Fastjet: Kwa wale mlikuwa mnadhani itakuwa msaada kwa watanzania, someni hapa.

Fastjet: Kwa wale mlikuwa mnadhani itakuwa msaada kwa watanzania, someni hapa.

Wewe ndo umetumwa na precission uje ulete majungu.Mimi nimepanda hata 45000 haijafika sasa wewe na huo umbea wa nini tena
 
Jana nimesafiri toka Dar kuja KIA na Kesho narudi Dar kwa bei hiyo hiyo ya Sh. 86,000/= na nilikua na Begi la Kilo 12 nilipima, sikuchajiwa chochote. Kweli wabongo tunapenda kupiga domo bila utafiti. Fastjet wanatoa seat kadhaa kila trip kwa ajili ya promotion na ili uipate ukate mapema. Hata hivo bei zao hata bila promotion zipo chini na tayari Pressission wanakwenda mswaki.


[TABLE="class: BasketItemsTable"]
[TR="class: BasketPaxCountRow"]
[TD="class: BasketPaxCountColumn1"]No of Adults: [/TD]
[TD="class: BasketPaxCountColumn2"] 1 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: BasketItineraryFlightDivider, colspan: 2"]
[/TD]
[/TR]
[TR="class: outboundFlight BasketItineraryItemRow"]
[TD="class: BasketItineraryItemColumn, colspan: 2"] Kilimanjaro to Dar es Salaam (FN0152) [/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketItineraryFlightRow"]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn1"] Departure: [/TD]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn2"] 07 Dec 12:35 [/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketItineraryFlightRow"]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn1"] Arrival Time: [/TD]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn2"] 07 Dec 13:55 [/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketItineraryFlightRow"]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn1"] Fare: [/TD]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn2"] 96,000 TZS [/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketItineraryFlightRow"]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn1"] Taxes: [/TD]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn2"] 11,040 TZS [/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketItineraryFlightRow"]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn1"] Total: [/TD]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn2"] 107,040 TZS [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: BasketItineraryFlightDivider, colspan: 2"]
[/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketBaseFareTotalPriceRow"]
[TD="class: BasketBaseFareTotalPriceColumn1"] Total fares and taxes: [/TD]
[TD="class: BasketBaseFareTotalPriceColumn2"] 107,040 TZS [/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketBaseFareTotalPriceRow"]
[TD="class: BasketBaseFareTotalPriceColumn1"] Total Baggage: [/TD]
[TD="class: BasketBaseFareTotalPriceColumn2"] 0 TZS [/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketGrandTotalRow"]
[TD="class: BasketGrandTotalColumn1, colspan: 2"] [TABLE="class: BasketGrandTotalTab"]
[TR]
[TD="class: BasketGrandTotalCaption"] Total payable: [/TD]
[TD="class: BasketGrandTotalPrice"] 107,040 TZS
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: BasketGrandTotalCaption"][/TD]
[TD="class: BasketGrandTotalPrice"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketCommandRow"]
[/TR]
[/TABLE]
 
mimi kama mmoja wa watu wanaosafiri sana niliposikia huduma mpya za fastjet tanzania kwa gharama nafuu ya Tsh 32000 nikasema mkombozi kafika Tanzania kwa watu wa Dar-Mwanza na KLM. Nikasema hvi kama napanda dar express dar to arusha kwa Tsh 28000 kwa masaa karibu kumi, leo naambiwa natumia Tsh32000 tu kwa muda wa saa 1 na dk kama 20 hv, kwanza nilistaajabu ktk hali iliyonifanya nijaribu kufanya utafiti wa hiyo fare yao.nilianza kwa kutembelea website yao ktk booking category.nilipoona jinsi mchanganuo wa cost yao ulivyo nikasema jamaa wameshajua kuwa watanzania ni watu wasiojua kufatilia jambo. Iko hivi fare exclusive vat and other cost ni Tsh 32000, ukibeba kabag kadogo utakalipia Tsh 8000, bag lisilozidi Kg 20(sport bag) utalilipia Tsh 32000. sasa hapa acha hiyo VAT ambayo ikianza kulipwa utalipa wewe, airport charge ambayo ni Tsh 10000.fanya sum utaona how much you should pay. kwa mantki hiyo watanzania hapa tumejidanganya wenyewe kwani kilichotumika ni busness tricks ktk kuvuta mind za clients. ndo mana kama mtafatilia gazeti la The Citizen la ijumaa iliyopita kama sikosei kuna mwakilishi toka precision airline kaelezea sana ktk hili na mwisho akasema hivi " Haitachukua muda kwa Watanzania kuelewa gharama halisi watakayolipa kwani ktk biashara hii ya usafiri utagundua gharama za uendeshaji zipo sawa na 40% ya mapato hutumika ktk oil" akaendelea kwa kusema hajaona drop down yoyote ktk booking yao kwa maana kuwa hawajaathiriwa vyovyote vile na ujio wa Fastjet zaidi ya kupata changamoto zaidi ktk uboreshaji wa huduma zao.
My take:
Ni wazi kuwa wenye ufahamu zaidi ktk huduma za usafiri wa anga wamegundua kuwa kama kuna diffence basi itakuwa ndogo na si kama inavyotamkwa na watu ktk vyombo vya habari. so tuwe tunasoma angalau watanzania wenzangu maana kila jambo ni sisi tu watanzania tunadanganywa thats too sad kusema kuwa hata wawekezaji wamegundua watanzania wengi ni mbumbumbu ktk masuala yanayowahusu wenyewe.

