Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Njoo uniombee kwa kweli...naomba nkuombee ilo pepoπππππΎππΎ
Nipo tayari uje tuu πππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo uniombee kwa kweli...naomba nkuombee ilo pepoπππππΎππΎ
naomba location npo tayar kijana unaangamiaπππNjoo uniombee kwa kweli...
Nipo tayari uje tuu πππππ
Usije na wajomba tuu..naomba location npo tayar kijana unaangamiaπππ
Shusha vitu mkuu πππππππKabla sijashusha hoja za Kufa mtu za nguvu mleta mada nataka kujua kitu kimoja tu wewe mleta mada ni mwanaume au ni mwanamke?
we niamin npo apa kwajil ako,, siwezi acha upoteeππππΎm n mtulivu sanaaa sema maisha ya mtandaoni sio ya kuyafanya seriousUsije na wajomba tuu..
Uje wewe kama wewe ...ππππ
Maana wee nawe sometimes una mambo hovyo kabisa ππππππππ
Si ajabu ukawa una miaka 22.Wake za watu ndo wanaongoza kuliwa sana jamani...
Hii nimeshuhudia kwa macho yangu...
Hata ufanye nini ..
Kuliwa ataliwa sana yaani tunawala sana kiufupi...
Anasema mumewe yupo kazini anarudi mwezi wa 6 hivo atakua na mimi week kama 3 hivi... Ni mizagamuo tu
Kataa ndoa.....
Basi nakupa location leo ama kesho uje maana hi hali ikiendelea naweza kufikia pabaya......we niamin npo apa kwajil ako,, siwezi acha upoteeππππΎm n mtulivu sanaaa sema maisha ya mtandaoni sio ya kuyafanya serious
uwe tayar kupokea maombi na uamin mkuuππBasi nakupa location leo ama kesho uje maana hi hali ikiendelea naweza kufikia pabaya......
πππππππππππ
Nishatuma location mkuu uje tuu.
Am warmly waiting for you
πππππππππππSi ajabu ukawa una miaka 22.
Simu umenunuliwa na baba yako, vocha umeomba kwa mama yako.
Natania mkuu.
Nitakua tayari.uwe tayar kupokea maombi na uamin mkuuππ
Amen Amen ππpokea uponyaji huoNitakua tayari.
ππππ Hapa kwanza nimefarijika naona kabisa naenda kupona
πππππππBig mwenye "wareti" yenye "hera" "reo" umejitahidi au Modereta wamekusaidia?
Kwenye EFM Kuna kipindi kinaitwa report ya Leo na Veronica simulizi1.hakikisha una mmudu
hakuna kitu kinacho mvutia mwanamke/kinacho mshawishi mwanamke kuamua kuolewa au kuishi na mwanaume zaidi ya tendo la ndoa
Yale Mambo ya vyakula sjui out nyingi magari fedha havina maana Kama mwanamke hatosheki kwenye swala la ngono
Kwa maana hiyo unapo amua kuishi na mwanamke hakikisha unaowaa mwanamke ambaye unajua una mmudu kitandani kwa mda wote ambao utakuwa nae kwenye uzima na ukamilifu wako uta dumu nae
Kinyume nahapo wazee wa mjini msingi kiuno watakula Sana pesa zako. wataingia saana chumbani kwako. wata tumia Sana magari yako. na watakujua nje ndani baada ya kumjua mkeo.na uta rea Sana watoto zao bila kujua
2.Usiangalie Jana
Mwanamke nikama mtoto kadri anavyo kosea naku kemewa ndivyo anavyo hisi anaonewa na huchukua mda kugundua kwamba alikosea.
wako hivyo mama zetu
Sasa ufanyeje ili asikosee
Kama ulikuwa na tabia ya kumpa majukumu frani na Ana kosea Mara kwa Mara unacho takiwa kufanya nikuya beba majukumu hayo au kumtafutia wa kumsaidia majukumu hayo hakina kitu mwanamke hujiskia vibaya Kama akigundua unajua hajui majukumu yake
Na maa nisha kwamba Kama hajui kupika wali nyama vizuri kwa mfano lakini.
