Fast Furious vs Mission Impossible, ipi filamu yako bora?

Fast Furious vs Mission Impossible, ipi filamu yako bora?

Hii movie ya mission impossible ni Kama huwa Wana tuonyesha Siri zao.
👉Kuna technology balaaa
THAT'S THE POINT! 👍🏾

AHSANTE KWA KUSOMA MAWAZO YANGU, KUNIELEWA NA KUUJUA UKWELI THABITI WA MAMBO. WACHACHE SANA WENYE KUTAZAMA MOVIES ZA NAMNA ILE NA KUZIELEWA.

MAZWAZWA WANATAZAMA TU WAKIMALIZA NA MABISI YAO NA MAPEPSI YAO WANAENDA NYUMBANI VICHWA MCHUNGWA, KUMBE YALE MAMBO YANA MAANA YAKE.

KUNA TOM CRUISE NA GERRARD BUTLER... YULE ALIYECHEZA "LONDON HAS FALLEN" WAFUATILIE SANA WALE JAMAA UTAPATA KITU.
 
Fast furious mwisho mi fast 8. Hayo mengine yaliyofuata ni akili zilizochoka za Van Diesel na kutaka kumilikk franchise tu. Ingawa sijaona FastX lakini najua itakuwa utopolo tu. Inatakiwa aingize watu wapya ktk ku develop story. Naiona ikifa kibudu kama Resident Evil tuu
MI force is best
 
Fast furious mwisho mi fast 8. Hayo mengine yaliyofuata ni akili zilizochoka za Van Diesel na kutaka kumilikk franchise tu. Ingawa sijaona FastX lakini najua itakuwa utopolo tu. Inatakiwa aingize watu wapya ktk ku develop story. Naiona ikifa kibudu kama Resident Evil tuu
MI force is best
Yeah, ana Ingiza watu wenye majina- still impact yao ndogo.
👉Checking mi, watu wapya ila impact katika story ni 🔥🔥🔥.
👉 Mission impossible 7 part one, ime Isha vizuri mnoo
 
Mission Impossible ni akili tupu zilizozidi maarifa ya kibinadam.

Mpaka sasa ni 95% kwenye huu uzi MI imejizolea points zote kuwa ni bora zaidi na haiwezi kuboa kurudia rudia kuitazama wakati wowote.

Nimeikumbuka IRIS ambapo ni the best leading series of all time since 2010.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Iris ilinifanya nisilale na merlin
 
Sijawahi kuchoka kumtazama Tom cruise!... anajua sana yule mzee!

Kuna documentary niliwahi kutazama, inasemekana anaweza akawa ni mmoja wa maafisa usalama wa Marekani, maana anayajua mengi mno! Ana syndicate tele huwa anaziigiza kwenye movie zake lakini huwa anaziwasilisha indirectly! Kumuelewa inataka akili kubwa na wachache huwa wanamuelewa.

Hata inasemekana ni miongoni mwa actors wenye ulinzi mkali na mzito marekani na sehemu zingine (Inshort ni actor anayelindwa zaidi duniani! Na sio rahisi kukutana nae au kumuona ukamsogelea kama huku na kupiga nae story)... someni mtandaoni au tafuteni videos kama mnabishana na hili.

Ila hao wahuni hapo tangu afe Paul walker naona na mimi nilikufa nae 😂👍🏾
Na pia ni actor anayejua kutumia vitu vingi sana mpaka fighter jet anaendesha hata ndehge za kawaida
 
Fast furious mwisho mi fast 8. Hayo mengine yaliyofuata ni akili zilizochoka za Van Diesel na kutaka kumilikk franchise tu. Ingawa sijaona FastX lakini najua itakuwa utopolo tu. Inatakiwa aingize watu wapya ktk ku develop story. Naiona ikifa kibudu kama Resident Evil tuu
MI force is best
Nimeichek Fast X binafsi haijanibamba kihivyo!
 
Kwanza kuna utofauti mkubwa sana kati ya F&F na MI,zote ni genre ya action ila dimension tofauti.

Kwangu MI ni zaidi ya movie na ndo maana sitaki kuilinganisha na fast kwa sababu zifuatazo.
1-kwanza inasambaza AURA ya taifa la marekani na UK kwamba they live their own heights na hakuna kama wao.
2-Ni mojawapo ya magwaride yao ya kuonyesha EXCLUSIVE WEAPONS INNOVATION.
3-Ni tangazo la kibiashara kuhusu SOPHISTICATED TECHNOLOGY na biashara ya silaha ni mojawapo ya chanzo kikuu cha mapato kwa nchi hizo

4-Ni mojawapo ya njia ya kuonyesha ile theory ya CHARLES DARWIN ya survival of the fittest kwa kuonyesha ukubwa na ufanisi wa mashirika ya CIA na M16
5-Ni propaganda tool kwa western na westerners


Upande wa FAST&FARIOUS its all about street fights,heroism ya kitaa,brotherhood and meaning of love and relation
 
Charles kilian, Mr Q, Mtu Chake, Franky Samuel, Dream Queen
👉Nime maliza kuiangalia equalizer 3, na niseme kwamba hi kitu ni 🔥🔥
👉Kama vipi wange ifanya series tu, maana mtunzi ana mpatia Sana Denzel
FB_IMG_16963694837508331.jpg
 
Back
Top Bottom