Fastjet: Kwa wale mlikuwa mnadhani itakuwa msaada kwa watanzania, someni hapa.

Fastjet: Kwa wale mlikuwa mnadhani itakuwa msaada kwa watanzania, someni hapa.

Nimejaribu kufanya booking kwenye website za kampuni husika kwa safari ya kwenda Kilimanjaro na kurudi Dar. Tarehe zinafanana na muda pia zinakaribiana so hakuna kisingizio hapo.

Gharama ya ticket kwa mtu mmoja ni kama inavyoonekana hapo chini.

[TABLE="class: grid, width: 500"]
[TR]
[TD]Company[/TD]
[TD][/TD]
[TD="align: center"]Date[/TD]
[TD="align: center"]Depature[/TD]
[TD="align: right"]Total Fare[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Fastjet[/TD]
[TD]DAR-KIA[/TD]
[TD="align: center"]8/12/2012[/TD]
[TD="align: center"]19:30[/TD]
[TD="align: right"]Tshs 107,040[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD]KIA-DAR[/TD]
[TD="align: center"]12/12/2012[/TD]
[TD="align: center"]21:35[/TD]
[TD="align: right"]Tshs 75,040[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD="align: right"]Mizigo (2) bags[/TD]
[TD="align: right"]Tshs 16,000[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD="align: right"]TOTAL[/TD]
[TD="align: right"]Tshs 198,080[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Precision[/TD]
[TD]DAR-KIA[/TD]
[TD]8/12/2012[/TD]
[TD="align: center"]20:20[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD]KIA-DAR[/TD]
[TD]12/12/2012[/TD]
[TD="align: center"]21:00[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD][/TD]
[TD="align: right"]TOTAL[/TD]
[TD="align: right"]US$ 343.60[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Fastjet are very cheap compared to precision.
 

Attachments

kuna watu wameshaweka tiketi humu ya go an return hawa jamaa pamoja na cost zao zote ni very cheap huwezi fananisha na na precision air

Hiyo nauli ya elfu 32 ipo kweli? Leo nimetembelea mtandao wao sijaiona. Nauli ya chini kabisa Dar-KIA-Dar ni 218,000/-.
Hatuwalinganishi na Presion bali uongo uliopitiliza. Precision walipoanza safari za South Africa kwa USD 70 ilikuwa kweli kabisa, sio hawa Fastjet.
 
Sina hakika na nauli lakini hii tabia ya KUDANGANYWA imezidi mno. Tunaambiwa ving'amuzi vinapatikana nchi nzima wakati SIO, hivi hawa watu HAWAMUOGOPI MUNGU?

Na wala hatuna mtu wa kutusemea, si Mamlaka ya Usafiri wa Anga wa Wizara, tunadanganywa na vyombo husika vimeuchuna.
 
Hiyo nauli ya elfu 32 ipo kweli? Leo nimetembelea mtandao wao sijaiona. Nauli ya chini kabisa Dar-KIA-Dar ni 218,000/-.
Hatuwalinganishi na Presion bali uongo uliopitiliza. Precision walipoanza safari za South Africa kwa USD 70 ilikuwa kweli kabisa, sio hawa Fastjet.


Book early, kama unataka bei nafuu. Lakini kama ni zima moto basi ujue bei nayo itakuwa zima moto. That's how it works!.
 
Kijana acha kutumika,unapata faida gani kuja kuichafua fastjet humu? Fastjet ni nomaaa ni mkombozi wa mlalahoi,wewe endelea na ndege zenu hizo za kifisadi sie twala bata huku fast jet yakhe!!
 
Jana nimesafiri toka Dar kuja KIA na Kesho narudi Dar kwa bei hiyo hiyo ya Sh. 86,000/= na nilikua na Begi la Kilo 12 nilipima, sikuchajiwa chochote. Kweli wabongo tunapenda kupiga domo bila utafiti. Fastjet wanatoa seat kadhaa kila trip kwa ajili ya promotion na ili uipate ukate mapema. Hata hivo bei zao hata bila promotion zipo chini na tayari Pressission wanakwenda mswaki.

Kweli Watanzania tunapenda sana kupiga domo, na mbaya zaidi tunaongelea vitu ambavyo hatuna uelewa navyo au hatuna utaalamu wa kuviongelea.

Alhamisi ya 29 Nov, nilitaka kununua ticket (one way) Dar - KIA, ..Precision Air walitaka niwape Tshs 310,000/-.

Basi nikaamua kwenda FastJet, nilinunua ticket oneway, Dar -KIA, kwa Tshs 59,000/- na mzigo nililipa Tsh 8000/-. Kwa vile sikuhitaji kula kitu, sikulipa gharama nyingine zaidi ya hiyo. Na baada ya kufika KIA nilitoa Tsh 10,000/- ya shuttle kwenda Arusha. Na hiyo bei ya ticket ilikuwa kubwa kwa sababu nilikata ticket saa 10 jioni wakati ndege ilikuwa ya saa 1.30 jioni. Watu waliokata ticket mapema walilipa kuanzia 48,000!!

Kwa hiyo, ni hatari watu kuongea mambo kama haya kwa ushabiki....

Binafsi wasi wasi wangu ni kama hawa watu watadumu kwenye soko na bei hizi hizi!!
 
Binafsi wasi wasi wangu ni kama hawa watu watadumu kwenye soko na bei hizi hizi!!

Mkuu hawa jamaa si wageni kwenye biashara hii ya ndege kwa nauli ndogo. Ukiangalia pia utagundua kuwa bei za 32,000 zinakuwa chache na wengine wanalipa zaidi kidogo japo bado ni nafuu sana ukilinganisha na precision na wengineo. Vinginevyo wasiwe wanapata abiria wa kutosha na wawekewe mizengwe na mafisadi. Ulaya kuna akina Ryan Air, Easyjet bei zao ni za kutupa lakini wanadunda kama kawa miaka nenda rudi sasa.
 