Basi mtoe out nenda nae hoterini au mgahawani wanapo pika chakula kizuuri agiza wali nyama Kisha baada ya kula muulize vipi umekionaje chakula?
Wana wake wanawivu Sana
ataitikia kwa shingo upande nikizurii huku akinyenyua midomo lakini wewe usijari
Mwambie hivi Huwa navutiwa na walinyama wa hapa. najinsi wahudumu wanavyo nihudumia kwa heshima.
Kama. kuni nawisha,usafi,na kauri nzuri. lakini pia chakula Chao ni chakiwango.
baada ya hapo get back home with her
uta jionea atakavyo change
3.acha kumchunguza
Kumchunguza Sana mwanamke humpa hakiri na kibuli Cha kuto kuja kuachika
na pia kadri unavyo mchunguza ndivyo unavyo mpa hakiri za kujua nijinsi gani akifiche anacho kuficha/unacho taka kukijua
Sasa uki gundua wife ana cheat fanya hivi
Unapotoka kazini mletee vocha mwambie nime ku nunulia vocha sababu najua una chat sana/unaongea Sana na simu hata nikiwa sipo
Kumbuka kuzungumza haya huku ukiwa Kama unatania/muonekano wa kutania
na vyovyote ata kavyo kujibu badiri story
kwenye hakiri yake atagundua kitu kitakacho Leta matokeo mazuri kwenye ndoa yako
4.ishi na mkeo Kama rafiki
Zile Mambo za ubaba kukunja sura kununa mikausho mikali wanaita.
vina mnyima mwanamke Uhuru wa kujieleza anavyo hisi
Mwisho wa siku unaanza kuzikuta siri za ndani kwamajirani.
kwani mwanamke si mvumirivu wa kuyatunza maneno kama hana pa kupumulia
mpe Uhuru wa kuzungumza nawewe ili ujue Nini anakiwaza itakusidia kui tengeneza kesho yenu nzuri na mkeo
5.jitambue
Jitambue kwamba wewe ni mwanaume na una mke Kila kitu kina kutegemea wewe
maji,umeme,chakula,mavazi, vyote vipo chini yako
*Usiingie ndani umelewa Hera ya kula huna
*Usiingie ndani uka mwambia mkeo nimebeti nimeliwa mpaka Hera ya kula Sina
*Chunga maneno machafu uwapo mbele ya familia yako kwani matusi hudumu kwenye mioyo ya watu
Mwisho
Unapo amua kuowa Kuna Mambo/tabia za zamani inabidi uzikatae kwani tayari umekuwa father so una paswa kuwa mfano
Baba haingii disco/night crub
Baba hachezi kamali
Baba hapigani/kutukana hovyo
Baba haipaswi kuonekana amelewa au kuvuta sigara mbele ya familia yake
Baba ni kichwa Cha train kwenye reli mke na watoto Nima behewa
so be good.,
Aseme yeye mleta mada jinsia Gani ? Mwanamke au mwanaume nishushe hoja za nguvuShusha vitu mkuu πππππππ
Tumekuelewa mafather1.hakikisha una mmudu
hakuna kitu kinacho mvutia mwanamke/kinacho mshawishi mwanamke kuamua kuolewa au kuishi na mwanaume zaidi ya tendo la ndoa
Yale Mambo ya vyakula sjui out nyingi magari fedha havina maana Kama mwanamke hatosheki kwenye swala la ngono
Kwa maana hiyo unapo amua kuishi na mwanamke hakikisha unaowaa mwanamke ambaye unajua una mmudu kitandani kwa mda wote ambao utakuwa nae kwenye uzima na ukamilifu wako uta dumu nae
Kinyume nahapo wazee wa mjini msingi kiuno watakula Sana pesa zako. wataingia saana chumbani kwako. wata tumia Sana magari yako. na watakujua nje ndani baada ya kumjua mkeo.na uta rea Sana watoto zao bila kujua
2.Usiangalie Jana
Mwanamke nikama mtoto kadri anavyo kosea naku kemewa ndivyo anavyo hisi anaonewa na huchukua mda kugundua kwamba alikosea.
wako hivyo mama zetu
Sasa ufanyeje ili asikosee
Kama ulikuwa na tabia ya kumpa majukumu frani na Ana kosea Mara kwa Mara unacho takiwa kufanya nikuya beba majukumu hayo au kumtafutia wa kumsaidia majukumu hayo hakina kitu mwanamke hujiskia vibaya Kama akigundua unajua hajui majukumu yake
Na maa nisha kwamba Kama hajui kupika wali nyama vizuri kwa mfano lakini.
