ney kaaya
JF-Expert Member
- Jun 27, 2016
- 447
- 354
jamani walimwengu
mmmmmh haya bhanHabarini wakuu,
Nimekuwa navutiwa na mwanadada huyu mtangazaji wa ITV Farhia Midle katika utangazaji wake lakini kwakweli amekuwa na staili yake moja ya kubana nywele kwa nyuma jamani mpaka inaboa.
Nilikuwa namuomba awe anabadilisha staili mbali mbali za kubana nywele zake maana anaonekana ana nywele nzuri na ndefu.
Nawasilisha