mmmmmh haya bhanHabarini wakuu,
Nimekuwa navutiwa na mwanadada huyu mtangazaji wa ITV Farhia Midle katika utangazaji wake lakini kwakweli amekuwa na staili yake moja ya kubana nywele kwa nyuma jamani mpaka inaboa.
Nilikuwa namuomba awe anabadilisha staili mbali mbali za kubana nywele zake maana anaonekana ana nywele nzuri na ndefu.
Nawasilisha
Ashonee yale manywele feki yaliyonyonyolewa kwenye vichwa vya wahindi kwa ajili ya sadaka?[emoji23]Mkuu, mm sina wivu na huyo mdada, nataka abadilike tu
Sasa si bora wewe uliangalia nae movie! Ulisha wahi kuagalia mpira na mwanamke? Unaweza ukabadilisha station na kuweka musicKuna siku nilipata muda wa kuchezea nikaona nitumie kuangalia movie nilikua na mdada fulani wakati tunatizama ile sinema, katikati ya movie akasema mapazia ya nyumba kwenye movie mabaya. Nilishangaa na kuchoka. Wanawake huwa wanawaza nini! Ningeangalia peke yangu nisingeona kabisa yale mapazia. Mnaweza kuangali kitu kimoja ila mwanamke akaona kitu tofauti
Kwani huyu ndo Messi?..sasa pale Ronaldo kafanyaje?...jaman nilimuona kwenye gazeti nikampenda kumbe Nani yupo team hii..kwani Ferahini yuko team gani?...Mbona wanapiga kelele kwani kashinda?.. hahaha ngashoka.Sasa si bora wewe uliangalia nae movie! Ulisha wahi kuagalia mpira na mwanamke? Unaweza ukabadilisha station na kuweka music
[emoji23] I just enjoy, when she asks Me all of ths questions ...Kwani huyu ndo Messi?..sasa pale Ronaldo kafanyaje?...jaman nilimuona kwenye gazeti nikampenda kumbe Nani yupo team hii..kwani Ferahini yuko team gani?...Mbona wanapiga kelele kwani kashinda?.. hahaha ngashoka.
hahahahahahhaha Donatila nimejikuta nakupenda tuuHabarini wakuu,
Nimekuwa navutiwa na mwanadada huyu mtangazaji wa ITV Farhia Midle katika utangazaji wake lakini kwakweli amekuwa na staili yake moja ya kubana nywele kwa nyuma jamani mpaka inaboa.
Nilikuwa namuomba awe anabadilisha staili mbali mbali za kubana nywele zake maana anaonekana ana nywele nzuri na ndefu.
Nawasilisha
Bi. Dr. Mhe. Fenela Mukangara alishawahi kubadili ile twende kilioni?Huyu nadhani ni mwarabu...ila kwakweli kihairstyle kimeexpire....
[emoji23] [emoji23] ukilala kitandani ukiangalia dari ukimuuliza unawaza nini atakuambia nawaza kuwa unanipenda kweli?Kuna siku nilipata muda wa kuchezea nikaona nitumie kuangalia movie nilikua na mdada fulani wakati tunatizama ile sinema, katikati ya movie akasema mapazia ya nyumba kwenye movie mabaya. Nilishangaa na kuchoka. Wanawake huwa wanawaza nini! Ningeangalia peke yangu nisingeona kabisa yale mapazia. Mnaweza kuangali kitu kimoja ila mwanamke akaona kitu tofauti
Habarini wakuu,
Nimekuwa navutiwa na mwanadada huyu mtangazaji wa ITV Farhia Midle katika utangazaji wake lakini kwakweli amekuwa na staili yake moja ya kubana nywele kwa nyuma jamani mpaka inaboa.
Nilikuwa namuomba awe anabadilisha staili mbali mbali za kubana nywele zake maana anaonekana ana nywele nzuri na ndefu.
Nawasilisha