Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chawa wa Mama Kizimkazi.Wewe unafanya kazi?
[emoji7][emoji7]Vijana ni kama wamewehuka hasa kwa sasa wamebaki wanasubuli tu mwabukusi amesema nini leo ili iwe topic siku nzima
Hawajui kuwa selikali inaweza kuamua kulifuta hata hili li TLS likizingua
Limezingua nini au kwa vile limeuliza watu wanaopotea? Omba apotee ndugu yakoVijana ni kama wamewehuka hasa kwa sasa wamebaki wanasubuli tu mwabukusi amesema nini leo ili iwe topic siku nzima
Hawajui kuwa selikali inaweza kuamua kulifuta hata hili li TLS likizingua
CCM kwanza.TLS banaa...
Badala ya malengo yao make wao wanakumbatia "siasa"....
TL
FK
MW
Hatari sana
#Nchi Kwanza[emoji7]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mungu akikubless ukatoboa hapa duniani usijione mjanja ukadhani kuwa ww ni bora kuliko wengine....kila mtu ana wakati wake mkuu na ukumbuke kuwa maisha yanaweza geuka tu within seconds wewe uliyejuu ukashuka chini na aliyechini akapanda juu.Vijana ni kama wamewehuka hasa kwa sasa wamebaki wanasubuli tu mwabukusi amesema nini leo ili iwe topic siku nzima
Hawajui kuwa selikali inaweza kuamua kulifuta hata hili li TLS likizingua
TLS haipo hapo kama hisani muwe mnaenda shule kwanza , we mwenyewe kazi imekushinda umeamua kuwa chawa ,au uchawa nayo ni kazi?Vijana ni kama wamewehuka hasa kwa sasa wamebaki wanasubuli tu mwabukusi amesema nini leo ili iwe topic siku nzima
Hawajui kuwa selikali inaweza kuamua kulifuta hata hili li TLS likizingua
naomba nirushie buku mkuuVijana ni kama wamewehuka hasa kwa sasa wamebaki wanasubuli tu mwabukusi amesema nini leo ili iwe topic siku nzima
Hawajui kuwa selikali inaweza kuamua kulifuta hata hili li TLS likizingua