Farhia Midle mtangazaji wa ITV badilisha staili ya kubana nywele

Farhia Midle mtangazaji wa ITV badilisha staili ya kubana nywele

Watu wengine bwana ni wa ajabu sana sasa nywele za mtu zinakuhusu nn wewe??hata akibadilisha zitakuongezea nn.
 
Jaman naombeni picha ya farhia midle akiwa amesimama. Nasikia kajaaliwa sana , yaani mtoto Mashaallah... hvi ni kweli?
 
Jaman naombeni picha ya farhia midle akiwa amesimama. Nasikia kajaaliwa sana , yaani mtoto Mashaallah... hvi ni kweli?
1468428839851.jpg
vuta hisia nyuma atakuwaje
 
Habarini wakuu,

Nimekuwa navutiwa na mwanadada huyu mtangazaji wa ITV Farhia Midle katika utangazaji wake lakini kwakweli amekuwa na staili yake moja ya kubana nywele kwa nyuma jamani mpaka inaboa.

Nilikuwa namuomba awe anabadilisha staili mbali mbali za kubana nywele zake maana anaonekana ana nywele nzuri na ndefu.

Nawasilisha
wewe uwa unangalia nywele au habari.....????
 
Sijui huu ujumbe utamfikia ili aufanyie kazi??
 
Habarini wakuu,

Nimekuwa navutiwa na mwanadada huyu mtangazaji wa ITV Farhia Midle katika utangazaji wake lakini kwakweli amekuwa na staili yake moja ya kubana nywele kwa nyuma jamani mpaka inaboa.

Nilikuwa namuomba awe anabadilisha staili mbali mbali za kubana nywele zake maana anaonekana ana nywele nzuri na ndefu.

Nawasilisha
et nawasilisha😛😛😛😛😛
 
Hiyo ni identity yake kama Flavi alivyo na low cut siku zote, au Fenera na twende kilioni. Urembo halisi unaonekana bila ya extra effors na gharama. Style ni nzuri na simple kuliko aweke ile miwigi micharuko inayodondokea machoni
 
haikuusu lakini..mbona zako fupi lakini hakuambii usisuke
 
Habarini wakuu,

Nimekuwa navutiwa na mwanadada huyu mtangazaji wa ITV Farhia Midle katika utangazaji wake lakini kwakweli amekuwa na staili yake moja ya kubana nywele kwa nyuma jamani mpaka inaboa.

Nilikuwa namuomba awe anabadilisha staili mbali mbali za kubana nywele zake maana anaonekana ana nywele nzuri na ndefu.

Nawasilisha

Siungi mkono hoja hio inapaswa iwe hivo hivo na iitwe farhia style, nywele originale
 
Back
Top Bottom