Ben-adam
JF-Expert Member
- Jun 2, 2023
- 1,043
- 2,309
hahah bwana wee! Ni wazo zuri!! Ukivaa helmet ya pikipiki ukafunga na mkanda aah labda seat ing'okeWatanizinguaje na huku ndo mawazi yangu niliyovaa? ....mbona kwenye meli Wana mavazi yao.??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahah bwana wee! Ni wazo zuri!! Ukivaa helmet ya pikipiki ukafunga na mkanda aah labda seat ing'okeWatanizinguaje na huku ndo mawazi yangu niliyovaa? ....mbona kwenye meli Wana mavazi yao.??
Ni Bora uonekane hamnazo ila uko safe...!hahah bwana wee! Ni wazo zuri!! Ukivaa helmet ya pikipiki ukafunga na mkanda aah labda seat ing'oke
[emoji38]Ni Bora uonekane hamnazo ila uko safe...!
Daah!! kweli aisee tumwachie mungu tu,maana maisha ya duniani ni kero,shida na matatizo mwanzo mwisho.[emoji38]
Sema ajari hazitabiriki! Unajipanga hivi, inatokea vile!!
Kuna muda nikikumbuka najiuliza: kama gari lingedumbukia mtoni kuna mtu angepona kweli ?[emoji848]
ni vurugu!Daah!! kweli aisee tumwachie mungu tu,maana maisha ya duniani ni kero,shida na matatizo mwanzo mwisho.
Ni mijinga kwanza vile viti huwezi ingia chini yake, pia kwa rollover ya basi atajikuta hana kiuno.Yaani jamaa badala ya kusisitiza watu wafunge mikanda yeye anataka wasifunge mikanda ila wajifiche chini ya uvungu wa viti [emoji848]
Alafu huku nyuma unaliwa kiuno!!Mabasi yanatofautiana...lakini kama uvungu hautoshi basi jikunje pale sehemu ya kuwekea miguu
Maombitoa na mbinu yakujikinga na iziraeli mtoa roho ukiwa umelala, unamkwepaje?
Siku zote abiria wengi wanao kaa kati mara nyingi wao huwa ndiyo manusura wa ajali! Japokua inaweza tokea ki vingine,ya Mungu mengi uwezi jua!!!kati kati
Kifo hakiogopwi, Watu hawataki vifo vya kizembe unaosababishwa na mwanadamu kwa makusudi, wakati anaweza shuhulikiwa kisheria!!Na kwanini uogope kifo wakati ndio njia pekee ya kwenda Paradiso
Wazo zuri sana mkuu,ntalifanyia kaziDawa ni kupanda na element ya pikipiki tu!!
Sijui hata utafanya hayo saa ngapi.hio ajali ni slow motion
Ukipiga mzinga utajikuta MOI pale km uko Dar, mkoa utaletwa pale baada ya siku kadhaa.Sijui kama umeishawahi kupata ajali kama hujawahi nikwambie TU kuwa walioko nje ndio hujua Nini kimetokea
Wewe akili itakurudia gari ikiwa imeshamaliza swala lake la kupinduka.
Muhimu funga mkanda Kisha muombe Mungu mfike salama