Fastjet: Kwa wale mlikuwa mnadhani itakuwa msaada kwa watanzania, someni hapa.

Hata one way ikiwa kati ya 50K-150K bado ni NAFUU sana kuliko wezi wa precision
 
Wewe ndo umetumwa na precission uje ulete majungu.Mimi nimepanda hata 45000 haijafika sasa wewe na huo umbea wa nini tena
 


[TABLE="class: BasketItemsTable"]
[TR="class: BasketPaxCountRow"]
[TD="class: BasketPaxCountColumn1"]No of Adults: [/TD]
[TD="class: BasketPaxCountColumn2"] 1 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: BasketItineraryFlightDivider, colspan: 2"]
[/TD]
[/TR]
[TR="class: outboundFlight BasketItineraryItemRow"]
[TD="class: BasketItineraryItemColumn, colspan: 2"] Kilimanjaro to Dar es Salaam (FN0152) [/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketItineraryFlightRow"]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn1"] Departure: [/TD]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn2"] 07 Dec 12:35 [/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketItineraryFlightRow"]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn1"] Arrival Time: [/TD]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn2"] 07 Dec 13:55 [/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketItineraryFlightRow"]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn1"] Fare: [/TD]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn2"] 96,000 TZS [/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketItineraryFlightRow"]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn1"] Taxes: [/TD]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn2"] 11,040 TZS [/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketItineraryFlightRow"]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn1"] Total: [/TD]
[TD="class: BasketItineraryFlightColumn2"] 107,040 TZS [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: BasketItineraryFlightDivider, colspan: 2"]
[/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketBaseFareTotalPriceRow"]
[TD="class: BasketBaseFareTotalPriceColumn1"] Total fares and taxes: [/TD]
[TD="class: BasketBaseFareTotalPriceColumn2"] 107,040 TZS [/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketBaseFareTotalPriceRow"]
[TD="class: BasketBaseFareTotalPriceColumn1"] Total Baggage: [/TD]
[TD="class: BasketBaseFareTotalPriceColumn2"] 0 TZS [/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketGrandTotalRow"]
[TD="class: BasketGrandTotalColumn1, colspan: 2"] [TABLE="class: BasketGrandTotalTab"]
[TR]
[TD="class: BasketGrandTotalCaption"] Total payable: [/TD]
[TD="class: BasketGrandTotalPrice"] 107,040 TZS
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: BasketGrandTotalCaption"][/TD]
[TD="class: BasketGrandTotalPrice"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[/TD]
[/TR]
[TR="class: BasketCommandRow"]
[/TR]
[/TABLE]
 

Nadhani ulikuwa likizo. Issue ya fastjet vs precision air imejadiliwa sana hapa, na hata business model inayotumiwa na fastjet. Hicho unakiita utafiti mimi naona ulipitiwa tu, maana matangazo yote ya fastjet yanasema bei ni kuanzia (from) 32,000 + government taxes & charges. Na kama unataka kupata unafuu kwenye nauli ya Fastjet unatakiwa ku-book mapema. Hii sio Dar express, ni fastjet - book early! How to Book Online - Fastjet

[TABLE="width: 211"]
[TR]
[TD="class: xl63, width: 280, bgcolor: transparent, colspan: 2"]Dar es Salaam to Kilimanjaro (FN0151)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl64, width: 150, bgcolor: transparent"]Departure:[/TD]
[TD="class: xl65, width: 130, bgcolor: transparent, align: right"]25/01/2012 10:30[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl64, width: 150, bgcolor: transparent"]Arrival Time:[/TD]
[TD="class: xl65, width: 130, bgcolor: transparent, align: right"]25/01/2012 11:50[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl64, width: 150, bgcolor: transparent"]Fare:[/TD]
[TD="class: xl64, width: 130, bgcolor: transparent"]32,000 TZS[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl64, width: 150, bgcolor: transparent"]Taxes:[/TD]
[TD="class: xl64, width: 130, bgcolor: transparent"]11,040 TZS[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl64, width: 150, bgcolor: transparent"]Total:[/TD]
[TD="class: xl64, width: 130, bgcolor: transparent"]43,040 TZS[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl64, width: 280, bgcolor: transparent, colspan: 2"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl64, width: 150, bgcolor: transparent"]Total fares and taxes:[/TD]
[TD="class: xl64, width: 130, bgcolor: transparent"]43,040 TZS[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl64, width: 150, bgcolor: transparent"]Total Baggage:[/TD]
[TD="class: xl64, width: 130, bgcolor: transparent"]0 TZS[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: xl66, width: 150, bgcolor: transparent"]Total payable:[/TD]
[TD="class: xl67, width: 130, bgcolor: transparent"]43,040 TZS[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


Kwenye red: mambo ya kubebana na ndizi yatakugharimu. Kibag kidogo maana yake nini?

Kwenye blue: No-frills carriers ziko sehemu nyingi duniani, lakini kwa bahati mbaya Tanzania tulikuwa na 'almost monopoly'.
 
kuna watu wameshaweka tiketi humu ya go an return hawa jamaa pamoja na cost zao zote ni very cheap huwezi fananisha na na precision air

mkuu uko very right. Huyu jamaa either katumwa na precision au ni wale wale. Fanya umelipia bag kwa 32000 na nauli yako 32000 plus vat na 10000 kama airport charges, itafika 280000 ya oneway charge ya precision?
 

mkuu naomba nikumbushb. Hivi VAT ni asilimia ngapi kweli?
 
