Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Hiyo ndio seat Mimi naenjoy na hasa kuondoka na na uchovu maana hizo seat za kwanza za mbele unanyoosha miguu kabisa, haufiki destination yako na uchovu sana.Kukaa karibu na dereva unachosha akili yako maana kila muda miguu yako inafunga break
Ukisikia pah fahamu lisasi imekukosa kwa sababu sipidi yake ni sawa na sipidi ya umeme,gali linaweza kuanza kuyumba likaanguka umbali mita 200 mwendo wake wakati huo mwendo wake huwezi jisaidia na chochote kufumba na kufumbua hiko miguu juu kichwa chiniPicture this[emoji119]: Umekaa ndani ya basi liitwalo X, siti namba X ,unaenda mkoa X kumsalimia X.
Mara ghafla unashtuka basi ulilomo linaanza kuyumba yumba kwa nguvu isivo kawaida na abiria wale viherehere akina mama mostly wameshaanza kupiga kelele za mamaaaa! (statistically speaking women more alert and pay more attention to the small changes in the details of their environment,than males among homo sapens) nini unatakiwa ufanye? Twende kazi[emoji116]
NB: Hii njia inafanya kazi kama umekaa kweny siti za katikati, yani ambayo haiko karibu na ukuta wa gari.... sio dirishani wala siti za nyuma kabisa au mbele kwa dereva) maana hizi ndio sehemu ambazo haziwezi kupata direct impact ya ajari, either kwa kugongwa na kitu au kugonga kitu.
Unachotakiwa kufanya ni kuinama haraka sana na kuingia ndani ya uvungu wa siti,na kuhakikisha unakificha kichwa ndani ya siti. Stay low as possible, stay small as possible. Yani hakikisha unapunguza suface area ya mwili wako haraka sana ili kupunguza area ambayo inaweza kuwa hit. Na kupunguza damage.
This will ensure that kuna very small chance gari linapobinuka utaruka nalo na kujibonda kichwani au kwenye sehemu nyeti.
Asilimia kubwa ya majeruhi wa ajali wanaofariki huwa na majeraha ya kichwa.
Hivyo unatakiwa upambane as best as you can kukilinda kichwa chako.
Mimi sio Mungu kwahyo sikuambii kuwa njia hii ina uhakika wa kukufanya upone na kukiponyoka kifo lwa 100%, la hasha! Mimi nachokuambia hii ni njia best ya kukupunguzia probability (uwezekano) ya wewe kuwa mmoja wa marehemu watakaotangazwa kwenye habari kesho yake.
Mtegemee Mungu, sali sana, sali kila saa. Sali kabla hujapanda gari, sali ukishuka gari, sali unapoamka, sali kila unapotoka unapoishi, sali kila kabla na baada ya kumaliza majukumu yako ya siku hiyo, sali kabla ya kurudi nyumbabi, sali ukifika nyumbani, sali kabla ya kulala, sali usingizini.
Kila usqlipo Ombea kwenda jannah/mbinguni na msamaha wa dhambi zako.
Kwa maana kifo muda wote kipo around the corner kikigonga hodi ya kimya kimya, usipokiwahi na kukibania mlango, utakuja kushtukia kimeshakuvamia ndani kimeshakuingilia na hautakuwa na uweZo wa kujitetea.
Siku zote popote stay sharp, always stay alert kama wanawake na always pray.
Kifo always kipo kwa nyuma kunakuvizia...Usipende kukutana nacho maana hutakishinda nguvu, Always kikwepe kabisa na ikiwezekana jifiche kisikuone.
Always tazama macho mbele, usitingishike maana kwa nyuma kuna kifo kinasema Geuka tukuone.
[emoji116]
Lengo sio kufungua mkanda hata kwenye misukosuko ya ajali za magari, lengo ni kuinama kupunguza surface ya mwili ili kupunguza impact. Kwa nini mara nyingi watoto hawadhuriki kwenye hizi ajali?(usijesema ni malaika)Kwenye ndege ile brace brace lengo sio kufungua mkanda ni kuinama ili usiumie zaidi
Kwahiyo unadhani kilichokuokoa usife ni uko kua macho kodo na kujificha?.ndugu kikija kinakuja.haijalishi utakua wapi na utasali kwa kiwango gani.Ukitoka mzima usifikiri ni jitihada zako.jua siku yako bado sio zaidi ya hapo.Mimi nilipona kwa mbinu hii,gari ilikuwa 90.
lbda ajali ikukute tu umesinzia au unachati....lakini mimi huwa na tabia mda wote macho yapo kodo kwa dereva na barabara na huwa nakaa siti za katikati ili nione vizuri
Kama upo kwenye rallyWatanizinguaje na huku ndo mawazi yangu niliyovaa? ....mbona kwenye meli Wana mavazi yao.??
Sasa usiombe ianguke halafu iripuke hapo ndo utajua hujui ukiwa chini ya sitiPicture this[emoji119]: Umekaa ndani ya basi liitwalo X, siti namba X ,unaenda mkoa X kumsalimia X.
