Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Wewe sifia chief Hangaya inatosha!Kama wewe ilivyokuwa huna hoja zaidi ya kumsifia dictator uchwara
Kila mtu ashinde mechi zake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe sifia chief Hangaya inatosha!Kama wewe ilivyokuwa huna hoja zaidi ya kumsifia dictator uchwara
Akili ya kibavicha?Ungepewa hata robo ya akili yake ungekuwa mwehu, lakini ndo hivyo umenyimwa Kila kitu umebakiza chuki tu.
Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
Unafikiri mimi nmezoea kunywa vinywaji vya watu kama wewe?dada embu kunywa fanta hapo nakuja kukulipia aunt yangu, nasikia inasaidia kupunguza stress kdg
Bei ya mafuta imepandisha hata rushwa ya barabarani.
Yule ndiyo kiboko yenu nyie chawa wa lile fedhuli lililopigwa ngwara na coronaWewe sifia chief Hangaya inatosha!
Kila mtu ashinde mechi zake
Pascal Mayalla wana wa lumumba sii mkubali mmeshindwaa miaka yote hii zaidi ya 50INAHITAJIKA MIAFAKA siyo MUAFAKA.
Kuna harufu ya mparaganyiko kila mahali. Ni kama tuna nchi moja yenye mataifa mengi ndani yake. Badala ya muafaka wa kitaifa, inahitajika miafaka kadhaa ili kuunda muafaka mmoja.
1. CCM si moja. Kuna CCM-Mpina na CCM-January. Kuna CCM-Mwendazake na CCM-Samia. Kuna CCM-Asili na CCM-Yatima. Hizi CCM zote zinahitaji muafaka ili tupate CCM moja.
2. Wapinzani si wamoja. Kuna wapinzani-Katiba Mpya na Wapinzani-Nusu Katiba Mpya. Kuna wapinzani-Mtungi na Wapinzani-Mahela. Kuna Wapinzani-Zanzibar huru na Wapinzani-Zanzibar Mkoa. Unahitajika muafaka kati ya wapinzani kabla ya muafaka wa kitaifa.
3. Serikali si moja. Kuna serikali awamu ya 5 rais wa sita na Serikali awamu ya sita rais wa sita. Kuna serikali-2025 na Serikali-2030. Hizi serikali zinahitaji muafaka.
4. Kuna bunge-live na bunge-giza. Kuna bunge-haramu ndani jengo halali na bunge-halali nje ya jengo halali. Kuna sheria halali zilizotungwa na bunge haramu.
5. Kuna Polisi-Tii sheria bila shuruti na Polisi-Tii shuruti bila sheria. Kuna IGP bila Polisi na Polisi bila IGP.
Unashangaa? Tanzania ni eneo la utalii. Kila kitu ni kiburudisho. Hatuambukizani Corona, tunaambukizana tabia. Mwenyekiti wa msiba anamuiga Spika namna ya kuongoza kikao cha mazishi. Askofu anamuiga OCD ili kuongoza kanisa. Kocha wa Simba anamuiga kocha wa Yanga lakini anafungwa mengi kuliko Yanga.
Bei ya mafuta imepandisha hata rushwa ya barabarani.
Ni kweli kabisa, naiona CCM - Makamba na CCM - Mpina, ila CCM Makamba wasije kumtengenezea zengwe Mpina ili aondoke bungeni.
Unavyoandika tu inaonekana akili yako ndogo. X= c ni sawa? Unafikiri kila mwenye mawazo kinzani ni bavicha! Kwani kuwa bavicha ni dhambi??? Wizi wa mitihani unawasumbua sana vijanaAkili ya kibavicha?
Ndiyo ningekuwa mwehu maaana ukiwa na akili za kibavicha lazima uwe xhizi
Kuwa bavicha ni sawa na kuwa kuzimuUnavyoandika tu inaonekana akili yako ndogo. X= c ni sawa? Unafikiri kila mwenye mawazo kinzani ni bavicha! Kwani kuwa bavicha ni dhambi??? Wizi wa mitihani unawasumbua sana vijana
Fedhuli lako lilikubutua mpaka leo una hasira nalo!Yule ndiyo kiboko yenu nyie chawa wa lile fedhuli lililopigwa ngwara na corona
Umeiruka CCM mkuuWapinzani!
Katiba mpya vs Nusu katiba mpya.
Yaani Chadema vs ACT wazalendo
Askofu nae ana mambo sana. Naona anataka kuupa nguvu isiyo na maaana mgogoro wa JM NA MPINAINAHITAJIKA MIAFAKA siyo MUAFAKA.
Kuna harufu ya mparaganyiko kila mahali. Ni kama tuna nchi moja yenye mataifa mengi ndani yake. Badala ya muafaka wa kitaifa, inahitajika miafaka kadhaa ili kuunda muafaka mmoja.
1. CCM si moja. Kuna CCM-Mpina na CCM-January. Kuna CCM-Mwendazake na CCM-Samia. Kuna CCM-Asili na CCM-Yatima. Hizi CCM zote zinahitaji muafaka ili tupate CCM moja.
2. Wapinzani si wamoja. Kuna wapinzani-Katiba Mpya na Wapinzani-Nusu Katiba Mpya. Kuna wapinzani-Mtungi na Wapinzani-Mahela. Kuna Wapinzani-Zanzibar huru na Wapinzani-Zanzibar Mkoa. Unahitajika muafaka kati ya wapinzani kabla ya muafaka wa kitaifa.
3. Serikali si moja. Kuna serikali awamu ya 5 rais wa sita na Serikali awamu ya sita rais wa sita. Kuna serikali-2025 na Serikali-2030. Hizi serikali zinahitaji muafaka.
4. Kuna bunge-live na bunge-giza. Kuna bunge-haramu ndani jengo halali na bunge-halali nje ya jengo halali. Kuna sheria halali zilizotungwa na bunge haramu.
5. Kuna Polisi-Tii sheria bila shuruti na Polisi-Tii shuruti bila sheria. Kuna IGP bila Polisi na Polisi bila IGP.
Unashangaa? Tanzania ni eneo la utalii. Kila kitu ni kiburudisho. Hatuambukizani Corona, tunaambukizana tabia. Mwenyekiti wa msiba anamuiga Spika namna ya kuongoza kikao cha mazishi. Askofu anamuiga OCD ili kuongoza kanisa. Kocha wa Simba anamuiga kocha wa Yanga lakini anafungwa mengi kuliko Yanga.
Bei ya mafuta imepandisha hata rushwa ya barabarani.
Amalize kwanza MIAFAKA ndani ya KKKT kila uchao migogoro.Wengi wetu tunamiparaganyiko ndani ya nafsi zetu pia tunahitaji miafaka ndani ya nafsi zetu ndio maana baadhi yetu tunapinga andiko hili bila kutoa hoja za msingi. Tulizoea kutii shuruti bila sheria.
Relax dada angu, mafuta yamepanda bei unajua lkn??maana una stress sana shangazi yanguUnafikiri mimi nmezoea kunywa vinywaji vya watu kama wewe?
Hiyo ni tabia yako uliyotoka nayo nyumbani na unaishi hapa mjini kwa tabia hiyo tu.
Sasa malipo yake utayapata soon, we endelea kujilegembua kwa wanaume