Farhia Midle mtangazaji wa ITV badilisha staili ya kubana nywele

Kwani ni mkeo?Mambo hayo kampangie mkeo
 
Aisee nimerudi kupitia comment nimechekaje
 
Unajua wengine hawana mzuka wa urembo wa nywele.....Sasa hapo alipo yeye anajionea sawa tu......
 
mh! mwe watu mpo busy aisee mpaka nywele za mtangazaji mwingine aliona kola bado miguu,,,,,,
 
Hiyo muvi mlikuwa mnaangalizia geto kwako? Ehee, nini kilifuata baada ya muvi kuisha (kama iliisha kweli)?
 
Mbona hao kina Sam Mapesa hawabadili mitindo ya nywele na tunaangalia news....au naye anyoe kiduku?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…