Jogoo mbegu
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 824
- 3,449
Mission impossible ni the best, hiyo fast kali ni zile za mwanzo tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba TOM CRUISE ni mtoto wa DIESEL?Hii nchi imetoa uhuru mwingi mno...
Hivi vin diesel unamlinganishaje na hao watoto aiseee...🤔🤔🤔
Mission ya hapo itakuwa hatari sana, Gabriel hakuamini alivyopoteza ufunguo kizembe, nataka nianze kutazama The equalizer
View attachment 2772680
App gani hii kiongoziMission ya hapo itakuwa hatari sana, Gabriel hakuamini alivyopoteza ufunguo kizembe, nataka nianze kutazama The equalizer
View attachment 2772680
Mkuu unadownload kwa kutumia nn?
Au telegramMission ya hapo itakuwa hatari sana, Gabriel hakuamini alivyopoteza ufunguo kizembe, nataka nianze kutazama The equalizer
View attachment 2772680
Hii ni telegram channel boss, wanashusha vyuma vya hatari kuna moja ya series kama ni mdau uta enjoy mno maana ni bando lako tu
Jamaa na ropoka upimbi, na sidhani Kama ata comment Tena😂😆.Kwamba TOM CRUISE ni mtoto wa DIESEL?
Movie umeanza kuangalia lini boss?
#YNWA
Jason Bourne, equalizer, mission ni 🔥Mission impossible ni the best, hiyo fast kali ni zile za mwanzo tu
Acha kabisa hii KituCharles kilian, Mr Q, Mtu Chake, Franky Samuel, Dream Queen
[emoji117]Nime maliza kuiangalia equalizer 3, na niseme kwamba hi kitu ni [emoji91][emoji91]
[emoji117]Kama vipi wange ifanya series tu, maana mtunzi ana mpatia Sana DenzelView attachment 2772587
Sijawahi kuilewa fast and furious naona kila saa wanakimbiza magari,au nitakuwa nimezeeka Sasa eti???Nimekuwa mfatiliaji wa filamu hizo mbili, yaani fast & furious na mission impossible.
👉Na niseme pande zote mbili zimekuwa zikijitahidi kuwasiliana kazi iliyo bora zaidi.
Vin Diesel vs Tom Cruise nani anakukosha zaidi, katika filamu zao hizi.
👉Fast furius vs mission impossible.
View attachment 2771997View attachment 2771998
Filamu Bora zaidi ni ile ya DP World na Watanzania ambayo tokea tuanze kuitizama hadi leo bado hatujaimaliza kutokana na Utamu wake.Nimekuwa mfatiliaji wa filamu hizo mbili, yaani fast & furious na mission impossible.
👉Na niseme pande zote mbili zimekuwa zikijitahidi kuwasiliana kazi iliyo bora zaidi.
Vin Diesel vs Tom Cruise nani anakukosha zaidi, katika filamu zao hizi.
👉Fast furius vs mission impossible.
View attachment 2771997View attachment 2771998
Ndomana inasemekana ni Usalama wa taifa wa Marekani huyo na analindwa mno!Na pia ni actor anayejua kutumia vitu vingi sana mpaka fighter jet anaendesha hata ndehge za kawaida
Dah japo tuna Uhuru wa kuhabarika, ila wewe ni popoma 😄😄😄.Filamu Bora zaidi ni ile ya DP World na Watanzania ambayo tokea tuanze kuitizama hadi leo bado hatujaimaliza kutokana na Utamu wake.
Hauja zeeka Toto zuri, sema theme ya filamu Ina kuchanganya 😄😄Sijawahi kuilewa fast and furious naona kila saa wanakimbiza magari,au nitakuwa nimezeeka Sasa eti???
Angalia top gun Maverick, nayo kafanya balaaNdomana inasemekana ni Usalama wa taifa wa Marekani huyo na analindwa mno!
Ila hiyo nafkiri haipo Netflix 🤔Angalia top gun Maverick, nayo kafanya balaa
Mbona kuna watch and download site nyingiIla hiyo nafkiri haipo Netflix 🤔
Nakubaliana naweFast n furious toka iishe ya saba zilizobakia zote upuuzi