Akijibu nistue mkuujana yanga ametokaje?
Siwezi kuwepo south africa,kwa taarifa yako niko karibu na watu wa Yanga na mikia tena sio hao wa kwenye vijiwe vya kahawa,nikiwa mwanachama nishakua front kwenye baadhi ya mambo ya Yanga nikiwa uongozi,kwa kunijua tu kidogo,2015 mimi na jamaa yangu mmoja ndio tuliomfuata niyonzima kwake makuti saa 3 usiku kwenda kusaini fomu za Yanga ofisini kwa seif pale al haramain,na hadi mpunga wa macho kuona nilivutaHahaaah kumbe hauko bongo...sasa tunabishana nini mkuu...kumbe nabishana na mtu anayeongea habari za kusadikika...sasa wewe unayeongea habari za kusikia unabishanaje na mtu ninayeongea vitu ninavyoviona kabisa...yaani week iliyopita mvua imenyesha watu tunaona bahari na njia haipitiki kabisa but wewe mkuu unatubishia tuliooiona bahari.
Kwa hiyo mkuu kucheza kwako mpira utotoni na wachezaji wa enzi hizo ndo kuvijua hivi vilabu...wewe habari unazoweza kuzipata ni za huko yanga kwenu ambapo mnaendesha timu kizamani zamani but huku kwetu simba hujui chochote na huwezi kupata habari yoyote...simba tupo kisasa zaidi sikuhizi mkuu...utapatia habari za simba wapi wewe...ukienda ofisini utawakuta wakina senzo hata kiswahili hawajui or na wenyewe ni rafiki zako wanakufahamu mkuu mmecheza nao utotoni huko south africa???
Huyo senzo ofisi yake iko wapi π?huko simba ndio kuna watu magumashi afadhali ya Yanga,kitu kizuri simba inafanya vzrHahaaah kumbe hauko bongo...sasa tunabishana nini mkuu...kumbe nabishana na mtu anayeongea habari za kusadikika...sasa wewe unayeongea habari za kusikia unabishanaje na mtu ninayeongea vitu ninavyoviona kabisa...yaani week iliyopita mvua imenyesha watu tunaona bahari na njia haipitiki kabisa but wewe mkuu unatubishia tuliooiona bahari.
Kwa hiyo mkuu kucheza kwako mpira utotoni na wachezaji wa enzi hizo ndo kuvijua hivi vilabu...wewe habari unazoweza kuzipata ni za huko yanga kwenu ambapo mnaendesha timu kizamani zamani but huku kwetu simba hujui chochote na huwezi kupata habari yoyote...simba tupo kisasa zaidi sikuhizi mkuu...utapatia habari za simba wapi wewe...ukienda ofisini utawakuta wakina senzo hata kiswahili hawajui or na wenyewe ni rafiki zako wanakufahamu mkuu mmecheza nao utotoni huko south africa???
Mshana unaeshimika sana humu jamvini usijivunjie heshima namna hii watake wananchi waliomo humu radhi!My Take
Fatma usiweke ahadi kama hizi kwa timu mbovu Yanga,watakuja kufungwa goli 8 nchi iingie kwenye aibu Nauza yanga mbovu na chuma chakavu
Hahaaaah mkuu wadanganye wajingawajinga uliozoea kuwadanganya hukohuko...upo karibu na gongowazi wenzio lakini sio simba....watu dizaini yako mnakuwaga hamna lolote mikwara mingi tu....hahah nyie ndo wale "UNANIJUA MIMI NI NANI" wakati hata mfagiaji pale makaomakuu yanga hakufahamuπ π π π π π π π π π π...simba hakuna mtu ambae upo nae karibu wewe labda wakina mzee kilomoni...yanga kwenyewe utashangaa unafahamiana na kina mzee akilimali ndo unapiga mikwara watu eti unafahamiana na watu wazito....simba tulishatoka huko kwa kina mzee kilomoni mkuu...sikuhizi tupo kisasa...nauhakika wewe hufahamiani na kina senzo or kina moodewji but huko kwenye vijiwe vya kahawa utashangaa huwa unajisifu kuwa wakina senzo or moodewji ni rafiki zakoSiwezi kuwepo south africa,kwa taarifa yako niko karibu na watu wa Yanga na mikia tena sio hao wa kwenye vijiwe vya kahawa,nikiwa mwanachama nishakua front kwenye baadhi ya mambo ya Yanga nikiwa uongozi,kwa kunijua tu kidogo,2015 mimi na jamaa yangu mmoja ndio tuliomfuata niyonzima kwake makuti saa 3 usiku kwenda kusaini fomu za Yanga ofisini kwa seif pale al haramain,na hadi mpunga wa macho kuona nilivuta
Kumbe na wewe unaelewaga pumba tu?Hapo kwenye MY TAKE ndio nimekuelewa sana!
