Ngoma kuubadilisha huu mfumo.. i wish kila mtanzania angetambua Tanzania bila umasikini inawezekana. Watu wamezoea umasikini mpaka hawaamini mabadiliko ! Kweli ccm wanadhambi sana ktk hiliTatizo la nchi yetu ni mfumo, tubadilishe mfumo kwanza then kila kitu kitaenda smoothly
hivi unawafahamu wakandarasi waliojenga hizo barabara, fuatilia kwani wote ni wakristo. kwa hiyo walikuwa wanaharibu ili alaumiwe Dr Shukuru kawambwa? haya tukirudi suala la mitihani, Katibu Mkuu ambaye ndiye mtendaji mkuu wa NECTA ni Mkristo, waislam walivyotaka kuandamana ili Dr Ndalichako achukuliwe hatua, mliwakebehi na kuwaona wadini. leo form four wengi wamefeli mnamtaka Dr Kawambwa ajiuzulu bila ya kumgusa Katibu Mtendaji. kisa, ni mwislamu. fikra gani unatuletea? shida kubwa ninayoipata hapa ni kwa watu kama japhet ambao huangalia matokeo ya kitu badala ya kuangalia msingi wa hilo tatizo. kama wewe ni mzazi basi bila shaka ni mzazi mbaya sana. kila jambo zuri kafanya mkristo na kila jambo baya kafanya muslamu. kama dini ndiyo tatizo, mbona mataifa ya kiarabu ambayo kwa kiasi kikubwa huongozwa na waislam ndiyo yanaongoza kwa kuwa na uchumi imara. shida kubwa ni kuishi bila ya kutembea nchi za watu. Nenda Qatar, Falme za Kiarabu, Oman, Iran, Saudi Arabia ukashuhudie maisha yalivyo bora na kila kitu kiko sawa mpaka mataifa ya magharibi yanaenda kujifunza huko
kuhusu suala la ulimboka kuteswa, nani asiyetambua kuwa ule ulikuwa ni mpango wa akina kubenea wakitumwa na chadema na wanaojiita wanaharakati ili kuchafua image ya idara yetu nyeti na serikali. sasa wameumbuka baada ya malalamiko yao waliyopeleka THE HAGUE kutupiliwa jalalani maana yamebainika ni uzushi
Of course yes!, wewe ulidhani ni ballot?!.Kumbe wao ndiyo wanaamua!
(Ni hapo kwenye nyekundu.) .
Sihitaji kuimba taarab ili nionekane great thinker, ila mtu anayetetea uvunjaji wa sheria kwa kigezo cha uzoefu hawezi kuwa somebody who thinks critically unless there are some loose bolts somewhere
Huyu Japhet Mosi ndo wale wale waliotumwa kunena hata kama ameandikiwa kuwa aseme baba yake hajamzaa atasema hivyo hivyo ilimradi tu katumwa na mkubwa. Mbona hatoi mifano ya akina MRAMBA, MGONJA na wakristo wengine walilifikisha taifa hapa tulipo? au haujui madudu ambayo Mramba na wenzake walifanya? kama siyo udini ameshindwa nini kutaja hata muislamu mmoja ambaye ni mtendaji mzuri au anjifanya hawajui? HuyunLOWASA wanayempamba kuwa ni jembe siyo mkristo? au kwa vile anawarubini na fedha alizoliibia taifa wanataka kujisahaulisha kuwa siyo fisadi na kwamba alisingiziwa? Basi wakristo hawa watakwa wa ajabu kama MWAKYEMBE, SAMWEL SITTA, WILLIAM SHELUKINDO ambao wote ni wakristo waliweza kumsingizia mkristo mwenzao na kwa lipi wafanye hivyo.
