Fanya haya ili udumu na mkeo

Fanya haya ili udumu na mkeo

Sawa siwapangii ila hiyo iwe akilini.
Kuwa wanaliwa sana hao wake za watu sijui solution ni nini...?

Maana ....[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Jiulize kwanini hakuna aliyewahifumwa na Ke wa Mtu kitaa kisha alikuja kushuhudia JF jinsi alivyonyang'anywa uanaume kibabe, na akapatwa na ukichaa, ulemavu, umauti?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
😂😂😂😂🙌🏾ila wew unachokitafuta
Hakuna nachokitafuta.....

Nipo care before sija advance huwa nakula tutorial za kutosha jinsi gani tachomoka katika mitego ya kizembe
😂😂😂😂😂😂
 
na kumbe bado n trainee😂😂😂😂 shaur ako kijana
Nipo vizuri na nilichogundua mashangazi yana mchezo wa kuibiana 😂😂😂😂😂😂
Sometimes nakuwaga double agents.
 
Hakuna nachokitafuta.....

Nipo care before sija advance huwa nakula tutorial za kutosha jinsi gani tachomoka katika mitego ya kizembe
😂😂😂😂😂😂
hua wanasema wanawake ndo mashindkana 🙌🏾😂ila naona wew n mwanaume shindikana
 
Jiulize kwanini hakuna aliyewahifumwa na Ke wa Mtu kitaa kisha alikuja kushuhudia JF jinsi alivyonyang'anywa uanaume kibabe, na akapatwa na ukichaa, ulemavu, umauti?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Mpka mtu anakamatwa jua huyo ni mzembe....
 
hua wanasema wanawake ndo mashindkana 🙌🏾😂ila naona wew n mwanaume shindikana
Aaaaaah yaani sometimes nasemaga hivi na mii wangu watamfanya kama hivi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nachokaga
 
Back
Top Bottom