Baada ya ultimatum ya masaa 48 lililopewa jeshi la DRC kuweka siraha chini, likagoma, hatimae ziwa Kivu lilifungwa pia. Hivyo kuingia au Kutoka Goma ikawa ndo haiwezekani tena, maana na mipaka ya ardhini ilifungwa.
Jeshi la serikali lilitii amri na kupelekea siraha MONUSCO, huku wao wakijikabidhi mikononi mwa waasi wa M23.
Kwa kifupi, Goma ipo chini ya ulinzi wa M23
Jeshi la serikali lilitii amri na kupelekea siraha MONUSCO, huku wao wakijikabidhi mikononi mwa waasi wa M23.
Kwa kifupi, Goma ipo chini ya ulinzi wa M23