idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,364
aliechelewa ndege.!Sasa hapo mwenye makosa nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aliechelewa ndege.!Sasa hapo mwenye makosa nani?
labda ni moja ya strategies zao kutubadilisha mawazo yetu yaliyogandana miaka nenda miaka rudi sasa na wameanza na hilo kwa vitendoUkitaka kukosana na watanzania jali mda katika shughuli zako wengi watashindwa kuendana na mda maana sie tumezoea kupandia basi pale mataa na mbezi au maili moja sasa huku kwenye fastjet cjui tutapandia wapi.
upunguze kutumia mizani ya kichina. Na hyo ni ndege husifananishe na yale mabasi ya Ubungo yanayobeba mpaka kuku na bata kwenye boot.
wewe inaonekana uwezo wako wa kufikiri ndo umeishia hapo,jitahidi usafiri kwenye nchi zenye mwanga kidogo ubongo utapata mwanga
,delay kwenye airline yoyote ni kitu cha kawaida,wabongo wengi tumelakla sana,amkeni mtembee kidogo
Babukijana sikiliza. Unapoenda kufanya biashara sehemu lazima uelewe tamaduni zao. Hakuna mtu aliyeenda kufanya biashara sehemu akafika na utamaduni wake wa kukopi na kupaste akafanikiwa. Kwanza nikujulishe mambo yafuatayo:Unalipa 32000 au hata 100,000,kwenda kurudi kj na unachelewa???nyie ndio wapuuzi wote 8,mshafanya hilo daladala.basi la mkoa lenyewe halisubiri abiria itakua ndege.nawapa sifa hao staff maana wangewaendekeza nyie itakuwa taabu mtataka hata kutumiwa gari nyumbani kuwachukua na buku 30 zenu nyambaf.
tehe hehe he he he, yani "umevurugwa" kidogo tu povu limetoka ka la Family ditagent. Nikukumbushe Umesahau kutaja na Airuric...! Tehnishapanda Air Tanzania, Precission, 540 na fastjet so najua kila kitu kaka najua kwamba mizigo haitakiwi kulipiwa unless imezidi 23kgs sawa? nahc wewe hata airport hujafika.maana cjui maswala ya mizani ya kichina yamekujaje unahtaj.maombezi
sasa ukiwaendekeza sijui tutafikia wapi,inachotakiwa wafanyiwe kinyume yote hayo uliyoandika hapo ili wajifunze.ndio maana tunakuwwa nyuma sana huu muungano wa E.A.tutabakia kushika mkia.wakenya hao washatujua udhaifu wetu basi sasa wanacheza na vichwa vyetu tu,ndio maana wanatuchukulia ajira kila siku hapo bongo.mbongo utaendelea kuchelewa ukidai ni utamaduni wako,mkenya anaingia kazini on-time na anapiga kazi inavyotakiwa huku wewe umechelewa,mara uende ukapate supu,mara umeenda lunch masaa mawili na kuteremshia na kabia.ikikaribia time ya kutoka wakwanza ww kwenda kwenu.hapo hata mie nakumwaga.Babukijana sikiliza. Unapoenda kufanya biashara sehemu lazima uelewe tamaduni zao. Hakuna mtu aliyeenda kufanya biashara sehemu akafika na utamaduni wake wa kukopi na kupaste akafanikiwa. Kwanza nikujulishe mambo yafuatayo:
Sasa kwa vipengele hivyo hapo juu, basi uelewe kuwa wewe kama mfanya biashara unatakiwa uwe makini haswa na kauli zako. Kama mteja kachelewa, si vibaya kumueleza ndugu mteja umechelewa, ndege imeshaondoka, lakini si kumkalipia na kumuona ni mjinga, huyo mtanzania yupo tayari kutokurudi tena kama mteja.
