Huyo Binti huwa ananivutia sana.
Lambda rangi sio shape.Huyu Farhia mimi huwa napenda shape yake matata, mtoto wa ki Iraq kwakweli nikimwona mate hunitoka.
Nasikia huyu binti ni Muiraqwi wa huko Manyara.Awamu ya Jk katibu mkuu wizara ya fedha alikuwa na jina la middle.. je ni baba yake huyu binti?
Sio kwamba hana mbinu ila alitimiza makubaliano ya awali kuhusu maswali, yule mama ni mzito sana sasa maswali yangemrudisha Mbeya kwa gagula.Kwa kawaida kipindi hiki kinasimamiwa na Ndugu Farhia Middle kila siku ya Jumatatu kujadili/kumuuliza maswali mwalika katika kipindi hicho.
Mwalikwa wa leo alikuwa ni Naibu Spika Dr. Tulia Ackson. Kipindi cha leo kimekuwa very boring na hakina ladha. Msimamizi wa leo hana mbinu kabisa kusimamia kipindi hiki.
Tunaiomba ITV kipindi cha 45 kisimamiwe na Farhia Middle.