Fanya yafuatayo ukitaka usivamiwe sana na vibaka au hata wakuokoe kwenye hatari

Kw hiyo unashiriki uovu siyo ?
 
Hiyo no 7 ukiwa unashinda nao maskani na wewe unakua kibaka automatic,ndege wafananao huruka pamoja
 
Gharama za pombe ulizowanunulia miaka yote ungetafuta chumba ushuani
😂 😂 Pombe zenyewe viroba, vilikuwa vinauzwa kwa mafungu, buku tu watu watatu wanalewa na nilikuwa siwapi kila siku, hivyo atakama ningetunza chumba ushuani nisingepata, Kipindi kile tu hapo Sinza Mugambe chumba cha kujitengemea ( self contained) nilikuwa nalipa laki na ishirini na hakikuwa kizuri kivile, sasa ushuani ingekuwaje?​
 
Ili dawa zao zisifanye kazi wewe jaza ndoo ya maji na uiweke wazi wakipulizia dawa inafyonzwa na maji. Hivyo inamaliza nguvu
 
8. Wape 0713 kabisa Kila unapokutana nao
 
Nah, I'll never do this kind of shit.

Mwizi ni Mwizi tu sababu tayari yeye alishaamua kuona kudhuru wengine ni jambo la kawaida hivyo kumuogopa na kumsaidia sio kitu sahihi.
Njia pekee ya kumsaidia ni kumfanya aache wizi na sio kujipendekeza kwake ili akuache huku akiendelea kufanya uovu kwa wengine.
Kumsaidia ni kumreport polisi akitoka awe raia mwema au kumpa kipigo mpaka ajute kwanini aliamua kuwa mwizi.

Au kama kila mtu akiwa hivi kama wewe basi wizi hautoisha na wataona fahari kuendeleza hizo tabia mbovu sababu wanajua watu watajipendekeza kwao kwa uoga hivyo wao kuwa na power kwenu.

Kuishi namna hii ni uoga wa maisha yaani unaishi jinsi jamii inavyotaka na sio unavyotaka wewe now huo ni utumwa wa kisaikolojia wa kujitakia.

Maisha ni mafupi mno kuishi jinsi kima fulani anataka sababu ya uoga na kuogopa vitu ambavyo huna uhakika navyo kama vitatokea.
Na wanasema asilimia 99 ya vitu unavyoviogopa vitatokea havitatokea so hapa ni kujipa tabu, stress zisizo na msingi na kujichosha bure na kupoteza muda tu kufanya maisha yako na mambo yako ya maana ya maendeleo.
Unless na wewe unaendana na hao wezi walivyo na ndio maana unaweza kukaa kijiweni kuongea pumba na wezi. ndege wafananao huruka pamoja.

Iko hivi, mimi naishi ninavyotaka kama siku utaibiwa basi utaibiwa au kama hautaibiwa basi hautoibiwa na hakuna cha kufanya kuzuia hicho hicho kitu especially kama hujui kitatokea au lah.

Mimi katika maisha yangu nina kanuni moja yanapokuja mambo ya fujo, ukilianzisha ni eidha nikupige au tupigane au wewe unipige mimi na kama ukishindwa kunipiga basi mimi nitakupiga wewe.
Ukiondoa majambazi wenye silaha za moto siku mwizi au kibaka atakapo jaribu kuvunja ndani kwangu basi nondo lazima ihusike na ni lazima mmoja aende chini hakuna kulialia na bila shaka hatorudia tena.
 
3. Ukijua wanavuta Bangi au Pombe siku ukiwa nazo mfukoni wanunulia
Nakuunga mkono kwenye hoja zako zote isipokuwa hiyo namba 3.
Kwangu mimi naona kuwanunulia bangi na Pombe ni kama kuendelea kuwapoteza zaidi. Ila kwa mengine naona yako vizuri sana. Hasa la kuwatafutia njia halali za kuwaingizia kipato na kuwaambia habari njema za kiimani za kumrudia Mungu.

 
Mteja ufugiki hata kidogo mm nahisi mleta mada anawazungumzia wale wanetu masela wavinyaji 🤣🤣
Eeh wale madogo wa maskani kweli ila mjunki lazma akuuze, yani haji yeye ila anakulengesha kwa toops😅
 
Hakika mkuu Alosto mbaya sana kuna mteja mmoja kitaa alishawahi kumwibia mkewe chupa ya uji wa mtoto wake yaan ilikuwa hv mkewe yupo geto anamnyeshwa mtoto uji jamaa akamwita mkewe kwa nje basi yule dada kutoka jamaa akazunguka mlango wa nyuma akachukua chupa ya uji akasepa mkewe kurudi chupa ya uji hakuna ikabidi aulize wapangaj wenzie wakamwambia mbona mumeo Kapuya hapa na chupa Bi Dada alichokaa sana
 
kuna ka ukweli ila elewa tu kwamba binadamu hatabirikiii anyway heshimu kila mtu na ishi kimachaleeee yaaani kuna watu mtaani/maofisini ni ma snitch kuliko hata vibaka ulowaongelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…