Fanya hivi usipofanikiwa niite mbwa nimekaa pale

hapo ndio huw nafeli kiasi cha kukaa na ukata kwa mda mrefu, nashindwa kuicontroll fedha jamaa zangu
 
Sadaka za madhabahuni zinanguvu mno iyo kusaidia watu ni lazima sio sadaka Mangi !!
Sitokufundisha kila kitu
Inategemea madhabahu yako umeiandaa wapi! Nimeona watu wapo madhabahuni wanatongoza wake za watu ibada ikiendelea. Kuna siri kubwa sana na vinavyoitwa madhabahu kwenye hizi mainstream churches. Ukienda kanisani angalia kwa macho ya rohoni utaona vitu vingi vya kuogofya kwenye sadaka na madhabahu
 
Watumishi huwa wanawadanganye kwa kusoma kimstari kimoja tu badala ya kusoma neno kamili
Ni kweli Kabisa!
Wanang'ang'aniza maandiko Ili waibe Pesa za Watu Waliozichumia Jasho wakati nao hawana uhitaji wana mikono Miwili na miguu wanaweza kwenda shambani na wakalima..

Pesa Inatakiwa iende Direct kwa Wanaoihitaji kama Mayatima , Wasiojiweza Nenda kwenye vituo vya kulelea Watoto yatima wape msaada ..Tafuta watu wenye Mahitaji Wape msaada..

Utabarikiwa Saaana plus Uwe Na nidhamu ya Pesa
 
Unaandika formula ulizozisoma kwenye vitabu sizizo na uhalisia?

Hiyo hela unsyoipigia asilimia Iko wapi? Benki unadaiwa, vikoba unadaiwa, kwa mangi unadaiwa, shule watoto wamerudishwa nyumbani. Unaongea nini? Huo mkupuo wa kupigai asilimia uko wapi,?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…