Nadhani ulikuwa likizo. Issue ya fastjet vs precision air imejadiliwa sana hapa, na hata business model inayotumiwa na fastjet. Hicho unakiita utafiti mimi naona ulipitiwa tu, maana matangazo yote ya fastjet yanasema bei ni kuanzia (from) 32,000 + government taxes & charges. Na kama unataka kupata unafuu kwenye nauli ya Fastjet unatakiwa ku-book mapema. Hii sio Dar express, ni fastjet - book early! How to Book Online - Fastjet

[TABLE="width: 211"]
[TR]
[TD="class: xl63, width: 280, bgcolor: transparent, colspan: 2"]Dar es Salaam to Kilimanjaro (FN0151)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl64, width: 150, bgcolor: transparent"]Departure:[/TD]
[TD="class: xl65, width: 130, bgcolor: transparent, align: right"]25/01/2012 10:30[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl64, width: 150, bgcolor: transparent"]Arrival Time:[/TD]
[TD="class: xl65, width: 130, bgcolor: transparent, align: right"]25/01/2012 11:50[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl64, width: 150, bgcolor: transparent"]Fare:[/TD]
[TD="class: xl64, width: 130, bgcolor: transparent"]32,000 TZS[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl64, width: 150, bgcolor: transparent"]Taxes:[/TD]
[TD="class: xl64, width: 130, bgcolor: transparent"]11,040 TZS[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl64, width: 150, bgcolor: transparent"]Total:[/TD]
[TD="class: xl64, width: 130, bgcolor: transparent"]43,040 TZS[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl64, width: 280, bgcolor: transparent, colspan: 2"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl64, width: 150, bgcolor: transparent"]Total fares and taxes:[/TD]
[TD="class: xl64, width: 130, bgcolor: transparent"]43,040 TZS[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl64, width: 150, bgcolor: transparent"]Total Baggage:[/TD]
[TD="class: xl64, width: 130, bgcolor: transparent"]0 TZS[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl66, width: 150, bgcolor: transparent"]Total payable:[/TD]
[TD="class: xl67, width: 130, bgcolor: transparent"]43,040 TZS[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


Kwenye red: mambo ya kubebana na ndizi yatakugharimu. Kibag kidogo maana yake nini?

Kwenye blue: No-frills carriers ziko sehemu nyingi duniani, lakini kwa bahati mbaya Tanzania tulikuwa na 'almost monopoly'.
 
kuna watu wameshaweka tiketi humu ya go an return hawa jamaa pamoja na cost zao zote ni very cheap huwezi fananisha na na precision air

mkuu uko very right. Huyu jamaa either katumwa na precision au ni wale wale. Fanya umelipia bag kwa 32000 na nauli yako 32000 plus vat na 10000 kama airport charges, itafika 280000 ya oneway charge ya precision?
 
kaka mchanganuo wao unafahamika tuu sio mpaka uon tiketi ya mtu wewe nenda ktk website yao kwenye booking then we can talk. hivi kwa watz ambao asili yao lazima abebe mzigo akisafiri utamsaidia kweli ktk hili? pili nachid kama inavyofahamika hapo hakuna kitu inaitwa VAT sasa subiri waiweke then utakuja tena humu humu kukiri kuwa hakuna jipya.

mkuu naomba nikumbushb. Hivi VAT ni asilimia ngapi kweli?
 
Last edited by a moderator:
Kabila ya pazi utaijua tu. Kwani lazima usafiri na mafurushi?

Unataka upande ndege na beseni limefunikwa ungo na kufungwa na khanga.....tehe tehe tehe...kapande treni mkuu!
 
Ni kweli kabisa. Cha msingi hapa Precision na makampuni mengine yajipange na wao wapunguze bei. Bei zao ni juu sana kwenda Mwanza utadhani unakwenda India!

