Mr Morogoro
JF-Expert Member
- Apr 23, 2019
- 1,245
- 1,732
Cku ile anavyosema kelvin yondani kashindwa kufanya mazoezi sababu hajanywa chai alikuwa kafukuzwa...???Hahaaah timu yenye hela inazuiwa kuondoka hotelini sababu ya madeni 😂 😂 😂 😂 😂 ...alafu kama timu ina hela kwanini yule mchezaji aliyegoma hamtaki kumlipa cash mnataka mumlipe kwa mafungumafunguAnapapalika tu,kwanini asiseme wakati hajatimuliwa,fanya zoezi la kuifuatilia Yanga princess ilipokua arusha na dom last week ilikaa kwenye hotel zipi,halafu jiulize kama zahera ndio alikua analipa