maamuzi sahihi
JF-Expert Member
- Jun 4, 2014
- 288
- 165
Watu wengine bwana ni wa ajabu sana sasa nywele za mtu zinakuhusu nn wewe??hata akibadilisha zitakuongezea nn.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jaman naombeni picha ya farhia midle akiwa amesimama. Nasikia kajaaliwa sana , yaani mtoto Mashaallah... hvi ni kweli?
Aisee!!View attachment 365989 vuta hisia nyuma atakuwaje
Daah!! Sio siri namkubali sana huyu dada... another picture please.View attachment 365989 vuta hisia nyuma atakuwaje
Nyuma atakuwa na nywele ndefu, si ndio mada isotopic?View attachment 365989 vuta hisia nyuma atakuwaje
kampenda dada wa watu ndo mana anapenda apendeze. sasa kumshauri ni wivu? kha!Kwa haraka haraha inaonyesha wewe una wivu
Ungeanza kwanza na Tulia Spa.
Huyu mama kipili pili chake kinaboa. Unajua huyu dada ni mrembo sana sema hayuko bize kujiweka kisista duu.
Huyo Msomali mimi huwa namkubali sana.
wewe uwa unangalia nywele au habari.....????Habarini wakuu,
Nimekuwa navutiwa na mwanadada huyu mtangazaji wa ITV Farhia Midle katika utangazaji wake lakini kwakweli amekuwa na staili yake moja ya kubana nywele kwa nyuma jamani mpaka inaboa.
Nilikuwa namuomba awe anabadilisha staili mbali mbali za kubana nywele zake maana anaonekana ana nywele nzuri na ndefu.
Nawasilisha
et nawasilisha😛😛😛😛😛Habarini wakuu,
Nimekuwa navutiwa na mwanadada huyu mtangazaji wa ITV Farhia Midle katika utangazaji wake lakini kwakweli amekuwa na staili yake moja ya kubana nywele kwa nyuma jamani mpaka inaboa.
Nilikuwa namuomba awe anabadilisha staili mbali mbali za kubana nywele zake maana anaonekana ana nywele nzuri na ndefu.
Nawasilisha
weka na nyuma basi mkuuView attachment 365989 vuta hisia nyuma atakuwaje
Si kila mtu na style yake?Huyu nadhani ni mwarabu...ila kwakweli kihairstyle kimeexpire....
Habarini wakuu,
Nimekuwa navutiwa na mwanadada huyu mtangazaji wa ITV Farhia Midle katika utangazaji wake lakini kwakweli amekuwa na staili yake moja ya kubana nywele kwa nyuma jamani mpaka inaboa.
Nilikuwa namuomba awe anabadilisha staili mbali mbali za kubana nywele zake maana anaonekana ana nywele nzuri na ndefu.
Nawasilisha