- Watanzania huwa hawafuati muda,
- Watanzania huwa wanakuwa discouraged na kauli mbaya
- Watanzania huwa hawapendi uwaone wao hawafai
- Watanzania hawapendi uwaoneshe wamekosea hata kama wamekosea
- Watanzania wapo tayari kutoa cha juu (premium) endapo tu utaonesha unawajali kama wateja na unawachukulia wanao uwezo wa kulipa)
- Watanzania wanapenda sana ile kuwa mteja mfalme n.k. mwingine anaweza kuongeza
Ila wakenya kwao wanashida sana. Tena wanamatatizo makubwa sana. Sisi watanzania ni matajiri sana. Ila cha kujifunza toka kwa wakenya tu ni kuwa hiyo neema tuliyonayo siku moja itakuja kuisha na kupotea. Mimi kama ningekuwa mwajiri basi ningependelea kuajili watanzania tu. Wakenya ni wakatili sana, tena wanapokuwa viongozi kwenye kampuni hawawezi fanya kazi na watanzania kwa sababu ya kutofautiana tamaduni. Kama ukikumbuka Barclays walikuja na mbwembwe za kuajili managers toka Kenya, ila most of the section zilizokuwa zinaongozwa na wakenya zilikufa! Hilo ni la kujifunza. Mtanzania anapenda kuwekewa taratibu za kazi na onesha kuwa anamchango na hakikisha unamlipa vizuri, basi kazi yake ataiheshimu sana na kuifanya kwa ustadi.sasa ukiwaendekeza sijui tutafikia wapi,inachotakiwa wafanyiwe kinyume yote hayo uliyoandika hapo ili wajifunze.ndio maana tunakuwwa nyuma sana huu muungano wa E.A.tutabakia kushika mkia.wakenya hao washatujua udhaifu wetu basi sasa wanacheza na vichwa vyetu tu,ndio maana wanatuchukulia ajira kila siku hapo bongo.mbongo utaendelea kuchelewa ukidai ni utamaduni wako,mkenya anaingia kazini on-time na anapiga kazi inavyotakiwa huku wewe umechelewa,mara uende ukapate supu,mara umeenda lunch masaa mawili na kuteremshia na kabia.ikikaribia time ya kutoka wakwanza ww kwenda kwenu.hapo hata mie nakumwaga.
Hiyo ya kutangaza tshs 32,000/= bila kutaja hidden costs ni yale yale ya kina vodacom kusema ni tshs 1 kwa sekunde, na masharti na vigezo kuzingatiwa. Hapo ikichajiwa kodi na sijui dk ya kwanza ina masharti yake ndo wanapokuvuna. Seriously unategemea usafiri kwa tshs 32,000/= kama ndege haitumii mafuta jamani!
Mkuu unataka ndege ikusubili? Kweli Watanzania tuna kazi na unakuja JF kulalamika eti ndege haijakusubili! Shame on you. Alafu jifunze kununua ticket kwenye mtandao moja kwa moja bila kupiga simu. Jana nimebook ndege kwenda Mwanza na kurudi Dar ya mwezi wa tatu. Nimelipa Tsh 86,000 ikiwa na mzigo wa kilo 20 kwa Tsh 8,000.Habari zenu wanajamvi,
Kuna baadhi ya mambo yananichanganya kuhusu hawa fastJet,
1.Bei zao wanazotutangazia hazina ukweli wowote na hazikaribiani na ukweli,
Mfano leo kwenye website yako wamatutangazia ndege yao ya kwanza kutoka Dar kwenda KIA ni tsh32,000 ,nimepiga simu wanasema ni Tsh107000=.
2.Ukichelewa hata dakika moja baada ya reporting time hawakujui,kwani wameshachukua chao,wanakunyima safari.Hii imemtokea jamaa yangu mmoja leo jioni,walikuwa zaidi ya abiria 8 lakini hawakuwasikiliza zaidi ya kuwapa majibu ya kukatisha tamaa na kejeli,
3.majibu yao kwa ujumla wanaonekana kama abiria wanaopanda hiyo ndege wanapanda bure,au ni kama msaada flani,hawamthamini abiria kabisa,
4.Watanzania wenzangu tunaofanya hapo fastjet na wateja ebu jaribuni kuipa thamani pesa yetu ilingane na huduma tunayopewa na tunayotoa kwa wateja,hatuhitaji msaada wenu,
Mwenye kero kama zangu tiririka hapa
tehe hehe he he he, yani "umevurugwa" kidogo tu povu limetoka ka la family ditagent. Nikukumbushe umesahau kutaja na airuric...! Teh