Hardbody
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 4,139
- 4,640
Bro uzi wako ni wa maana sana watu wanachukulia simple tu, Anyway tahadhari ni muhimu sana siku zote na ulichokifanya hapa ni kutoa tahadhari nini mtu afanye when there's a chance to do but when there's no chance no problems coz ulikuwa unajua nn cha kufanya lakini hukupata chance ya kujiokoa!.Mimi nilipona kwa mbinu hii,gari ilikuwa 90.
lbda ajali ikukute tu umesinzia au unachati....lakini mimi huwa na tabia mda wote macho yapo kodo kwa dereva na barabara na huwa nakaa siti za katikati ili nione vizuri
Tatizo linakuja kwamba hata watu wenyewe wanapo give up kwamba hakuna chance yeyote ya kufanya hivyo hali ya kuwa wanajua kwamba kuna Ajali zingine hupitia stage kadhaa kabla ya Ajali yenyewe kutokea, I think kwa Ajali za Aina hii hizi Protective Measures zinafit kabisa.
All in all Dua na Maombi ni Muhimu sana katika kufanikisha hili ingawa pia kuna wakati muda ukiwadia basi ni lazima tu uchukuliwe kwani Ajali hiyo inakuwa ni SABABU tu lakini siku na saa yako ikitimia ndio COURSE ya wewe kuchukuliwa inapokuwepo Ingawa wanasayansi hawataki kabisa kukubali hichi kitu but myself I do believe on that. NO EXCUSE WHEN YOUR TIME COMES.