Mkuu Thatha, pole sana!, uelewa wa hoja fulani fulani unahitaji level fulani fulani!, yaani ni mambo ya IQ!. Uamuzi wa kujiondokea zako kuliko kusoma usichoelewa na kuthania ni upuuzi!. Ukiona huku huelewi tembelea majukwaa mengine yapo kibao!.Ukitaka kumjua muongo mmbea na mwenye majungu angalia maandishi meku-ndu. Anabakia tu kusema wa kwenu, mara hakabidhiwi, akinanani? sema. Bora nijiondokee zangu kuliko kusoma upuuzi huu wa wanasiasa.
Japhet Mosi, naona na wewe ni miongoni mwa wale wanaoona kuwa othman ni kikwazo. kumbe hata hili la kushinikiza astaafu nimebaini ni kutokana na jitihada zenu za kumshinikiza ajiuzulu kwa sababu zenu za kisiasa kushjindikana. na mara zote huwa nasema ukitaka kuwa mtu mzuri jaribu pia kusikiliza maoni ya wale usiowapenda. kwa kushinikiza mimi nifungiwe ni wazi kuwa una huo ugonjwa. na kama mnataka muongoze nchi kwa staili ya kusikia maneno yanayowafurahisha tu ni wazi kuwa mtalipeleka taifa pabaya. ndiyo maana watanzania wamebainio hivyo na huyo Dr Slaa wenu mnayempenda anaendelea kuporomoka kiwango chake cha kupendwa na mpaka 2015 ndo atakuwa amepotea kabisa kwenye ulimwenu wa siasa tanzania. halafu unaafikiri wale jamaa wa mlimani watamruhusu agombee tena? wapi. jamaa wamejipanga kweli.
Katiba na mfumo hata vikibadilishwa mara mia. bila watanzania kubadilika na kuacha uvivu hakuna loloteMfumo gani? au mfumosisiemu?
Labda tumaini lipo kwenye katiba kama haitachakachuliwa
Mkuu Thatha, pole sana!, uelewa wa hoja fulani fulani unahitaji level fulani fulani!, yaani ni mambo ya IQ!. Uamuzi wa kujiondokea zako kuliko kusoma usichoelewa na kuthania ni upuuzi!. Ukiona huku huelewi tembelea majukwaa mengine yapo kibao!.
Pasco.
Sioni kama hoja ya MBATIA inatoa picha yoyote hapa. Kuna wanafunzi waliofanya vizuri tu, sasa tuseme walikuwa na mitaala yao toauti na wale waliofeli? Halafu mimi nashangaa, wanaolalamika ni wale ambao watoto wao, ndugu zao na jamaa zao wamefanya vibaya katika matokeo hayo, wale ambao watoto wao wamefanya vizuri wamefurahi sana na kuipongeza serikali tena tunao mitaani wanasema wazi kuwa watoto wa jirani zao walikuwa wavuta bangi, watumia simu za mikononi hovyo na vitu kama hivyo. Hivi mtaala hata ukiwa mzuri vipi utamzuia mtoto kuvuta bangi?
Mkuu BAK, huku kukanusha kitu ambacho kipo na kudai hakipo kunaitwa "negation" kwa lengo la kujifariji tuu!. Facts remain facts kuwa Mkuu wa Usalama wa Taifa yupo, ila kwa vile Taifa hili ni taifa la mafisadi from top to butom, then huyu ni mkuu wa usalama wa taifa la mafisadi na kama mkuu wa usalama then jukumu lake pia ni kulinda huo usalama wa hao mafisadi wenye hilo taifa!.
Kwa msio jua who was behind Kagoda, tembeleeni hansard za bunge mjue Mama Meghji alieleza nini kuhusu fedha za Kagoda, zilichotwa kwa kazi gani na ilisimamiwa na nani?. RA was just a vehicle!. Please mwacheni RO amalize ngwe yake salama bila EPA nyingine ili amkabidhi huyo wa kwenu!. Hivi sasa wanafanya internal transformation kujiandaa kuikabidhi nchi kwa watakaochaguliwa 2015, hivyo sio busara kufanya mabadiliko makubwa!, vinginevyo mtakuwa hamkabidhiwi nchi!.
Pasco