Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
sijaelewa.Vingine mbwa haruki ntamalizia wapi mimi
Mkuu mbona nipo hapa sikuoni?
Sent using Jamii Forums mobile app
poa.kumbe mda mwingine unaweza kupost vitu vya maana
Vipi tenaSwala maji liache tu
Nilikunywa maji nikaumwa maji kwa watu hapanaVipi tena
Kama unajijua unatatizo ukichanganya maji basi huna namna itabidi uyakimbie tu.Nilikunywa maji nikaumwa maji kwa watu hapana
Huwa nafanya hivyo mkuuKama unajijua unatatizo ukichanganya maji basi huna namna itabidi uyakimbie tu.
Ok
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]kumbe mda mwingine unaweza kupost vitu vya maana
Ila ugenini kwenyewe kusiwe NigeriaUkiwa ugenini kamwe usithubutu kubakisha chakula hata kama ni kingi kiasi gani ,,ukibakisha utamsononesha mpishi atajiona hajui kupika.
Pia usiagize maji ya dukani,kunywa yale yale utakayopewa,ukikataa watahisi umewadharau .
pole mrembo..Nilikunywa maji nikaumwa maji kwa watu hapana