Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Boune vs MI ? , hapa itabidi kama kujibu tuangalie content zaoYeah mkuu, nime Google Nika ona hivyo.
👉Sema Bourne vs mission una enda na ipi??
Ume ukwepa mtego mkuu😆.Boune vs MI ? , hapa itabidi kama kujibu tuangalie content zao
Imesha toka mkuu, na haina wiki katika digital platform.Mission impossible imeshatoka au bado...?
Hapana MI kwa maujanja iko Juu ya Bourne , ila Bourne iko kitaani zaidiUme ukwepa mtego mkuu😆.
Huyu mtu M bad , naisubiri hii ,nishamtazama sana huyu
Imesha toka mkuu, itafuteHuyu mtu M bad , naisubiri hii ,nishamtazama sana huyu
Sawa ,ahsante kwa taarifaImesha toka mkuu, itafute
Pamoja mkuu, ndo naanza kuiangalia hapaSawa ,ahsante kwa taarifa
Tujifunze ku argue kwa adabuWe bado dogo mno huwezi mlinganisha vin na huyo shoga mwenzio
Sawa sawa ,nilikua tazama KandaharPamoja mkuu, ndo naanza kuiangalia hapa
Dah sija iangalia hiyo, gerlad Butler naye ana Jitahidi.Sawa sawa ,nilikua tazama Kandahar
Hii movie ya mission impossible ni Kama huwa Wana tuonyesha Siri zao.Sijawahi kuchoka kumtazama Tom cruise!... anajua sana yule mzee!
Kuna documentary niliwahi kutazama, inasemekana anaweza akawa ni mmoja wa maafisa usalama wa Marekani, maana anayajua mengi mno! Ana syndicate tele huwa anaziigiza kwenye movie zake lakini huwa anaziwasilisha indirectly! Kumuelewa inataka akili kubwa na wachache huwa wanamuelewa.
Hata inasemekana ni miongoni mwa actors wenye ulinzi mkali na mzito marekani na sehemu zingine (Inshort ni actor anayelindwa zaidi duniani! Na sio rahisi kukutana nae au kumuona ukamsogelea kama huku na kupiga nae story)... someni mtandaoni au tafuteni videos kama mnabishana na hili.
Ila hao wahuni hapo tangu afe Paul walker naona na mimi nilikufa nae 😂👍🏾
Tuko pamoja, mission ni 🔥🔥Hapa tunasema mi, na fast na sio Jason momoa kama character, kwa upande wangu mission impossible ni hatari, fast sijawahi elewa ata moja, hivi mnacheza na tom, cha kwanza
Anacheza mwenyewe kila scene yani hadi za hatari kama jack chan