Farhia Midle mtangazaji wa ITV badilisha staili ya kubana nywele

Farhia Midle mtangazaji wa ITV badilisha staili ya kubana nywele

jamani walimwengu
Habarini wakuu,

Nimekuwa navutiwa na mwanadada huyu mtangazaji wa ITV Farhia Midle katika utangazaji wake lakini kwakweli amekuwa na staili yake moja ya kubana nywele kwa nyuma jamani mpaka inaboa.

Nilikuwa namuomba awe anabadilisha staili mbali mbali za kubana nywele zake maana anaonekana ana nywele nzuri na ndefu.

Nawasilisha
mmmmmh haya bhan
 
Kuna siku nilipata muda wa kuchezea nikaona nitumie kuangalia movie nilikua na mdada fulani wakati tunatizama ile sinema, katikati ya movie akasema mapazia ya nyumba kwenye movie mabaya. Nilishangaa na kuchoka. Wanawake huwa wanawaza nini! Ningeangalia peke yangu nisingeona kabisa yale mapazia. Mnaweza kuangali kitu kimoja ila mwanamke akaona kitu tofauti
Sasa si bora wewe uliangalia nae movie! Ulisha wahi kuagalia mpira na mwanamke? Unaweza ukabadilisha station na kuweka music
 
Sasa si bora wewe uliangalia nae movie! Ulisha wahi kuagalia mpira na mwanamke? Unaweza ukabadilisha station na kuweka music
Kwani huyu ndo Messi?..sasa pale Ronaldo kafanyaje?...jaman nilimuona kwenye gazeti nikampenda kumbe Nani yupo team hii..kwani Ferahini yuko team gani?...Mbona wanapiga kelele kwani kashinda?.. hahaha ngashoka.
 
Shikamooni wanawake wa Dar,mnaanza kufanana na kaka zenu,
Mi nlijua utakuwa unampa ushauri ajiongeze ki elimu,uwekezaji kumbe upupu mtupu,eti ubanaji wa nyeele,????
Kweli kabisa unaleta upupu hapa?Nawaambia tigo wakate bando lako
 
Kwani huyu ndo Messi?..sasa pale Ronaldo kafanyaje?...jaman nilimuona kwenye gazeti nikampenda kumbe Nani yupo team hii..kwani Ferahini yuko team gani?...Mbona wanapiga kelele kwani kashinda?.. hahaha ngashoka.
[emoji23] I just enjoy, when she asks Me all of ths questions ...
 
Habarini wakuu,

Nimekuwa navutiwa na mwanadada huyu mtangazaji wa ITV Farhia Midle katika utangazaji wake lakini kwakweli amekuwa na staili yake moja ya kubana nywele kwa nyuma jamani mpaka inaboa.

Nilikuwa namuomba awe anabadilisha staili mbali mbali za kubana nywele zake maana anaonekana ana nywele nzuri na ndefu.

Nawasilisha
hahahahahahhaha Donatila nimejikuta nakupenda tuu
 
Kuna siku nilipata muda wa kuchezea nikaona nitumie kuangalia movie nilikua na mdada fulani wakati tunatizama ile sinema, katikati ya movie akasema mapazia ya nyumba kwenye movie mabaya. Nilishangaa na kuchoka. Wanawake huwa wanawaza nini! Ningeangalia peke yangu nisingeona kabisa yale mapazia. Mnaweza kuangali kitu kimoja ila mwanamke akaona kitu tofauti
[emoji23] [emoji23] ukilala kitandani ukiangalia dari ukimuuliza unawaza nini atakuambia nawaza kuwa unanipenda kweli?

Akikuuliza wewe unamwambia ukweli kuwa ulikuwa unajiuliza hivi NZI anakaaje upside down darini?

Ndio walivyo [emoji2] [emoji2]
 
Mie Mke wangu katika staili za nywele nayoipenda ni hyo ya kubana nywele kwa nyuma!
 
Habarini wakuu,

Nimekuwa navutiwa na mwanadada huyu mtangazaji wa ITV Farhia Midle katika utangazaji wake lakini kwakweli amekuwa na staili yake moja ya kubana nywele kwa nyuma jamani mpaka inaboa.

Nilikuwa namuomba awe anabadilisha staili mbali mbali za kubana nywele zake maana anaonekana ana nywele nzuri na ndefu.

Nawasilisha

Akibadilisha style ya kubana nywele ndiyo utaelewa habari, au basi tu ni umbea tu unataka kuona akizibana zinakuwaje mpaka umefungua uzi kahhh, baadhi ya watanzania bana akili zao..hususani mabinti mnaboa sana kwa kufuatilia mambo ya kijanga nakuacha ya msingi, kazi yenu kushindani uzuri, mawigi, mavazi, mapambo, yani show off ya hatari tena hao ni mabinti wa dar
 
Najua leo mrembo atabadilisha staili ya nywele
 
anapendeza tu mbona,hataki gharama za saloon kila siku,ndio identity yake muachane bn
 
Back
Top Bottom