Basi mtoe out nenda nae hoterini au mgahawani wanapo pika chakula kizuuri agiza wali nyama Kisha baada ya kula muulize vipi umekionaje chakula?
Wana wake wanawivu Sana
ataitikia kwa shingo upande nikizurii huku akinyenyua midomo lakini wewe usijari
Mwambie hivi Huwa navutiwa na walinyama wa hapa. najinsi wahudumu wanavyo nihudumia kwa heshima.
Kama. kuni nawisha,usafi,na kauri nzuri. lakini pia chakula Chao ni chakiwango.
baada ya hapo get back home with her
uta jionea atakavyo change
3.acha kumchunguza
Kumchunguza Sana mwanamke humpa hakiri na kibuli Cha kuto kuja kuachika
na pia kadri unavyo mchunguza ndivyo unavyo mpa hakiri za kujua nijinsi gani akifiche anacho kuficha/unacho taka kukijua
Sasa uki gundua wife ana cheat fanya hivi
Unapotoka kazini mletee vocha mwambie nime ku nunulia vocha sababu najua una chat sana/unaongea Sana na simu hata nikiwa sipo
Kumbuka kuzungumza haya huku ukiwa Kama unatania/muonekano wa kutania
na vyovyote ata kavyo kujibu badiri story
kwenye hakiri yake atagundua kitu kitakacho Leta matokeo mazuri kwenye ndoa yako
4.ishi na mkeo Kama rafiki
Zile Mambo za ubaba kukunja sura kununa mikausho mikali wanaita.
vina mnyima mwanamke Uhuru wa kujieleza anavyo hisi
Mwisho wa siku unaanza kuzikuta siri za ndani kwamajirani.
kwani mwanamke si mvumirivu wa kuyatunza maneno kama hana pa kupumulia
mpe Uhuru wa kuzungumza nawewe ili ujue Nini anakiwaza itakusidia kui tengeneza kesho yenu nzuri na mkeo
5.jitambue
Jitambue kwamba wewe ni mwanaume na una mke Kila kitu kina kutegemea wewe
maji,umeme,chakula,mavazi, vyote vipo chini yako
*Usiingie ndani umelewa Hera ya kula huna
*Usiingie ndani uka mwambia mkeo nimebeti nimeliwa mpaka Hera ya kula Sina
*Chunga maneno machafu uwapo mbele ya familia yako kwani matusi hudumu kwenye mioyo ya watu
Mwisho
Unapo amua kuowa Kuna Mambo/tabia za zamani inabidi uzikatae kwani tayari umekuwa father so una paswa kuwa mfano
Baba haingii disco/night crub
Baba hachezi kamali
Baba hapigani/kutukana hovyo
Baba haipaswi kuonekana amelewa au kuvuta sigara mbele ya familia yake
Baba ni kichwa Cha train kwenye reli mke na watoto Nima behewa
so be good.,
Hakuna uzembe wala nini, zikitimia 40 tu hutaonekana JF tena zaidi ya kubadili ID na kuasa Watu wasizini na Ke za Watu.Mpka mtu anakamatwa jua huyo ni mzembe....
Huu ni ukweli mchungu unaouma mno.Fanya majukumu yako kwa kadri ya uwezo wako,usije ukaji overstretch ili kukidhi mahitaji yote ya mkeo.
Wanawake hata uwafanyie nini hawaridhiki.Mwanamke siku zote anahitaji kile kitu ambacho huna.
Ukiweza kumnunulia gari,lakini huwezi kuliosha au kumzibia pancha,tayari ni kigezo cha yeye kumpa mwanaume mwingine thamani vs You!
Nacheka lakini naogopa mkuuHakuna uzembe wala nini, zikitimia 40 tu hutaonekana JF tena zaidi ya kubadili ID na kuasa Watu wasizini na Ke za Watu.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.