Farewell RO....

Status
Not open for further replies.
Bibi yangu aliwahi kuniambia kuwa mti wenye matunda daima hupigwa na kupopolewa mawe kila uchao, sasa nimeamini
 
hivi Rashid Othman ni mzee sana kuliko DR SLAA?????????? hebu wanaowafahamu hawa kwa uzuri watusaidie, mbona slaa yupo na uzee wote ule lakini hatusikii ajiuzulu au kustaafu

cha kushangaa mhicho bwana. huyu babu yao anazeekea kutafuta madaraka na anahemea u first lady wa Josephine. kama anajidanganya kuwa Josephine ipo siku ataitwa Mjane wa Rais wa Tanzania huko kuota ndoto za ali nacha. urais 2015 haupati ng'o kwanza kwa sasa amepoteza mvuto sana. mpaka ikifika 2015 itakuwa kwisha habari zake. vijana akina shonza na mwampamba wanaendelea kutuibulia mambo ambayo yalikuwa chini yua carpet
 

Huu ni ukweli mtupu Pasco!
 
aliteuliwa kishkaji ataondoka kishkaji na mshkaji wake

Mambo ya vipedo hayo; Kama jaji kiongozi alipewa mkataba ,kwanini RO asipewe? Nakuhakikishia kama alivyosema Nyabhingi maadam aliingia kishikaji atamaliza na mshikaji wake!!
 

Mkuu Mwanakijiji, naona unautafuta umaarufu kupitioa majina ya watu mana usipomtaja Othman au Zoka habari yako haipati wasomaji kabisa.
 
The vice versa also is true, Competent people are like trees with sweet fruits, are the ones who are always beaten by stones.

But in Tanzania now, competent people are sent parking earlier than thought....ni kwa ujumla wake! Ndio maana karibu kila shirika la umma liko hoi, kwa kuongozwa na magoigoi ambao wanaongezeana muda tu hata kama wana deliver zero... Hii idara ni tofauti na idara zote zilizobaki, I reserve the opinion I wanted to make...
 
Kuongezeana muda wa kustaafu kunapatikana Tanzania, wakati huo vijana wanapakwa mafuta kwa mgongo wa chupa kuwa ni taifa la kesho
 
we want Othman to retire because of his age or because of his long service?????????? if at all we look at his age, we are real done!!!!!!!!!!!!!!!!!! the guy is hadworking, transparent and patriot, ninavosikia huku kwenye kijiwe chetu cha kahawa.
 
Mbowe ana miaka mingapi kwenye uenyekiti mbona hammwambii astaafu??????????????????????????

weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, yule bwana hakamatiki pale labda atake mwenyewe kuachia ngazi lakini si kwa shinikizo la vibaraka hao. yule bwana si unakumbuka uchaguzi wa 2005, alipata misaada kutoka kwa vibaraka wao wa nje halafu akadai kuwa anakikopesha chama fedha za kampeni ili aendelee kutafuna mali ya chadema. halafu si unaona wanavyojipanga. wachaga ndio wanaandaliwa kushika hatamu. huyu kijana wa ubungo, john mnyika hata elimu hana lakini kapata madaraka makuuuuubwaaaaaa. ndo wanavyofanya hivyo. uchaguzi bado lakini tayari wamepanga baraza lao la mawaziri. pambafu. hakuna kitu mle
 
Kuongezeana muda wa kustaafu kunapatikana Tanzania, wakati huo vijana wanapakwa mafuta kwa mgongo wa chupa kuwa ni taifa la kesho

vijana ambao ni hardworking na wazalendo wapo kazini, walalamikaji na wenye chuki kama wewe wapo kijiweni wanadanganyana, wakipelekwa shule wanacheza na facebook wakitafuta wachumba, siku ya mtihani zeroooooooooo
 
sijawahi kuona habari ya kujenga toka kwa Mwanakijiji, sana huyu jamaa huchochea chuki tu sijui binadamu wengine mungu amewanyima nini wakuu
 
Kuongezeana muda wa kustaafu kunapatikana Tanzania, wakati huo vijana wanapakwa mafuta kwa mgongo wa chupa kuwa ni taifa la kesho

kinachotakiwa si kijana bali ni uwezo wa mtu katika kuongoza na kufanya maamuzi yasiyo na shaka na ambayo hayatawaumiza walio wengi. kama mnajidanganya kuwa atateuliwa huyo mnayemuita kijana ili mumyumbishe hapo mmedanganyika
 

Mada hii mimi niitazame kwa jicho la tatu kama jina la ID yangu:
Kujua kuwa mtushishi fulani anakaribia kustaafu ni jambo la kawaida, lakini kujua siku kamili ya kustaafu si suala la kawaida kabisa, kuna nini mpaka mleta mada ajue huyo mkuu wa hiyo taasisi anastaafu leo?
sifahamu vizuri masuala ya serikalini hasa kuhusu ajira, suala la mtumishi kuendelea kufanya kazi hata baada ya kustaafu liko idara ya usalama wa taifa tu au ni kwa idara zote za serikali? kwa sababu nakumbuka wakati nasoma wapo walimu walkuwa wanatufundisha wakiwa wamekwishastaafu.
Ni Mara nyingi sana vyombo vya ulinzi vimesakamwa sana na makundi mbalimbali ya watu kama vile wanasiasa, wanaharakati, wanazuoni n.k, kwa madai ya kutowajibika katika nafasi zao, je ni kweli hawawajibiki au ndo kile kiitwacho mti wenye matunda ndo hupigwa mawe? nasema hivyo kwa sababu ripoti za nyingi za kimataifa zimekuwa zikionesha Tanzania kuwa juu sana katika maswala ya ulinzi, amani na hata utawala bora. Nchi yetu Tanzania imekuwa mstari wa mbele kusuluhisha migogoro ya nchi za kiafrika na mara nyingi viongozi wetu kuwa wakuu wa tume zinazoongoza uatafutaji wa amani katika nchi hizo, Iweje vyombo vyetu vya ulinzi vionekane havifanyikazi ndani ya nchi? au ndo kusema nabii hasifiwi nyumbani au umaarufu huu unaotafutwa na wanasiasa ndiyo chanzo cha kuvipaka matope vyombo vyetu vya ulinzi ambavyo hata hivyo vimeonekana kutotetereka?

