HUGO CHAVES
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 2,045
- 549
hili ni tatizo letu lingine, safari ya dakika 45 - saa 1 na dakika 25 hivi unakuwa na njaa gani hiyo!?Kwani hawaruhusu mtu kupanda na chapati zake?
Mkuu ya nini kuandikia mate wakti wino upo, Fast Jet wameweka kila kitu kwenye mtandao wasiliana nao!! Wanawapa changamoto Precision Air!!Ukiacha ushabiki wa kibiashara na ushabiki kama wa waumini wa huduma moja. Mimi naona usafiri kwa Fast jet ni ukombozi, tunaomba isifanyiwe hujuma kama waleeeee, tunawakumbuka.
- bei ni sh 32000
- Bei yao ukiongeza na VAT (kwa wale wasiorudishiwa) ni kama 45000 au chini ya hapo,
- kama unataka chakula, menu ba bei utapewa
- kama una mzigo 8000 kwa 20kg za kwanza
- kama una zaidi 8000 kwa kila kilo ya ziada
kuna siri gani kuficha haya? Lazima tujue hizo breakdowns
pima mwenyewe, wenzio tumekata ticket za familia kwa bei ya ticket ya mtu mmoja ya precision.
Tunaipenda preciosion ila lazima wakubali changamoto, wasianze kujisifia kwa kuwakashifu wenzao, soko sasa ni lao, inabidi wagawane. Wajenge imani kwa kazi yao,
Wawaue mende kwenye ndege zao, tunaogopa kula mikate kwa uwezekano kuwa imetembelewa na mende jamani hawana hela ya Expell
Wewe sasa ni mgonjwa unashushiwa nauli unadai Watanzania wanapenda vya bure, huoni kuna unafuu mkubwa kwa nauli ya Dar kwenda na kurudi Tshs 90,000/=???? Hiyo ndio biashara watu wameona kuna chance ya kuteka soko la usafiri wa anga TZ, KARIBUNI FAST JET Mkombozi!!!Tutaanza kushika mabomba kwenye ndege muda si mrefu. hahahaha kweli watanzania mnapenda vya bure!
Kwani hawaruhusu mtu kupanda na chapati zake?
Hebu kwa uwazi fanya mchanganuo unavyojua wewe kwa airline zote mbili utuambie, ipi ni rahisi.
halafu jaribu kuwaza, je wale frequent fliers, wanakuwa na mizigo kiasi gani?
na wenye mizigo wanasafiri mara ngapi kwa mwaka??
Kama wewe namimi wote tunazo ticket au quotations zote mbili nadhani tunajua ipi ni cheaper, au sio??
Lakini kuwa bei rahisi sio kigezo cha kupendwa
Kuna wale watakaobaki na uaminifu kwa Precision kwa sababu nyingi sana.
sidhani kama soko lao litayumba, wana mambo mengi tu mazuri ikiwapo mtandao mkubwa, uzoefu, connection-watu muhimu Tanzania-si unajua (know-who)
eeee hizi ndege zikiongezeka na uwanja wa mwanza uendelezwe mbona uchumi utakua maaana mtu kuliko kuzunguka na gari masaa anatumia saa moja unusu hadi aendapo.
Wameleta challenge hadi Precision kapunuza bei ya Mwanza na kupeleka Boeing yake mara tatu kwa siku
Spot on mkuu hata mimi nilitaka kutoa mfano huo huo, actually nafikili FastJet hiko affiliated na moja wapo ya kampuni ulizo taja hapo juu na zinafanya kazi bila wasi wasi na wanapata faida. Big Up Mkuu, mimi wasi wasi wangu nikufanyiwa hujuma na mizengwe na mapapa, abiria watapatikana kwa kuwa nauli haijazidiana sana na ya mabasi, we sema hata wamiliki wa mabasi wanaweza kuwafanyia hujuma. Ninacho washauri wawe wangalifu wanako nunua mafuta ya ndege yanaweza kuchakachuliwa kukatokea catastrophe.
Mkuu ya nini kuandikia mate wakti wino upo, Fast Jet wameweka kila kitu kwenye mtandao wasiliana nao!! Wanawapa changamoto Precision Air!!
fastjet, easyjet na ryanair kampuni hizi ni cheap sana kwa usafiri wa ndege uk pamoja na mchanganuo huo uliosema bado suala la gharama nafuu uko pale pale ukilinganisha na makampuni ya mengine ya ndege kwa mfano kipindi hiki kutoka birmingham kwenda paris unalipa £40 ni bei ya kutupwa makampuni mengine hayacharge hivi, mleta hoja pamoja na kusema sisi watanzania hatujui mahesabu ya kujua gharama halisi ila ukweli hii ni changamoto kubwa imeletwa hasa kwenye industry ya ndege na precision air inabidi wazikabili changamoto hizi kwa vitendo na sio kwa porojo kwenye media maana tunasifika sana kwa kuongea bila matendo, kama mtakumbuka mobile zimeanza kuingia nchini vodacome walikuwa wanauza line pekee tu kwa tsh 15,000/= na gharama ilikuwa kubwa kweli yalipoongezeka makampuni mengine gharama zikaanza kupungua mpka line unapata bure na gharama za mawasiliano zilipungua, ukweli precision walikuwa wanapata profit za kutosha sasa hivi wameona hizo changamoto maneno yameanza, pigeni kazi ni sisi wenyewe tuliruhusu biashara huria na uzuri ni shirika la nje lingekuwa na mtz watu wangesema ni la mafisadi.