Unataka kujua ofisi ya senzo ilipo??...ipo makao makuu ya klabu si unapafahamu...usiishi kwa kukariri maisha... simba tupo kisasa zaidi hakuna magumushashi sio enzi za kina mzee kilomoni hizi...ndo mana sahivi huwezi sikia mchezaji wa simba kashindwa kufanya mazoezi eti sababu hajanywa chai...or usikie wachezaji wasimba wanashindia matikiti...or timu inaendeshwa kwa kupitisha mabakuli na harambee...huko sisi tulishatoka zamani sana...sahivi sisi tunaongelea mambo ya maendeleo kwenye club yetu kama hayaHuyo senzo ofisi yake iko wapi π?huko simba ndio kuna watu magumashi afadhali ya Yanga,kitu kizuri simba inafanya vzr
Nani kakuambia mo dewji rafiki yake,mo dewji hatanijulia wapi mimi!Hahaaaah mkuu wadanganye wajingawajinga uliozoea kuwadanganya hukohuko...upo karibu na gongowazi wenzio lakini sio simba....watu dizaini yako mnakuwaga hamna lolote mikwara mingi tu....hahah nyie ndo wale "UNANIJUA MIMI NI NANI" wakati hata mfagiaji pale makaomakuu yanga hakufahamuπ π π π π π π π π π π...simba hakuna mtu ambae upo nae karibu wewe labda wakina mzee kilomoni...yanga kwenyewe utashangaa unafahamiana na kina mzee akilimali ndo unapiga mikwara watu eti unafahamiana na watu wazito....simba tulishatoka huko kwa kina mzee kilomoni mkuu...sikuhizi tupo kisasa...nauhakika wewe hufahamiani na kina senzo or kina moodewji but huko kwenye vijiwe vya kahawa utashangaa huwa unajisifu kuwa wakina senzo or moodewji ni rafiki zako
Ngoja nikupe issue ya kina nyoni,ile barua uliyoipost pale ebu nenda kachek kwenye page ya manara kule insta au hata kama manara aliongelea cct kukanusha kule insta anapopatumia kuhamasisha wafuasi,katika ile issue manara alikua upande wa wachezaji na ndio maana akutumia nguvu kuyakataa yale madai,na mpigaji aliewapiga ni magori,na halafu unadai simba hamna shida ya pesa,kama una mtu wa karibu au mchezaji wa simba jaribu kumuuliza salary ya august na sept kama hawajalipwa katikati ya mwezi huu!Unataka kujua ofisi ya senzo ilipo??...ipo makao makuu ya klabu si unapafahamu...usiishi kwa kukariri maisha... simba tupo kisasa zaidi hakuna magumushashi sio enzi za kina mzee kilomoni hizi...ndo mana sahivi huwezi sikia mchezaji wa simba kashindwa kufanya mazoezi eti sababu hajanywa chai...or usikie wachezaji wasimba wanashindia matikiti...or timu inaendeshwa kwa kupitisha mabakuli na harambee...huko sisi tulishatoka zamani sana...sahivi sisi tunaongelea mambo ya maendeleo kwenye club yetu kama haya
Sasa hao rafiki zako pale simba ni kina nani...kina mzee kilomoni??..wewe pale simba hata wafagiaji hawakufahamuNani kakuambia mo dewji rafiki yake,mo dewji hatanijulia wapi mimi!
Nani kakutalia kwani mkuu πSasa hao rafiki zako pale simba ni kina nani...kina mzee kilomoni??..wewe pale simba hata wafagiaji hawakufahamu
Hahaaaah alafu una reason za kitoto sana....wapi manara aliyakataa yale madai akakwambia??...account ya manara niyakwake binafsi anaamua nini apost na nini asipost...kwa hiyo asipopost naona wewe mpiga ramli unaweza kuingia ndani ya ubongo wake na kujua kwanini haja post???...account inayopost habari za simba na ni mali ya klabu ya simba inajulikana na ilishapost taarifa rasmi ya timu kuhusu swala la utovu wa nidhamu la hao wachezaji...hayo mengine unayoyasema wewe ni ramli za kusadikika ambazo mlevi yoyote anaweza kuongea as long as mungu kampa mdomo wa kuongea.Ngoja nikupe issue ya kina nyoni,ile barua uliyoipost pale ebu nenda kachek kwenye page ya manara kule insta au hata kama manara aliongelea cct kukanusha kule insta anapopatumia kuhamasisha wafuasi,katika ile issue manara alikua upande wa wachezaji na ndio maana akutumia nguvu kuyakataa yale madai,na mpigaji aliewapiga ni magori,na halafu unadai simba hamna shida ya pesa,kama una mtu wa karibu au mchezaji wa simba jaribu kumuuliza salary ya august na sept kama hawajalipwa katikati ya mwezi huu!
