fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
Unaijua ajali mkuu..?
Alie nje ndo anaona alie ndaNi anstukia kitu puu
Alie nje ndo anaona alie ndaNi anstukia kitu puu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]yaani unakodoa macho ili upate muda wa kushuhudia ajali na kuikwepa,basi ipo siku utashangaa tu umekodoa macho na hakuna ulichoambulia kuona zaidi ya mashuka ya hospitaliniMimi nilipona kwa mbinu hii,gari ilikuwa 90.
lbda ajali ikukute tu umesinzia au unachati....lakini mimi huwa na tabia mda wote macho yapo kodo kwa dereva na barabara na huwa nakaa siti za katikati ili nione vizuri
Kwenye ajali kiherehere hakitakiwi kabisaKuna jamaa, sijui kama ndio alikuwa macho zaidi ya wengine au la, maana basi lilipoanza kupata mushkeli, yeye pekee ndiye aliyechoropoka dirishani, bahati mbaya akaishia kulaliwa na basi na kupoteza maisha, hakuna mwingine yeyote aliyefariki.
Mara nyingi yale majeraha ya kujigonga gonga na kurushwa rushwa ndani ya gari wakati wa ajali ndio huwa yanaua wengiAangalie dereva kilichomtokea na aangalie hao abiria wengine.
Mkanda unakuweka sehemu moja
Watu huwa wanaongea tu ila tafiti zishafanyika sana bila mkanda hutoboiMara nyingi yale majeraha ya kujigonga gonga na kurushwa rushwa ndani ya gari wakati wa ajali ndio huwa yanaua wengi
Uvungu wenyewe hata begi dogo haliingii ajali ya gari sio sawa na kuvamiwa na vibaka kwamba utapata mda wa kupiga keleleWakati hiyo ajali ilivyotokea ulipata muda wa kuingiza kichwa chako ndani ya uvungu wa siti?
Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
Umewahi kupata ajali na ukafanya hayo na ukasalimika?ajali ni kitendo cha sekunde mbili tuPicture this🙌: Umekaa ndani ya basi liitwalo X, siti namba X ,unaenda mkoa X kumsalimia X.
Mara ghafla unashtuka basi ulilomo linaanza kuyumba yumba kwa nguvu isivo kawaida na abiria wale viherehere akina mama mostly wameshaanza kupiga kelele za mamaaaa! (statistically speaking women more alert and pay more attention to the small changes in the details of their environment,than males among homo sapens) nini unatakiwa ufanye? Twende kazi👇
NB: Hii njia inafanya kazi kama umekaa kweny siti za katikati, yani ambayo haiko karibu na ukuta wa gari.... sio dirishani wala siti za nyuma kabisa au mbele kwa dereva) maana hizi ndio sehemu ambazo haziwezi kupata direct impact ya ajari, either kwa kugongwa na kitu au kugonga kitu.
Unachotakiwa kufanya ni kuinama haraka sana na kuingia ndani ya uvungu wa siti,na kuhakikisha unakificha kichwa ndani ya siti. Stay low as possible, stay small as possible. Yani hakikisha unapunguza suface area ya mwili wako haraka sana ili kupunguza area ambayo inaweza kuwa hit. Na kupunguza damage.
This will ensure that kuna very small chance gari linapobinuka utaruka nalo na kujibonda kichwani au kwenye sehemu nyeti.
Asilimia kubwa ya majeruhi wa ajali wanaofariki huwa na majeraha ya kichwa.
Hivyo unatakiwa upambane as best as you can kukilinda kichwa chako.
Mimi sio Mungu kwahyo sikuambii kuwa njia hii ina uhakika wa kukufanya upone na kukiponyoka kifo lwa 100%, la hasha! Mimi nachokuambia hii ni njia best ya kukupunguzia probability (uwezekano) ya wewe kuwa mmoja wa marehemu watakaotangazwa kwenye habari kesho yake.
Mtegemee Mungu, sali sana, sali kila saa. Sali kabla hujapanda gari, sali ukishuka gari, sali unapoamka, sali kila unapotoka unapoishi, sali kila kabla na baada ya kumaliza majukumu yako ya siku hiyo, sali kabla ya kurudi nyumbabi, sali ukifika nyumbani, sali kabla ya kulala, sali usingizini.
Kila usqlipo Ombea kwenda jannah/mbinguni na msamaha wa dhambi zako.
Kwa maana kifo muda wote kipo around the corner kikigonga hodi ya kimya kimya, usipokiwahi na kukibania mlango, utakuja kushtukia kimeshakuvamia ndani kimeshakuingilia na hautakuwa na uweZo wa kujitetea.
Siku zote popote stay sharp, always stay alert kama wanawake na always pray.
Kifo always kipo kwa nyuma kunakuvizia...Usipende kukutana nacho maana hutakishinda nguvu, Always kikwepe kabisa na ikiwezekana jifiche kisikuone.
Always tazama macho mbele, usitingishike maana kwa nyuma kuna kifo kinasema Geuka tukuone.
👇
Aaf akumbuke ajali ni kitendo cha chini ya sounded 30,,je akipewa muda huo anaweza kufanya hayo yote?Sijui kama umeishawahi kupata ajali kama hujawahi nikwambie TU kuwa walioko nje ndio hujua Nini kimetokea
Wewe akili itakurudia gari ikiwa imeshamaliza swala lake la kupinduka.
Muhimu funga mkanda Kisha muombe Mungu mfike salama
Ajali ina Kinga 100% kwasababu 100% ya ajali ni man madeAjali haina kinga.
Hizi ni mbinu zipo worldwide mkuu, mkanda ni kitu cha lazima ila haya anayoongea hata kwenye ndege(nasikia) wanatoa ushauri wa namna hii ili kupunguza impact.Ushauri wa hovyo sana huo.
Usalama wako ni kufunga mkanda tu
Mungu atulinde 🙏🏽Sharamdala unasemaje hapa
kama muvi🤔🤔🤔hio ajali ni slow motion