Kwa mwenye website ya hawa jamaa (fastjet) naomba anirushie tafadhali!!
 
eeee hizi ndege zikiongezeka na uwanja wa mwanza uendelezwe mbona uchumi utakua maaana mtu kuliko kuzunguka na gari masaa anatumia saa moja unusu hadi aendapo.
Wameleta challenge hadi Precision kapunuza bei ya Mwanza na kupeleka Boeing yake mara tatu kwa siku
 
Mkuu kwa nini Precision AIR ndio hiwe msemaji mkuu kuhusu usafiri wa anga nchini!! Wafanye biashara zao bila ya kutaka kuzodoa kampuni nyingine ambazo wanaziona ni shindani kwao, hapa wanaonekana kuwasema FastJet openly, je wanazungumza nini in CAMERA kuhusu ATC - wasifikili hatujuhi kwamba wako determined kuhakikisha ATC inabaki kwenye papers tu - we know ambaye yuko behind Precision AIR - ni Kenya Airways na KLM, wasitake kuhaada watu hapa. Kenya airways inataka ku-dominate anga lote la Africa Masharika kwa kutumia proxy companies, Taifa letu lisikubali/kuruhusu cartel ya namna hiyo ku-take hold ndani ya nchi yetu. Watanzania wana akili hawaitaji kampuni nyingine kutoa break down za gharama sijuhi kamili za usafiri kwa njia ya anga wa mshindani WAO - ni lini Precision Air iliwahi kuweka adhalani running cost za fleet zao etc. Fanyeni biashara zenu bila ya kuleta leta fitina zisizo na msingi.
 
Nimejaribu kufanya booking kwenye website za kampuni husika kwa safari ya kwenda Kilimanjaro na kurudi Dar. Tarehe zinafanana na muda pia zinakaribiana so hakuna kisingizio hapo. Gharama ya ticket kwa mtu mmoja ni kama inavyoonekana hapo chini. [TABLE="class: grid, width: 500"] [TR] [TD]Company[/TD] [TD][/TD] [TD="align: center"]Date[/TD] [TD="align: center"]Depature[/TD] [TD="align: right"]Total Fare[/TD] [/TR] [TR] [TD]Fastjet[/TD] [TD]DAR-KIA[/TD] [TD="align: center"]8/12/2012[/TD] [TD="align: center"]19:30[/TD] [TD="align: right"]Tshs 107,040[/TD] [/TR] [TR] [TD][/TD] [TD]KIA-DAR[/TD] [TD="align: center"]12/12/2012[/TD] [TD="align: center"]21:35[/TD] [TD="align: right"]Tshs 75,040[/TD] [/TR] [TR] [TD][/TD] [TD][/TD] [TD][/TD] [TD="align: right"]Mizigo (2) bags[/TD] [TD="align: right"]Tshs 16,000[/TD] [/TR] [TR] [TD][/TD] [TD][/TD] [TD][/TD] [TD="align: right"]TOTAL[/TD] [TD="align: right"]Tshs 198,080[/TD] [/TR] [TR] [TD]Precision[/TD] [TD]DAR-KIA[/TD] [TD]8/12/2012[/TD] [TD="align: center"]20:20[/TD] [TD][/TD] [/TR] [TR] [TD][/TD] [TD]KIA-DAR[/TD] [TD]12/12/2012[/TD] [TD="align: center"]21:00[/TD] [TD][/TD] [/TR] [TR] [TD][/TD] [TD][/TD] [TD][/TD] [TD="align: right"]TOTAL[/TD] [TD="align: right"]US$ 343.60[/TD] [/TR] [/TABLE] Fastjet are very cheap compared to precision.
Tunashukuru sana mkuu kwa data zako, inaonekana tofauti ya nauli ni kubwa sana! Jamaa walikuwa wanatu rip off vibaya sana - no wonder wameanza kuwa na wasi wasi na FastJet, na kuanza kutoa taharifa za upotoshaji/kukatisha tamaa wasafiri. Bravo FastJET.
 
Mkuu hawa jamaa si wageni kwenye biashara hii ya ndege kwa nauli ndogo. Ukuangalia pia utagundua kuwa bei za 32,000 zinakuwa chahce na wengine wanalipa zaidi kiodogo japo bado ni nafuu sana ukilinganisha na precision na wengineo. Vinginevyo wasiwe wanapata abiria wa kutosha na wawekewe mizengwe na mafisadi. Ulaya kuna akina Ryan Air, Easyjet bei zao ni za kutupa lakini wanadunda kama kawa miaka nenda rudi sasa.
Spot on mkuu hata mimi nilitaka kutoa mfano huo huo, actually nafikili FastJet hiko affiliated na moja wapo ya kampuni ulizo taja hapo juu na zinafanya kazi bila wasi wasi na wanapata faida. Big Up Mkuu, mimi wasi wasi wangu nikufanyiwa hujuma na mizengwe na mapapa, abiria watapatikana kwa kuwa nauli haijazidiana sana na ya mabasi, we sema hata wamiliki wa mabasi wanaweza kuwafanyia hujuma. Ninacho washauri wawe wangalifu wanako nunua mafuta ya ndege yanaweza kuchakachuliwa kukatokea catastrophe.
 
Na wala hatuna mtu wa kutusemea, si Mamlaka ya Usafiri wa Anga wa Wizara, tunadanganywa na vyombo husika vimeuchuna.
Hivi hatuna njia mbadala wa kuwawajibisha?
 
Back
Top Bottom