Sasa ndo uache mikwara ya kitoto hapa sjui eti unafahamiana na watu wazito...hiyo mikwara wapige hukohuko mtaani kwenuNani kakutalia kwani mkuu π
Kwanini asingemchagulia ile ya yanga ambayo aliwashindilia kimoja cha mkweziAngemchagulia UD Songo..kahaba wa kihindi alitaka dyudyu ya mweusi
Hahaaa!subiri kuna night gala inakuja,imeitishwa na mo mwenyewe,Yanga hamna njaa kama unavyojiaminisha,kibaya tu ambacho story zako za kutunga zitaonekana kweli Yanga aifanyi vizuri,hamna mchezaji anaedai mshahara Yanga,madai yaliyokuwepo ni ya malimbikizo ya mshahara na signing fee ya baadhi ya wachezaji wa zamani ambao wengine waliachwa lkn wanadai na kuna wengine bado wapo kwenye timu,Yanga ina pesa ya kuweka camp hotel kubwa now na utaona timu inakimbilia wiki ya 2 sasa ipo mwanza na ipo kwenye hotel yenye hadhi,najua utasema dante anadai,kama ni mfutiliaji wa mpira kweli.issue ya dante ni sawa tu juuko murshid alisusa sbb alikua anadai na hamjamlipa mpk leo pa1 utajiri wenu mnaotambia,na jan 50% juuko anakuja Yanga 99% niyonzima anarudi nyumbani,mna haki ya kupiga kelele sbb ya makosa ya uongozi kumuachia mwl zahera asajili matokeo timu aieleweki,ila jan kuna kitu tutafanya ili twende sawa hata tukikosa vpl tupate faHahaaaah alafu una reason za kitoto sana....wapi manara aliyakataa yale madai akakwambia??...account ya manara niyakwake binafsi anaamua nini apost na nini asipost...kwa hiyo asipopost naona wewe mpiga ramli unaweza kuingia ndani ya ubongo wake na kujua kwanini haja post???...account inayopost habari za simba na ni mali ya klabu ya simba inajulikana na ilishapost taarifa rasmi ya timu kuhusu swala la utovu wa nidhamu la hao wachezaji...hayo mengine unayoyasema wewe ni ramli za kusadikika ambazo mlevi yoyote anaweza kuongea as long as mungu kampa mdomo wa kuongea.
Maswala ya mshahara wasimba umelipwa lini naona unaleta tu story za kitoto za kujitungia ili ufurahishe nafsi yako...ni sawasawa na mimi hapa nianze kusema"YANGA HAWAJALIPWA MSHAHARA TANGU MWEZI WA SITA,KAMA HUAMINI MUULIZE MCHEZAJI OR MTU YOYOTE WA KARIBU WA MCHEZAJI"...NONSENSE
Yanga njaa ipo na hiyo inajulikana na timu ndo hivyo inaendeshwa kwa harambee na viongozi walishakiri hilo...ni lini viongozi wa simba ushawahi wasikia wanalalamika timu inanjaa or wanatembea na mabakuli kuchangisha bukubuku za kuendesha timu...sasa timu iwe na njaa pesa ya kwenda pre season south unafikiri walizitoa wapi or unadhani wale walioenda pre season bigwa morogoro walipenda
simjui Kagere lakini nimeipenda attitude yake... bravo dogo Kagere!!Fatma Dewji Ametimiza Ahadi Yake Leo Waliowekeana Na Mshambuliaji Wa Simba Kuwa Endapo Angewatungua Azam Fc Angepewa Zawadi Ya 50M.
Ahadi Hiyo Ilikuwa Ya Siri Kati Yake Na Kagere Walipo Kuwa Wanabishana Huku Yeye Akimwambia Unazionea Timu Ndogo Na Kagere Akamwambia Nichagulie Timu Unayoiona Ni Kubwa Hapa Tanzania Na Fatma Akaichagua Azam Fc Na Kumwambia Endapo Angefunga Goli Mbele Ya Yakubu Na Amoh Angempa 50M.
Leo Amemkabidhi Na Kumkubali Kuwa Hakika Kagere Ni Mshambuliaji Wa Kuigwa.Kagere Ameichukua Pesa Hiyo Na Kumpelekea Nahodha Wa Simba John Bocco Awagawie Wachezaji Wote Sawa Kwani Walifundishwa Kupendana Na Kushirikiana Ndani Ya Club.Kumbuka Kuwa Fatma Dwji Ni Dada Yake Na Mohammd Dewji Pia Ni Boss Wa Kampuni Ya Mo extra Iliyoingia Mkataba Na Simba Wa Mwaka Mmoja Wenye Thamani Ya Tsh.250M.
