Farhia Midle mtangazaji wa ITV badilisha staili ya kubana nywele

Farhia Midle mtangazaji wa ITV badilisha staili ya kubana nywele

Kuna siku nilipata muda wa kuchezea nikaona nitumie kuangalia movie nilikua na mdada fulani wakati tunatizama ile sinema, katikati ya movie akasema mapazia ya nyumba kwenye movie mabaya. Nilishangaa na kuchoka. Wanawake huwa wanawaza nini! Ningeangalia peke yangu nisingeona kabisa yale mapazia. Mnaweza kuangali kitu kimoja ila mwanamke akaona kitu tofauti
Msalimie huyo dada
 
Labda ndio mashart je,msipende kuchunguza jaman
Habarini wakuu,

Nimekuwa navutiwa na mwanadada huyu mtangazaji wa ITV Farhia Midle katika utangazaji wake lakini kwakweli amekuwa na staili yake moja ya kubana nywele kwa nyuma jamani mpaka inaboa.

Nilikuwa namuomba awe anabadilisha staili mbali mbali za kubana nywele zake maana anaonekana ana nywele nzuri na ndefu.

Nawasilisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habarini wakuu,

Nimekuwa navutiwa na mwanadada huyu mtangazaji wa ITV Farhia Midle katika utangazaji wake lakini kwakweli amekuwa na staili yake moja ya kubana nywele kwa nyuma jamani mpaka inaboa.

Nilikuwa namuomba awe anabadilisha staili mbali mbali za kubana nywele zake maana anaonekana ana nywele nzuri na ndefu.

Nawasilisha
kuna siku utakuja kumlalamikia UMMY mwalimu anapotangaza vifo vya CORONA huku anacheka, ndiyo staili yake, haoni shida waTanzania kufa.
 
Back
Top Bottom