9. Kataza wengine wasiombewe, zuia kabisa usiangalie uso wa mtu.Umesahau kitu kimoja...
8. Bembeleza kuombewa huku ukigoma kutubu
10. Wote wanaokupinga wafungulie kesi ya uchochezi9. Kataza wengine wasiombewe, zuia kabisa usiangalie uso wa mtu.
10.zaa hovyo kama panya kila mtaa mwanamke10. Wote wanaokupinga wafungulie kesi ya uchochezi
10.zaa hovyo kama panya kila mtaa mwanamke
12.Usiwe unaongea..wewe bwataa tu yani bwataaaaaa..11. Usiruhusu watu walamamike wanapoona hali ya maisha ni mbaya
10.zaa hovyo kama panya kila mtaa mwanamke
11.Weka msemaji wako bwege kuliko wote afrika mashariki.10.zaa hovyo kama panya kila mtaa mwanamke
12.Usiwe unaongea..wewe bwataa tu yani bwataaaaaa..
Actuare swari rako ni vere tekniko..nimeerekeza ukeketwe..Nini faida za kuwa baba Jesca a.k.a Fid Q?
BASHITE anahusika Na namba Saba. BASHITE ndiye anamfanya Fid Q Aishi kwenye lile pango la wanyang'anyi. BASHITE Na kujifanya mlokole sana, ni mshirikina Na kugagula namba moja. Uchawi wote wa Fid Q na roho mbaya yake umeletwa kwa hisani ya BASHITEHabari wana JF,
Ukifanya haya tena ukiweza labda yote basi utafanikiwa kuwa katili zaidi hadi ibilisi atakushangaa..
1. Usihudhurie misiba kuwapa watu pole.
2. Watu wakipatwa na majanga usiende kuwafariji.
3. Ikitokea umeenda, usiende kwa wkt na ukifika wafokee sana, wakate maini kabisa.
4. Usiwape chakula wenye njaa tena waambie "wafe tu"
5. Samehe jinai
6. Shitaki wanaolalamika eti maisha magumu
7. Okota vitu vya watu kama hela, magari n.k. halafu jigawie...waache walie
Mengine ongezea mwana JF..
ONYO: Ukatili ni kitu kibaya sana.
Mtaani kwetu kuna Mzee tunamuita BABA BWATO! Anabwata huyooooo!12.Usiwe unaongea..wewe bwataa tu yani bwataaaaaa..
Babu umepatia mia kwa miaUmesahau kitu kimoja...
8. Bembeleza kuombewa huku ukigoma kutubu
Noma sana jamaa, umeua!Umesahau kitu kimoja...
8. Bembeleza kuombewa huku ukigoma kutubu
Fid Q ni "Msanii" Wa "Kufoka foka".. mzee kwenye fasihi uko vzr..hakika hufikiri kwa kutumia kina cha chini cha utumbo mpana!
Mshikaji ana govi, kwao tohara hadi msaada wa watu wa USA.Actuare swari rako ni vere tekniko..nimeerekeza ukeketwe..
Nae ana sura ya kishari kama zee kidevu?Mtaani kwetu kuna Mzee tunamuita BABA BWATO! Anabwata huyooooo!
Ha ha ha ha ha ha ha!Mshikaji ana govi, kwao tohara hadi msaada wa watu wa USA.
wewe ni noma, sio kwa medula ya kawaida. You are a brave great thinker. Ur uniqueFid Q ni "Msanii" Wa "Kufoka foka".. mzee kwenye fasihi uko vzr..hakika hufikiri kwa kutumia kina cha chini cha utumbo mpana!