My Take
Fatma usiweke ahadi kama hizi kwa timu mbovu Yanga,watakuja kufungwa goli 8 nchi iingie kwenye aibu
Hahaaah yaani nazidi kuamini kumbe na battle na litotoπ ...naona umekuja na habari za kutunga kuhusu juuko kama kawaida yako...yaani we ni mzee wa story za uongouongo za kutunga...simba haijawahi itisha wala haitakuja itisha harambee ya kuchangia timu ili kulipa mishahara or kuendesha timu...alichozungumza moodewji ni kuwa kuna watu wanampigia simu wanaomba kuchangia ujenzi wa uwanja sababu wanaipenda timu so hapo mbeleni wataruhusu mtu yoyote mwenye mapenzi na timu anayetaka kushiriki kwa namna yoyote katika ujenzi wa uwanja wa timu ataruhusiwa kushiriki kwa namna yoyote atakayoona inafaa...unajisifia kuwa timu yenu inahela sababu imekaa hotelini week mbili π π ....kama mnahela mbona mnamuomba dante mumlipe kwa mafungu..mmeshindwa nini kumpa cash...msikilize hapa msemaji wakoHahaaa!subiri kuna night gala inakuja,imeitishwa na mo mwenyewe,Yanga hamna njaa kama unavyojiaminisha,kibaya tu ambacho story zako za kutunga zitaonekana kweli Yanga aifanyi vizuri,hamna mchezaji anaedai mshahara Yanga,madai yaliyokuwepo ni ya malimbikizo ya mshahara na signing fee ya baadhi ya wachezaji wa zamani ambao wengine waliachwa lkn wanadai na kuna wengine bado wapo kwenye timu,Yanga ina pesa ya kuweka camp hotel kubwa now na utaona timu inakimbilia wiki ya 2 sasa ipo mwanza na ipo kwenye hotel yenye hadhi,najua utasema dante anadai,kama ni mfutiliaji wa mpira kweli.issue ya dante ni sawa tu juuko murshid alisusa sbb alikua anadai na hamjamlipa mpk leo pa1 utajiri wenu mnaotambia,na jan 50% juuko anakuja Yanga 99% niyonzima anarudi nyumbani,mna haki ya kupiga kelele sbb ya makosa ya uongozi kumuachia mwl zahera asajili matokeo timu aieleweki,ila jan kuna kitu tutafanya ili twende sawa hata tukikosa vpl tupate fa
Hilo hawawezi kuliona.Kama wangewekeana ahadi dhidi ya UD Songo msingekua mnagalagala mchangani.
Mkuu unakumbuka hii yanga yako uliyosema mambo fresh ina hela imeweka camp hotel wiki mbili...kumbe iliziuiwa kuondoka hotelini ikiwa inadaiwa laki tanoππππ viongozi wakamuomba zahera awalipie hela...kumbe kule zambia viongozi walitaka wachezaji washindie mlo mmoja sababu ya njaa..zahera akawa ananunua chakula..sio maneno yangu lakini ni maneno ya kocha wakoHahaaa!subiri kuna night gala inakuja,imeitishwa na mo mwenyewe,Yanga hamna njaa kama unavyojiaminisha,kibaya tu ambacho story zako za kutunga zitaonekana kweli Yanga aifanyi vizuri,hamna mchezaji anaedai mshahara Yanga,madai yaliyokuwepo ni ya malimbikizo ya mshahara na signing fee ya baadhi ya wachezaji wa zamani ambao wengine waliachwa lkn wanadai na kuna wengine bado wapo kwenye timu,Yanga ina pesa ya kuweka camp hotel kubwa now na utaona timu inakimbilia wiki ya 2 sasa ipo mwanza na ipo kwenye hotel yenye hadhi,najua utasema dante anadai,kama ni mfutiliaji wa mpira kweli.issue ya dante ni sawa tu juuko murshid alisusa sbb alikua anadai na hamjamlipa mpk leo pa1 utajiri wenu mnaotambia,na jan 50% juuko anakuja Yanga 99% niyonzima anarudi nyumbani,mna haki ya kupiga kelele sbb ya makosa ya uongozi kumuachia mwl zahera asajili matokeo timu aieleweki,ila jan kuna kitu tutafanya ili twende sawa hata tukikosa vpl tupate fa
Anapapalika tu,kwanini asiseme wakati hajatimuliwa,fanya zoezi la kuifuatilia Yanga princess ilipokua arusha na dom last week ilikaa kwenye hotel zipi,halafu jiulize kama zahera ndio alikua analipaMkuu unakumbuka hii yanga yako uliyosema mambo fresh ina hela imeweka camp hotel wiki mbili...kumbe iliziuiwa kuondoka hotelini ikiwa inadaiwa laki tanoππππ viongozi wakamuomba zahera awalipie hela...kumbe kule zambia viongozi walitaka wachezaji washindie mlo mmoja sababu ya njaa..zahera akawa ananunua chakula..sio maneno yangu lakini ni maneno ya kocha wako