Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
Anza mwaka mpya 2025 ukiwa na furaha ya afya njema na sio kuchota maradhi kwa ngono zembe.
Jizuie na ngono nzembe kuepuka magonjwa ya zinaa ya fedheha kama vile UTI Sugu, gono, kaswende au ukimwi.
kwa wewe mwenye UTI au gono, jitibu kwanza na umalize dozi, acha kuambukiza wengine kwa tamaa na makusudi. huo sio ungwana.
Nawatakia wadau wote wa jukwaa hili heri ya mwaka mpya 2025.
Neema na Baraka za Mungu ziambatane na kuandamana nasi sote kwa mwaka mpya ujao, tupendane na kuheshimiana licha ya kutofautiana maoni na mitazamo dhidi ya mambo kadha wa kadha. Kama binadamu hatulingani na wala hatufanani.
Happy New Year2025 in advance Family 🎉 🎉
Jizuie na ngono nzembe kuepuka magonjwa ya zinaa ya fedheha kama vile UTI Sugu, gono, kaswende au ukimwi.
kwa wewe mwenye UTI au gono, jitibu kwanza na umalize dozi, acha kuambukiza wengine kwa tamaa na makusudi. huo sio ungwana.
Nawatakia wadau wote wa jukwaa hili heri ya mwaka mpya 2025.
Neema na Baraka za Mungu ziambatane na kuandamana nasi sote kwa mwaka mpya ujao, tupendane na kuheshimiana licha ya kutofautiana maoni na mitazamo dhidi ya mambo kadha wa kadha. Kama binadamu hatulingani na wala hatufanani.
Happy New Year2025 in advance Family 🎉 🎉