Kenya haya matangazo yalikuwa mengi Sana lengo likiwa kumtangaza mganga apige pesa wagawane na mwandishi wa habari.Sababu wengi waliuliza mwandishi.mganga yuko wapi anawaelekeza mganga akipata anampa parcent yakeDuuh jamaa mtaalamu wake yupo vizuri,wengi watamfuata awapeleke wakapewa hilo zindiko
sura ya mwizi na jinsi alivyo mavazi yake sina shaka ni mvuta bangi au madawa mengine ya kulevya huenda kazidiwa na doziDah! huenda kapata tatizo la kiafya ghafla,probably cardial issue.
Mkuu hilo zindiko hata kwetu lipo,kusema ni maigizo inawezekana pia........ila hiyo technologia ipo kabisaKenya haya matangazo yalikuwa mengi Sana lengo likiwa kumtangaza mganga apige pesa wagawane na mwandishi wa habari.Sababu wengi waliuliza mwandishi.mganga yuko wapi anawaelekeza mganga akipata anampa parcent yake
Watu wakapigwa pesa Sana na waganga waongo vyombo vya habari vikapiga marufuku utapeli huo wa matangazo
Abiria chunga mzigo wako .Ukipigwa usiseme si kukutonya
Mengine maigizo ya mtego wa kunadia panya .Sogea unaswe
Na wewe umeamua kualika watu wakapigwe upate commission kwa mgangaMkuu hilo zindiko hata kwetu lipo,kusema ni maigizo inawezekana pia........ila hiyo technologia ipo kabisa
Sihitaji na wala sina muda huo,ila matukio ya aina hiyo siyo story kama wanavyoshangaa wengineNa wewe umeamua kualika watu wakapigwe upate commission kwa mganga
Tupe ufafanuzi kidogo mkuu kuhusu hii teknolojia inaonekana ni mpya kabisa nchini Tanzania
Kabisa. Anaonekana teja huyusura ya mwizi na jinsi alivyo mavazi yake sina shaka ni mvuta bangi au madawa mengine ya kulevya huenda kazidiwa na dozi
Hiyo ni newest tech kwa kutumia malighafi ya ponoTupe ufafanuzi kidogo mkuu kuhusu hii teknolojia inaonekana ni mpya kabisa nchini Tanzania
Au mods mnasemaje
babu usipite kimya kimya sema neno
Na wale walionasana mke na mme kule Njombe nayo ni maigizo mkuu? Siku nne sijui mboo haichomoki?Kenya haya matangazo yalikuwa mengi Sana lengo likiwa kumtangaza mganga apige pesa wagawane na mwandishi wa habari.Sababu wengi waliuliza mwandishi.mganga yuko wapi anawaelekeza mganga akipata anampa parcent yake
Watu wakapigwa pesa Sana na waganga waongo vyombo vya habari vikapiga marufuku utapeli huo wa matangazo
Abiria chunga mzigo wako .Ukipigwa usiseme si kukutonya
Mengine maigizo ya mtego wa kunasia panya .Sogea unaswe
KATEMESHWA NDOANO MWENDO WA SPANA TU.
Kenya yalifanyika Sana hayo maigizo ya kufumaniana lakini hakukuwa na video ya kuwaonyesha live watu walibebwa wakiwa wamefunikwa na mashuka kwa kile kinachoitwa kuwastiri watu wasione walivyogandamana uchi kumbe ikaja gundulika Ni uongo na michezo ya kuigiza ya kitapeli ya kumtafutia soko mganga!!!Na wale walionasana mke na mme kule Njombe nayo ni maigizo mkuu? Siku nne sijui mboo haichomoki?
Maigizooo??
Natafakari!!!
Luckman1