Fanya haya ili udumu na mkeo

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€
Yaani acha tuu acha kabisa hawa wa kwenye ndoa mmmmh πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸΎila wew unachokitafuta
 
vip biashara inalipa man umeikomalia kwelikweli
Inalipa sana kama now nipo out of campus...
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Inalipa sana kama now nipo out of campus...
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
na kumbe bado n traineeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ shaur ako kijana
 
Sawa siwapangii ila hiyo iwe akilini.
Kuwa wanaliwa sana hao wake za watu sijui solution ni nini...?

Maana ....[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Jiulize kwanini hakuna aliyewahifumwa na Ke wa Mtu kitaa kisha alikuja kushuhudia JF jinsi alivyonyang'anywa uanaume kibabe, na akapatwa na ukichaa, ulemavu, umauti?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸΎila wew unachokitafuta
Hakuna nachokitafuta.....

Nipo care before sija advance huwa nakula tutorial za kutosha jinsi gani tachomoka katika mitego ya kizembe
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
na kumbe bado n traineeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ shaur ako kijana
Nipo vizuri na nilichogundua mashangazi yana mchezo wa kuibiana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Sometimes nakuwaga double agents.
 
Hakuna nachokitafuta.....

Nipo care before sija advance huwa nakula tutorial za kutosha jinsi gani tachomoka katika mitego ya kizembe
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
hua wanasema wanawake ndo mashindkana πŸ™ŒπŸΎπŸ˜‚ila naona wew n mwanaume shindikana
 
Nipo vizuri na nilichogundua mashangazi yana mchezo wa kuibiana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Sometimes nakuwaga double agents.
πŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎUmeshinda bwan πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Jiulize kwanini hakuna aliyewahifumwa na Ke wa Mtu kitaa kisha alikuja kushuhudia JF jinsi alivyonyang'anywa uanaume kibabe, na akapatwa na ukichaa, ulemavu, umauti?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Mpka mtu anakamatwa jua huyo ni mzembe....
 
hua wanasema wanawake ndo mashindkana πŸ™ŒπŸΎπŸ˜‚ila naona wew n mwanaume shindikana
Aaaaaah yaani sometimes nasemaga hivi na mii wangu watamfanya kama hivi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nachokaga
 
Aaaaaah yaani sometimes nasemaga hivi na mii wangu watamfanya kama hivi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nachokaga
naomba nkuombee ilo pepoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…