Mara ghafla unashtuka basi ulilomo linaanza kuyumba yumba kwa nguvu isivo kawaida na abiria wale viherehere akina mama mostly wameshaanza kupiga kelele za mamaaaa! (statistically speaking women more alert and pay more attention to the small changes in the details of their environment,than males among homo sapens) nini unatakiwa ufanye? Twende kazi[emoji116]
NB: Hii njia inafanya kazi kama umekaa kweny siti za katikati, yani ambayo haiko karibu na ukuta wa gari.... sio dirishani wala siti za nyuma kabisa au mbele kwa dereva) maana hizi ndio sehemu ambazo haziwezi kupata direct impact ya ajari, either kwa kugongwa na kitu au kugonga kitu.
Unachotakiwa kufanya ni kuinama haraka sana na kuingia ndani ya uvungu wa siti,na kuhakikisha unakificha kichwa ndani ya siti. Stay low as possible, stay small as possible. Yani hakikisha unapunguza suface area ya mwili wako haraka sana ili kupunguza area ambayo inaweza kuwa hit. Na kupunguza damage.
This will ensure that kuna very small chance gari linapobinuka utaruka nalo na kujibonda kichwani au kwenye sehemu nyeti.
Asilimia kubwa ya majeruhi wa ajali wanaofariki huwa na majeraha ya kichwa.
Hivyo unatakiwa upambane as best as you can kukilinda kichwa chako.
Mimi sio Mungu kwahyo sikuambii kuwa njia hii ina uhakika wa kukufanya upone na kukiponyoka kifo lwa 100%, la hasha! Mimi nachokuambia hii ni njia best ya kukupunguzia probability (uwezekano) ya wewe kuwa mmoja wa marehemu watakaotangazwa kwenye habari kesho yake.
Mtegemee Mungu, sali sana, sali kila saa. Sali kabla hujapanda gari, sali ukishuka gari, sali unapoamka, sali kila unapotoka unapoishi, sali kila kabla na baada ya kumaliza majukumu yako ya siku hiyo, sali kabla ya kurudi nyumbabi, sali ukifika nyumbani, sali kabla ya kulala, sali usingizini.
Kila usqlipo Ombea kwenda jannah/mbinguni na msamaha wa dhambi zako.
Kwa maana kifo muda wote kipo around the corner kikigonga hodi ya kimya kimya, usipokiwahi na kukibania mlango, utakuja kushtukia kimeshakuvamia ndani kimeshakuingilia na hautakuwa na uweZo wa kujitetea.
Siku zote popote stay sharp, always stay alert kama wanawake na always pray.
Kifo always kipo kwa nyuma kunakuvizia...Usipende kukutana nacho maana hutakishinda nguvu, Always kikwepe kabisa na ikiwezekana jifiche kisikuone.
Always tazama macho mbele, usitingishike maana kwa nyuma kuna kifo kinasema Geuka tukuone.
[emoji116]
Abiria wa kwenye gari lilipata ajali wengi ni waongo. Yumkini husimulia waliyopata kusimuliwa na mashuhuda ama hujitungia stori zao za uongo na kweli.Sio kweli, ajali nyingi abiria huwa wanaziona kabla hazijatokea....ndomaana majeruhi wakihojiwa huwa wanasimulia ilikuwaje, utaskia "Dereva wetu alikuwa anaovertake akakutana na roli,akajaribu kulikwepa ila uskani ukamshinda na kukutana nalo uso kwa uso,"
Sasa kumbe abiria huwa wanajua ila hawajui nini wafanye.
Wewe ukiona dalili tu jifiiche uvunguni, hata isipotokea abiria wakakucheka, ni heri uchekwe kujikinga ajari isiyotokea kuliko kuliliwa ajari iliyokutokea.
Nishawahi fanya hivo wazee wa fursa wa kwenda Minandani Lilipinduka basi karibia na stendi ya Itigi nilikuwa naelekeaTula Tabora mnadani mpira wa mbele ulibasti buuuu mm nakiti changu nimekumbatia kiti hilo linakosa muelekeo mimi na kiti tu nimekumbatia kwa nguvu zote sjakaa sawa likala mueleka likalala linaburuzika mm nakiti tuu naskuumia zaidi yakuangiwa na mabegi mkuu nasema tena kamata kiti[emoji2][emoji2][emoji23]Physics inakataa theory yako. Huwezi kumbatia sababu gari litaruka na wewe utapaa juu ukishuka chini hutakiona hiko koti
Sina maneno mengi zaidi ya kusema Asante Mungu aliniepushia kifo kwenye ajali ya gari Tena harrier baada ya kuipiga semi trailer kwa nyuma . What if it was head to head collision... Sasa hivi ningekuwa mavumbini futi sita nimetulia tuli peke yangu .[emoji58][emoji58]Sijui kama umeishawahi kupata ajali kama hujawahi nikwambie TU kuwa walioko nje ndio hujua Nini kimetokea
Wewe akili itakurudia gari ikiwa imeshamaliza swala lake la kupinduka.
Muhimu funga mkanda Kisha muombe Mungu mfike salama
Ni kweli unalosema ila amini binadamu sometimes tuna kitu kinaitwa sixth sense au tumezoea kuita malaika mlinzi sijui. Hii inaweza kukuonyesha early warning au signs ila kama kawaida yetu sisi wanadamu tunapuuzia vitu vidogo vidogo sana na ndivyo vinavyotugharimu sanaNakupongeza sana umejitahidi kuongea jambo zuri sana.
Lakini bahati mbaya ajali nyingi zaidi 95% ni sudden occasion ambapo huwez pata huo muda wa kurespond kwaajili ya kujikinga.