Nini India! kwenda Dubai rahisi kuliko kwenda MWANZA na Precision
 
mimi kama mmoja wa watu wanaosafiri sana niliposikia huduma mpya za fastjet tanzania kwa gharama nafuu ya Tsh 32000 nikasema mkombozi kafika Tanzania kwa watu wa Dar-Mwanza na KLM. Nikasema hvi kama napanda dar express dar to arusha kwa Tsh 28000 kwa masaa karibu kumi, leo naambiwa natumia Tsh32000 tu kwa muda wa saa 1 na dk kama 20 hv, kwanza nilistaajabu ktk hali iliyonifanya nijaribu kufanya utafiti wa hiyo fare yao.nilianza kwa kutembelea website yao ktk booking category.nilipoona jinsi mchanganuo wa cost yao ulivyo nikasema jamaa wameshajua kuwa watanzania ni watu wasiojua kufatilia jambo. Iko hivi fare exclusive vat and other cost ni Tsh 32000, ukibeba kabag kadogo utakalipia Tsh 8000, bag lisilozidi Kg 20(sport bag) utalilipia Tsh 32000. sasa hapa acha hiyo VAT ambayo ikianza kulipwa utalipa wewe, airport charge ambayo ni Tsh 10000.fanya sum utaona how much you should pay. kwa mantki hiyo watanzania hapa tumejidanganya wenyewe kwani kilichotumika ni busness tricks ktk kuvuta mind za clients. ndo mana kama mtafatilia gazeti la The Citizen la ijumaa iliyopita kama sikosei kuna mwakilishi toka precision airline kaelezea sana ktk hili na mwisho akasema hivi " Haitachukua muda kwa Watanzania kuelewa gharama halisi watakayolipa kwani ktk biashara hii ya usafiri utagundua gharama za uendeshaji zipo sawa na 40% ya mapato hutumika ktk oil" akaendelea kwa kusema hajaona drop down yoyote ktk booking yao kwa maana kuwa hawajaathiriwa vyovyote vile na ujio wa Fastjet zaidi ya kupata changamoto zaidi ktk uboreshaji wa huduma zao.
My take:
Ni wazi kuwa wenye ufahamu zaidi ktk huduma za usafiri wa anga wamegundua kuwa kama kuna diffence basi itakuwa ndogo na si kama inavyotamkwa na watu ktk vyombo vya habari. so tuwe tunasoma angalau watanzania wenzangu maana kila jambo ni sisi tu watanzania tunadanganywa thats too sad kusema kuwa hata wawekezaji wamegundua watanzania wengi ni mbumbumbu ktk masuala yanayowahusu wenyewe.

Mkuu,

Hivyo ndivyo budget airlines zinavyofanya kazi. Muhimu ni kujua unataka kusafiri lini na kama inawezekana usiwe na mzigo mkubwa utaiona faida yake. Kuna makampuni mengi sana hasa Ulaya, Marekani na hata Asia yanayofanya safari kwa njia kama hiyo. Angalia link ya ryanair uone bei zao na masharti ya nauli zao.

Cheap Flights - Book cheap flights to Europe with Ryanair

Kwa wengi mashirika kama hayo yameleta ukombozi, tukiwa na safari za siku moja mbili tunakimbilia huko.

Precision na ATC wajue hawataendelea kunyanyasa abiria, inabidi wajipange upya ama waachie ngazi.
 
Nafikiri ni wewe hukuelewa tangazo lao,maana wanasistiza kwamba 32000 ni kabla ya kodi

