'Farouk Tech' inawafaa wengi hapa nchini kukomesha wizi: Mwizi akutwa amelala ndani ya gari

'Farouk Tech' inawafaa wengi hapa nchini kukomesha wizi: Mwizi akutwa amelala ndani ya gari

Duuh jamaa mtaalamu wake yupo vizuri,wengi watamfuata awapeleke wakapewa hilo zindiko
Kenya haya matangazo yalikuwa mengi Sana lengo likiwa kumtangaza mganga apige pesa wagawane na mwandishi wa habari.Sababu wengi waliuliza mwandishi.mganga yuko wapi anawaelekeza mganga akipata anampa parcent yake

Watu wakapigwa pesa Sana na waganga waongo vyombo vya habari vikapiga marufuku utapeli huo wa matangazo

Abiria chunga mzigo wako .Ukipigwa usiseme si kukutonya

Mengine maigizo ya mtego wa kunasia panya .Sogea unaswe
 
Kenya haya matangazo yalikuwa mengi Sana lengo likiwa kumtangaza mganga apige pesa wagawane na mwandishi wa habari.Sababu wengi waliuliza mwandishi. Mganga yuko wapi anawaelekeza mganga akipata anampa parcent yake

Watu wakapigwa pesa Sana na waganga waongo vyombo vya habari vikapiga marufuku utapeli huo wa matangazo ya maigizo Kama Hilo la Farouk Karim kunasa watu

Abiria chunga mzigo wako. Ukipigwa usiseme si kukutonya

Mengine maigizo ya mtego wa kunasia panya. Sogea unaswe
 
Kenya haya matangazo yalikuwa mengi Sana lengo likiwa kumtangaza mganga apige pesa wagawane na mwandishi wa habari.Sababu wengi waliuliza mwandishi.mganga yuko wapi anawaelekeza mganga akipata anampa parcent yake

Watu wakapigwa pesa Sana na waganga waongo vyombo vya habari vikapiga marufuku utapeli huo wa matangazo

Abiria chunga mzigo wako .Ukipigwa usiseme si kukutonya

Mengine maigizo ya mtego wa kunadia panya .Sogea unaswe
Mkuu hilo zindiko hata kwetu lipo,kusema ni maigizo inawezekana pia........ila hiyo technologia ipo kabisa
 
Kenya haya matangazo yalikuwa mengi Sana lengo likiwa kumtangaza mganga apige pesa wagawane na mwandishi wa habari.Sababu wengi waliuliza mwandishi.mganga yuko wapi anawaelekeza mganga akipata anampa parcent yake

Watu wakapigwa pesa Sana na waganga waongo vyombo vya habari vikapiga marufuku utapeli huo wa matangazo

Abiria chunga mzigo wako .Ukipigwa usiseme si kukutonya

Mengine maigizo ya mtego wa kunasia panya .Sogea unaswe
Na wale walionasana mke na mme kule Njombe nayo ni maigizo mkuu? Siku nne sijui mboo haichomoki?
Maigizooo??
Natafakari!!!

Luckman1
 
Na wale walionasana mke na mme kule Njombe nayo ni maigizo mkuu? Siku nne sijui mboo haichomoki?
Maigizooo??
Natafakari!!!

Luckman1
Kenya yalifanyika Sana hayo maigizo ya kufumaniana lakini hakukuwa na video ya kuwaonyesha live watu walibebwa wakiwa wamefunikwa na mashuka kwa kile kinachoitwa kuwastiri watu wasione walivyogandamana uchi kumbe ikaja gundulika Ni uongo na michezo ya kuigiza ya kitapeli ya kumtafutia soko mganga!!!

Hao wa njombe tuwekekee picha Yao ya uchi walivyogandamana Kama unayo au na wewe ulisikia stories tu au uliwaona ?
 
Back
Top Bottom