Fashion Kali ya Msanii Barnaba

Fashion Kali ya Msanii Barnaba

Hivi ni kiingiacho mjini si haramu au ndio tumeshapoteza mtu!! [emoji15][emoji15][emoji15]
 
Wachokozi siku zote ni kutafuta visa tu...Dogo Mchokozi huyo
 
Mwanae mwakani anatimiza miaka 10,sasa sijui atajisikiaje atakapokuwa anaziona picha hizi za baba ake kavaa 'kisketi' na 'kigauni'!. Hapo sasa ukimuuliza mwenyewe kwanini umevaa hivyo? Ataanza kujieleza weeee mradi akushawishi ukubali na uone kumbe kawaida tu amefanya vizuri. Me nikimuona huyu dogo siku ntamkata hata makonzi! Hawezi kuvaa vibompoli kama hivyo!!!
 
Huyo dogo tayari mdudu keshaingia kwenye embe.[emoji276]
 
Tangu afiwe na 'mnyonyaji' wake huyu dogo dishi limecheza, mzazi mwenzake amuonee huruma tu amuokoe.
 
Aisee vijana wamekazana kuwaonea wivu dada zao nao wameamua kusuka na kuvaa sketi.
 
Back
Top Bottom