mimi kama mmoja wa watu wanaosafiri sana niliposikia huduma mpya za fastjet tanzania kwa gharama nafuu ya Tsh 32000 nikasema mkombozi kafika Tanzania kwa watu wa Dar-Mwanza na KLM. Nikasema hvi kama napanda dar express dar to arusha kwa Tsh 28000 kwa masaa karibu kumi, leo naambiwa natumia Tsh32000 tu kwa muda wa saa 1 na dk kama 20 hv, kwanza nilistaajabu ktk hali iliyonifanya nijaribu kufanya utafiti wa hiyo fare yao.nilianza kwa kutembelea website yao ktk booking category.nilipoona jinsi mchanganuo wa cost yao ulivyo nikasema jamaa wameshajua kuwa watanzania ni watu wasiojua kufatilia jambo. Iko hivi fare exclusive vat and other cost ni Tsh 32000, ukibeba kabag kadogo utakalipia Tsh 8000, bag lisilozidi Kg 20(sport bag) utalilipia Tsh 32000. sasa hapa acha hiyo VAT ambayo ikianza kulipwa utalipa wewe, airport charge ambayo ni Tsh 10000.fanya sum utaona how much you should pay. kwa mantki hiyo watanzania hapa tumejidanganya wenyewe kwani kilichotumika ni busness tricks ktk kuvuta mind za clients. ndo mana kama mtafatilia gazeti la The Citizen la ijumaa iliyopita kama sikosei kuna mwakilishi toka precision airline kaelezea sana ktk hili na mwisho akasema hivi " Haitachukua muda kwa Watanzania kuelewa gharama halisi watakayolipa kwani ktk biashara hii ya usafiri utagundua gharama za uendeshaji zipo sawa na 40% ya mapato hutumika ktk oil" akaendelea kwa kusema hajaona drop down yoyote ktk booking yao kwa maana kuwa hawajaathiriwa vyovyote vile na ujio wa Fastjet zaidi ya kupata changamoto zaidi ktk uboreshaji wa huduma zao.
My take:
Ni wazi kuwa wenye ufahamu zaidi ktk huduma za usafiri wa anga wamegundua kuwa kama kuna diffence basi itakuwa ndogo na si kama inavyotamkwa na watu ktk vyombo vya habari. so tuwe tunasoma angalau watanzania wenzangu maana kila jambo ni sisi tu watanzania tunadanganywa thats too sad kusema kuwa hata wawekezaji wamegundua watanzania wengi ni mbumbumbu ktk masuala yanayowahusu wenyewe.
 
Precision nao wameshusha hadi 199000/= kwenda na kurudi Mwanza pia ile boeing yao inakuwa na trip tatu Mwanza Dar kwa siku
 
fastjet, easyjet na ryanair kampuni hizi ni cheap sana kwa usafiri wa ndege uk pamoja na mchanganuo huo uliosema bado suala la gharama nafuu uko pale pale ukilinganisha na makampuni ya mengine ya ndege kwa mfano kipindi hiki kutoka birmingham kwenda paris unalipa £40 ni bei ya kutupwa makampuni mengine hayacharge hivi, mleta hoja pamoja na kusema sisi watanzania hatujui mahesabu ya kujua gharama halisi ila ukweli hii ni changamoto kubwa imeletwa hasa kwenye industry ya ndege na precision air inabidi wazikabili changamoto hizi kwa vitendo na sio kwa porojo kwenye media maana tunasifika sana kwa kuongea bila matendo, kama mtakumbuka mobile zimeanza kuingia nchini vodacome walikuwa wanauza line pekee tu kwa tsh 15,000/= na gharama ilikuwa kubwa kweli yalipoongezeka makampuni mengine gharama zikaanza kupungua mpka line unapata bure na gharama za mawasiliano zilipungua, ukweli precision walikuwa wanapata profit za kutosha sasa hivi wameona hizo changamoto maneno yameanza, pigeni kazi ni sisi wenyewe tuliruhusu biashara huria na uzuri ni shirika la nje lingekuwa na mtz watu wangesema ni la mafisadi.
 
...
Ni wazi kuwa wenye ufahamu zaidi ktk huduma za usafiri wa anga wamegundua kuwa kama kuna diffence basi itakuwa ndogo na si kama inavyotamkwa na watu ktk vyombo vya habari. ...

... every little helps!
... kuhusiana na kusafiri na mizigo; obviously kama unapeleka matenga ya nazi Mwanza na kurudi na ndoo za samaki lazima itakula kwako. But to regular commuters, i.e. business travellers with a mere rucksack or a briefcase - it should pay off.
 
watu mbona wanasahau kujumlisha na bei ya kutoka KIA to A TOWN au MOSHI wacje wakafikiria cheap than bus
 
Nenda kwenye ofisi ya FastJet ulizia bei ya ticket na hizo mlolongo mwengineo, utaona bado wana nauli ya chini sana!! Ukitoka hapo nenda kwa PrecisionAir uliza utaona tofauti!! Ukifanya hivyo rudi humu uanze kupiga domo...
umemaliza mjadala!
 
Wabongo kwa majungu, hamtaki walalahoi wapande ndege jamani?
 
Ni vizuri kwa akutoa ufafanuzi lakini unaonekana kama unapigia debe Mashirika mengine. sasa kam huna begi kubwa si unalipa shs 8000 tu? Au ndiyo kwa hilo nauli inakuwa sawa na ile ya mashirika mengine? hwa jamaa wameazimia msingi wa"Economy of Scale" if Iam not wrong since Iam not an Economist anyway. Dege likijaaa linalipa gharama za mafuta kuliko kwenda na watu wachache kwa nauli kubwa.
Wengi wameshatumia na wanaona kuna unafuu. Hebu na we jaribu kuacha kutumia hayo mashirika japo kwa safari moja na ujaribu hawa jamaa halafu uje utuuambie mmchanganuo wa gharama zako
 
Back
Top Bottom