Kool the gang
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 497
- 1,465
Hahaha kwamba ulikuwa unavizia mrejesho wa watu hata hivyo Fast and Furious ilianza kupoteza mvuto baada ya ile ya Tano.Kiuhalisia mi team cruise mzee, nilikuwa nataka nicheki response ya watu.
👉Kama Wana ona ninacho kiona pia, fast ni zaidi ya avenger kwa Sasa.