Mimi nadhani kuna haja ya watanzania kujitafakari na kuacha kusukumwa na makundi haya ambayo hata siku moja hayatasimamia amani ya taifa letu na badala yake hawa hawa ambao tunawasakama ndiyo watailinda na kuitetea amani hii.
 
vijana ambao ni hardworking na wazalendo wapo kazini, walalamikaji na wenye chuki kama wewe wapo kijiweni wanadanganyana, wakipelekwa shule wanacheza na facebook wakitafuta wachumba, siku ya mtihani zeroooooooooo

Hongera kwasababu unaonyesha your ignorance, ina maana umri wa kustafu uliwekwa ili uwe trampled upon? mtu akisema ukweli siyo lazima awe wa kijiweni mkuu, so take care not to judge a book by its cover, tusifanye vitu kwa kubebana na usiwadharau walopata zero maana mfumo unaoutetea ndo umewapa matokeo hayo tumekengeuka maadili ya kitaifa na tumebaki kushabikia trivial party politics, udhaifu mfumo wa elimu aliuzungumzia Mh. Mbatia wabunge wa magamba walichomfanyia unakielewa, Mungu si Athuman matokeo yamewaumbua sasa wanaleta tume, shame.
 
Hapana mfumo VIPEDO!!!! Rais, makamu wa Rais, Jaji Mkuu, Mkuu wa Usalama wa Taifa, Mkuu wa jeshi la polisi!!!

kuwepo kwa hao watu uliowataja haimaanishi hakuna mfumo kristo. hebu ngoja nikuulize na naomba ujibu inavyotakiwa. kama wewe ni mpenzi au mchezaji wa mpira wa miguu, bila shaka unajua kuwa timu yenye wachezaji 11 hucheza kwa mujibu wa formation inayoandaliwa na kocha ambaye ni mmoja tu. je kwa wachezaji wanapokuwa uwanjani wanafuata matakwa yao au maelekezo ya kocha. hata kama watafuata matakwa yao kuna mtu yuko pembeni (kocha) anawaangalia na wakienda kinyume anawarekebisha. ndo maana ya mfumo (formation) kristo. ingawa mmeshikilia nyinyi hizo nafasi lakini mnaongozwa na mamlaka nyingine. fanya utafiti kwa kila idara ya serikali ili kujua idadi ya waislamu na wakristo. matokeo utakayoyafanya ndiyo yatakayokubainisha kuwa kweli kuna kitu kiitwacho MK
 
kinachotakiwa si kijana bali ni uwezo wa mtu katika kuongoza na kufanya maamuzi yasiyo na shaka na ambayo hayatawaumiza walio wengi. kama mnajidanganya kuwa atateuliwa huyo mnayemuita kijana ili mumyumbishe hapo mmedanganyika

No, I beg to differ sipo huko mkuu, ila kiukweli taratibu au sheria ziliwekwa ili zifuatwe so kama tunaona hazifai, basi bunge liongeze muda wa kustaafu, meanwhile if you go to equity you must do equity, Jaji mkuu mstaafu samatta alitoa maoni tume ya katba umri wa majaji kustaafu uongezwe, so to say watoe tu pendekezo umri wao wa kustaafu uongeze lakini siyo kuvunja sheria zilizopo kwa kigezo cha uwezo wa kuongoza, hata mbuyu ulianza kama mchicha mkuu
 
Aisee, this issue is getting out of control now. I think it is a crunch time now that media starts to exert pressure on JK's administration with regard to this issue. Somebody told me that, Deputy Permanent Secretary in the Ministry of Finance, Mr. Msongole has retired but refused to hand over the office.
 
Lakini kitu cha muhimu ni amani na mshikamano na ufanisi katika kazi. hata kama nchi itaongozwa na waislamu tu au wakristo tu na wana uwezo na wanahakikisha nchi inakuwa salama na inasonga mbele, hapo tatizo la udini au mfumo fulani kukandamiza serikali halipo. shida inapokuwa pale viongozi wa dini fulani wanapochafua viongozi wa serikali kwa vile tu ni wa dini nyingine. hapo ndiyo shida huja.
 
Sioni kama hoja ya MBATIA inatoa picha yoyote hapa. Kuna wanafunzi waliofanya vizuri tu, sasa tuseme walikuwa na mitaala yao toauti na wale waliofeli? Halafu mimi nashangaa, wanaolalamika ni wale ambao watoto wao, ndugu zao na jamaa zao wamefanya vibaya katika matokeo hayo, wale ambao watoto wao wamefanya vizuri wamefurahi sana na kuipongeza serikali tena tunao mitaani wanasema wazi kuwa watoto wa jirani zao walikuwa wavuta bangi, watumia simu za mikononi hovyo na vitu kama hivyo. Hivi mtaala hata ukiwa mzuri vipi utamzuia mtoto kuvuta bangi?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…