaribu ila nashindwa mkuu
Daaaah dawa yake ni ya kawaida saaana na ni less expensive...Wakuu kwema.
Hivi karibuni nilikuja humu kuomba msaada wa jinsi ya kutibu hizi fangasi baada ya kushindikana hospital...
Wakuu kwema.
Hivi karibuni nilikuja humu kuomba msaada wa jinsi ya kutibu hizi fangasi baada ya kushindikana hospital
Nimekuwa nikipewa dawa ileile kwa kila daktari nayemtembelea, nimeenda hadi kwa daktari specialist wa ngozi lakini dawa aliyonipatia ni kama niliyokuwa napewa na wengine, nimetumia lakini hakuna unafuu.
Kinachonishangaza ni kwamba fangasi si fangasi tena, imeleta vijipele kuanzia kwenye pumbu, uboo, mapaja.
Tofauti na ilivyokuwa ikionekana awali kwasasa ngozi ya juu iliyokuwa imeathiriwa imeanza kubanduka yenyewe, sijajua kama ndio dalili ya kupona lakini nimekuja kuwaomba msaada wenu wakuu.
Kama kuna mtu anaelewa dawa ya kutibu hii shida tafadhali sana naombeni msaada wenu.