Tutaanza kushika mabomba kwenye ndege muda si mrefu. hahahaha kweli watanzania mnapenda vya bure!
Hiyo nauli ya elfu 32 ipo kweli? Leo nimetembelea mtandao wao sijaiona. Nauli ya chini kabisa Dar-KIA-Dar ni 218,000/-.
Hatuwalinganishi na Presion bali uongo uliopitiliza. Precision walipoanza safari za South Africa kwa USD 70 ilikuwa kweli kabisa, sio hawa Fastjet.
Hili ndo tatizo la kuandika maada huku upo ndumu. Kwanza unakiri kuwa Fastjet wapo cheaper than precision so badala ya kushukuru kwa hiyo tofauti ndogo ndo kwaanza unakuja hadithi za mizigo kilo zaidi 20. Wewe umeambiwa hiyo ni ndege ya mizigo..!? Pambafu..!mimi kama mmoja wa watu wanaosafiri sana niliposikia huduma mpya za fastjet tanzania kwa gharama nafuu ya Tsh 32000 nikasema mkombozi kafika Tanzania kwa watu wa Dar-Mwanza na KLM. Nikasema hvi kama napanda dar express dar to arusha kwa Tsh 28000 kwa masaa karibu kumi, leo naambiwa natumia Tsh32000 tu kwa muda wa saa 1 na dk kama 20 hv, kwanza nilistaajabu ktk hali iliyonifanya nijaribu kufanya utafiti wa hiyo fare yao.nilianza kwa kutembelea website yao ktk booking category.nilipoona jinsi mchanganuo wa cost yao ulivyo nikasema jamaa wameshajua kuwa watanzania ni watu wasiojua kufatilia jambo. Iko hivi fare exclusive vat and other cost ni Tsh 32000, ukibeba kabag kadogo utakalipia Tsh 8000, bag lisilozidi Kg 20(sport bag) utalilipia Tsh 32000. sasa hapa acha hiyo VAT ambayo ikianza kulipwa utalipa wewe, airport charge ambayo ni Tsh 10000.fanya sum utaona how much you should pay. kwa mantki hiyo watanzania hapa tumejidanganya wenyewe kwani kilichotumika ni busness tricks ktk kuvuta mind za clients. ndo mana kama mtafatilia gazeti la The Citizen la ijumaa iliyopita kama sikosei kuna mwakilishi toka precision airline kaelezea sana ktk hili na mwisho akasema hivi " Haitachukua muda kwa Watanzania kuelewa gharama halisi watakayolipa kwani ktk biashara hii ya usafiri utagundua gharama za uendeshaji zipo sawa na 40% ya mapato hutumika ktk oil" akaendelea kwa kusema hajaona drop down yoyote ktk booking yao kwa maana kuwa hawajaathiriwa vyovyote vile na ujio wa Fastjet zaidi ya kupata changamoto zaidi ktk uboreshaji wa huduma zao.
My take:
Ni wazi kuwa wenye ufahamu zaidi ktk huduma za usafiri wa anga wamegundua kuwa kama kuna diffence basi itakuwa ndogo na si kama inavyotamkwa na watu ktk vyombo vya habari. so tuwe tunasoma angalau watanzania wenzangu maana kila jambo ni sisi tu watanzania tunadanganywa thats too sad kusema kuwa hata wawekezaji wamegundua watanzania wengi ni mbumbumbu ktk masuala yanayowahusu wenyewe.
Usinichekeshe ndugu yangu!ikifika Disemba 31!Analogia itazimwa na kuwasha Digitali wakati huko kwetu Lukange hakuna hiyo Mitambo!tunapenda kuendesha mambo kimabavu huku tukijua tunayosema hayatekelezeki!Sina hakika na nauli lakini hii tabia ya KUDANGANYWA imezidi mno. Tunaambiwa ving'amuzi vinapatikana nchi nzima wakati SIO, hivi hawa watu HAWAMUOGOPI MUNGU?
Hapo kwenye sare wangewaazima Shirika letu la ndege sidhani zile za kwao zilizo shoneshwa nje kama zimeshatumika vilivyo!Wanayo mengi mabaya pia:
Wafanyakazi kwenye ndege ni wachafu, uniform zao ni chakavu
Wameanza kuwa na cancellations na delays nyingi
Walibweteka, sasa wamepata mshindani watashikishwa adabu