Fashion mpya ya Vanessa Mdee


Body shaming is very bad. Hawa waswahili wanajifanya wachambuzi wa miili ya watu wakati mama zao wenyewe hawauziki hata kwa mia mbili.
 
Reactions: Qwy
Maoni si mabaya ila umetoa dharau si vyema,mi demu asie na msambwanda naweza lala nae uchi hadi asubuhi tukiongelea stori za fundi maiko na mabaharia ,hii haimaanishi wembamba sio wazuri au hawavutii ni hawanivutii mimi na nawaheshimu wengi shemeji zangu na marafiki wa kufaana ..kindly respect them
 
Apo angeonyesha papuchi kabisa ingependeza...apo utashangaa kuona mwanaume anamlilia binti wa aina hii
 
The same to me, kama demu hana tunyama nyama wala hata simuwazi naona kama nimekaa na dume mwenzangu.
 
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Akisena Akiwa Mbeya
Hivi Yule Aliyekumbatiwa Angekuwa Binti Yangu
Ningewazaba Vibao Wote Wawili, Bila Shaka Huyo Kama Ni Binti Yako.........
asinge kanyaga kwangu tena na ningemwambia mimi baba yako sikupaswa kuona uchi wako.
 
Huyo hata akae uchi...na hizo mifupa hakuna anayeweza kugeuka.
Angekuwa yule dogo lake mimi mars angezua balaa hadi basata wangeingilia kati...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…