Last edited by a moderator:
Kabila ya pazi utaijua tu. Kwani lazima usafiri na mafurushi?

Unataka upande ndege na beseni limefunikwa ungo na kufungwa na khanga.....tehe tehe tehe...kapande treni mkuu!
 
Ni kweli kabisa. Cha msingi hapa Precision na makampuni mengine yajipange na wao wapunguze bei. Bei zao ni juu sana kwenda Mwanza utadhani unakwenda India!

Nini India! kwenda Dubai rahisi kuliko kwenda MWANZA na Precision
 

Mkuu,

Hivyo ndivyo budget airlines zinavyofanya kazi. Muhimu ni kujua unataka kusafiri lini na kama inawezekana usiwe na mzigo mkubwa utaiona faida yake. Kuna makampuni mengi sana hasa Ulaya, Marekani na hata Asia yanayofanya safari kwa njia kama hiyo. Angalia link ya ryanair uone bei zao na masharti ya nauli zao.

Cheap Flights - Book cheap flights to Europe with Ryanair

Kwa wengi mashirika kama hayo yameleta ukombozi, tukiwa na safari za siku moja mbili tunakimbilia huko.

Precision na ATC wajue hawataendelea kunyanyasa abiria, inabidi wajipange upya ama waachie ngazi.
 
Nafikiri ni wewe hukuelewa tangazo lao,maana wanasistiza kwamba 32000 ni kabla ya kodi

 
Precision nao wameshusha hadi 199000/= kwenda na kurudi Mwanza pia ile boeing yao inakuwa na trip tatu Mwanza Dar kwa siku
 
fastjet, easyjet na ryanair kampuni hizi ni cheap sana kwa usafiri wa ndege uk pamoja na mchanganuo huo uliosema bado suala la gharama nafuu uko pale pale ukilinganisha na makampuni ya mengine ya ndege kwa mfano kipindi hiki kutoka birmingham kwenda paris unalipa £40 ni bei ya kutupwa makampuni mengine hayacharge hivi, mleta hoja pamoja na kusema sisi watanzania hatujui mahesabu ya kujua gharama halisi ila ukweli hii ni changamoto kubwa imeletwa hasa kwenye industry ya ndege na precision air inabidi wazikabili changamoto hizi kwa vitendo na sio kwa porojo kwenye media maana tunasifika sana kwa kuongea bila matendo, kama mtakumbuka mobile zimeanza kuingia nchini vodacome walikuwa wanauza line pekee tu kwa tsh 15,000/= na gharama ilikuwa kubwa kweli yalipoongezeka makampuni mengine gharama zikaanza kupungua mpka line unapata bure na gharama za mawasiliano zilipungua, ukweli precision walikuwa wanapata profit za kutosha sasa hivi wameona hizo changamoto maneno yameanza, pigeni kazi ni sisi wenyewe tuliruhusu biashara huria na uzuri ni shirika la nje lingekuwa na mtz watu wangesema ni la mafisadi.
 
...
Ni wazi kuwa wenye ufahamu zaidi ktk huduma za usafiri wa anga wamegundua kuwa kama kuna diffence basi itakuwa ndogo na si kama inavyotamkwa na watu ktk vyombo vya habari. ...

... every little helps!
... kuhusiana na kusafiri na mizigo; obviously kama unapeleka matenga ya nazi Mwanza na kurudi na ndoo za samaki lazima itakula kwako. But to regular commuters, i.e. business travellers with a mere rucksack or a briefcase - it should pay off.
 
mkuu naomba nikumbushb. Hivi VAT ni asilimia ngapi kweli?

Mkuu VAT kwa sasa ni 18 %. Ila kwenye ndege kuna kodi kadhaa na si VAT tu peke yake. Ndo maana huwa wanaandika "Taxes" na si VAT.
 
watu mbona wanasahau kujumlisha na bei ya kutoka KIA to A TOWN au MOSHI wacje wakafikiria cheap than bus
 
Nenda kwenye ofisi ya FastJet ulizia bei ya ticket na hizo mlolongo mwengineo, utaona bado wana nauli ya chini sana!! Ukitoka hapo nenda kwa PrecisionAir uliza utaona tofauti!! Ukifanya hivyo rudi humu uanze kupiga domo...
umemaliza mjadala!
 
Umesahau na kucheleweshwa A/port!
 
Wabongo kwa majungu, hamtaki walalahoi wapande ndege jamani?
 
Ni vizuri kwa akutoa ufafanuzi lakini unaonekana kama unapigia debe Mashirika mengine. sasa kam huna begi kubwa si unalipa shs 8000 tu? Au ndiyo kwa hilo nauli inakuwa sawa na ile ya mashirika mengine? hwa jamaa wameazimia msingi wa"Economy of Scale" if Iam not wrong since Iam not an Economist anyway. Dege likijaaa linalipa gharama za mafuta kuliko kwenda na watu wachache kwa nauli kubwa.
Wengi wameshatumia na wanaona kuna unafuu. Hebu na we jaribu kuacha kutumia hayo mashirika japo kwa safari moja na ujaribu hawa jamaa halafu uje utuuambie mmchanganuo wa gharama zako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…