Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Ukiwa ugenini kamwe usithubutu kubakisha chakula hata kama ni kingi kiasi gani ,,ukibakisha utamsononesha mpishi atajiona hajui kupika.
Pia usiagize maji ya dukani,kunywa yale yale utakayopewa,ukikataa watahisi umewadharau .
Pia usiagize maji ya dukani,kunywa yale yale utakayopewa,ukikataa watahisi umewadharau .